Jamani nahitaji mwanaume wa kufanya naye maisha. Awe na sifa nzuri zikiwemo
1. Asiwe member wa JF
2. Awe mkristo safi
3. Mrefu mweusi asiye na kitambi.
Please mwanaume mwenye sifa hizo ambaye...
Am looking for a a single woman to mary
Me: age-30
Job:public servant
Location : southern highlands
Woman looking for:
Age : below 30
Able to relocate
Not having a child
Job have
If interest...
Habari Wana Jf
Natumai mko salama
Nimekaa nikawaza mengi, kwenye jukwaa hili ni wengi waliotoa post za kutafuta mke au mme nikiwemo na mie😊
Lakini Cha kushangaza sijawahi Kuona mirejesho ya...
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa...
Good morning every one!
Niende kwenye mada moja kwa moja. Dear Wana JF napenda kuwatangazia kwamba natafuta mke mtu mzima mwenye utayari wa kuolewa.
My personal details.
Jina : Langliguara...
Habari zenu wapendwa,Poleni na kazi au shughuli tofauti tofauti.
Niko Arusha and natafuta marafiki both wanawake na wanaume.Sijali umri ila napendelea watu smart kichwani yaani intelligent...
Mimi naishi Dar nina miaka 23 natafuta mpenz wakudate nae kwana uko mbele tuombe mungu tunaweza tukawa mbali. awe dini yoote umri kuanzia 18-35 awe anaishi Dar es salaam . atakae kuwa tayari ...
Habari wanajamvi wenzangu!!
Naomba twende moja kwa moja kwenye maada lengwa ili nisiwachoshe, ni mara ya pili nimerudi kwenu
Mm ni jinsia ME, umri wangu miaka 30, mrefu kiasi, mweusi kawaida...
Hello,
Nafuraha sana kuwa moja ya sehemu nilizokua nikitafuta faraja kwa muda mrefu sana.
Miaka zaidi ya 20 ya kuishi niliyonayo, tayari nimekomaa vya kutosha kuhimili mikiki mimiki ya mapenzi...
Kuna site hii kwa wale wenye upweke au wanaohitaji "faraja" ya nyumba ndogo kwa Kenya gonga hapo chini
Home - Mpango wa Kando! nasikia huduma hii ipo Bongo pia wenye site please?
Welcome, this...
Nenda kaangalie avatar ya Cheusi mangala, kama una sifa zinazofanana na hiyo avatar nitafute kwenye facebook. Isaac Emanuel Qaymo.
Usiwe mwanafunzi wa primary au secondary, nisije nikaozea...