Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Wakuu someni huu uchambuzi kuhusu kupatikana kwa mwafaka Kenya hivi majuzi: http://eastafricayote.com/showthread.php?t=686
0 Reactions
13 Replies
3K Views
mwenyekiti wa AU mheshimiwa JK anatarajiwa kuwasili kenya saa yeyote leo hii ktk kuhimiza harakati la suluhu nchini kenya. hali hii inatokana na kukwama kwa mazungumzo hayo baada ya vyama...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Helo guys leo ni siku muhimu tena kwa wakenya na hasa wale wa nchi jirani waliokuwa wakifunga na kuomba mungu ashushe amani kenya.... kama uko kwenye tv watch CNN NEWS,,,now,kibaki akisaini...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
The Nation (Nairobi) 28 February 2008 Posted to the web 28 February 2008 Lucas Barasa and Churchill Otieno Nairoibi President Kibaki and Mr Raila Odinga have signed a deal that will see...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
The East African Standard (Nairobi) 26 February 2008 Posted to the web 25 February 2008 Ben Agina Nairobi The search for a political settlement out of the post election crisis stalled...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kuna matumaini gani hapa? Hatma ya Kenya mikononi mwa Annan, Mkapa, Graca *Viongozi wa dini wapinga mkutano wa ODM *Wasema kipaumbele kwa sasa ni mazungumzo *Wanajeshi wa Uganda...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
The 99 Richest Kenyans 1) .philip ndegwa family (central bank thief) 2) .manu chandaria (ea match co, kaluworks and the 2billion dollaz a year mabati) 3). Simeon nyachea ( kabansora, prime...
0 Reactions
11 Replies
9K Views
Naomba nafasi ili niwapongezeni Watanzania wote popote mulipo duniani. 1. Hongera kwa kuweza kutuonyesha ukomavu wa siasa zenu baada ya presha ya wananchi kumtimua Lowassa na wengineo...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
Nyie wenzangu mmeshaiona hii? Kwamba Kibaki alilazimishwa na Mafia kubaki kwenye urais wakati yeye alikuwa anajiandaa kumpa pongezi Raila kwa kushinda! Makubwa tutayaona Afrika hii! NSIS...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari zaidi tutawaletea kwa mujibu wa BBc. Stay turned
0 Reactions
48 Replies
8K Views
  • Closed
  • Poll Poll
Kenya kila kukicha watu wanachinjana wenyewe- karibu Wakenya wote ni Wakristo au Waislamu! Kwa nini Viongozi wa dini wanakaa kimya na kuangalia? Wakati wa Rwanda 1994 kuna Viongozi wa dini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mahatma Ghandi, yule mwana falsafa hodari wa India, aliwahi kusema maneno haya; "The earth has enough for man’s need but not for man’s greed".Walioko madarakani katika nchi yetu nzuri, wanasukumwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kenya sasa wananyoana, Watanzania tutie maji Chris Alan Tanzania Daima YANAYOTOKEA Kenya baada ya uchaguzi mkuu ambao umesababisha machafuko ya kisiasa na kijamii kutokana na kutangazwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJambo wenzangu, naona BBC wameandika kwamba Mbunge wa kuchaguliwa through ODM party wa Embakasi Jijini Nairobi amepigwa risasi na kufariki jana usiku masaa kadhaa baada ya wagombea wa4...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
7 December 2007 Posted to the web 7 December 2007 Hundreds of Kipsigis tribesmen and militia from Trans Mara district in Kenya, on Tuesday torched farms in Tarime district in an unprovoked...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
By Sasha Chanoff January 19, 2008 FROM READING recent headlines about Kenya, one would think that the post-election violence is the result of tribal hatreds. But this assessment is wrong...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakati Museven akihaha kuingiza majeshi yake Kenya kumuunga mkono Kibaki Polisi wametegua mabomu 60 kwenye Reli katika mji wa Jinja soma hiii Polisi wategua mabomu 60 kwenye njia ya reli...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nani anafikiri au anamuona Raila odinga akiona kuwa amuachie Kibaki aendelee na Uraisi ..eti kwa sababu ya kulinusuru taifa lisiingie kwenye machafuko na vita vya kikabila na itikadi nyingine...
0 Reactions
23 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Ikiwa imesalia takriban siku hamsini tu waKenya wachague wabunge, madiwani na Rais mpya nawaombeni kura ya maoni. Ungempigia nani? RAILA AU KIBAKI
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Hizi habari kuwa majeshi ya Uganda yapo kenya ni ya kweli? Kama ni kweli mbona hii sasa inatisha jamani kwa amani ya ndugu zetu wa kaskazini? Kwa wale walioko Kenya tupeni habari jamani.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom