Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Ninahitaji mtu ambaye Mungu akijalia ataweza kuwa mume wangu.. Kuhusu Mimi; nina umri wa miaka 25 naishi Dar ni mjasiriamali sina mtoto/watoto Elimu ni certificate. Anayehitajika ni mtu ambaye...
12 Reactions
28 Replies
11K Views
Habari wakuu. Nahitaji mwanamke wa kuoa ambae yupo tayari kwa mahusiano na kuolewa. Umri wake uwe kuanzia miaka 20 mpaka 30 akiwa na mtoto sawa hakuna shida. Sifa zangu Umri 30
2 Reactions
7 Replies
649 Views
Mimi ni Mmakonde wa Mtwara naishi Dar-es -salaam Nina miaka 33 Dini: I am Christian Elimu Diploma Administration Sijaajiriwa. Sina kipato bado najitafuta Marioo musijisumbue SINA mtoto Nahitaji...
19 Reactions
75 Replies
2K Views
Kichwa cha habari cha husika hapo juu. 1. Mimi ni mwanaume ninayejielewa na nakusudia kufunga ndoa mwaka huu ikimpendeza Allah. 2. Miaka yangu 40, mwajiriwa serikalini na mjasiria mali pia. 3...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
I need a woman with a good shape to marry from all Tribe except a Haya, Nyakyusa, Nyaturu, Jita, Kurya,Chaga,Ngoni and other related to those. should be aged 25 to 30. Able to understand shortly...
12 Reactions
95 Replies
2K Views
Mimi ni mwanamke, umri miaka 36 natafuta mwenzi umri kuanzia miaka 36 -54 awe HIV Positive
9 Reactions
87 Replies
3K Views
Popote ulipo mrembo mwenye miaka 26-30 , isiwe single mother Nimechoka kuishi peke yangu karibu tusaidiane maisha uwe mke wangu Uwe wewe au una mdogo wako au rafiki yako mjulishe taarifa hii
0 Reactions
5 Replies
297 Views
Hii ndio furaha yangu kubwa sana,na kusuluhisha migogoro ya wanandoa ni furaha yangu kubwa sana.Siangalii dini za wanandoa wanaooana au naowasuluhisha.Kama una mgogoro wa ndoa au unatamaninkuoa au...
5 Reactions
28 Replies
711 Views
Husika na kichwa Cha habari hapo juu naomba mwanamke yoyoye aliye mafinga au Iringa mjini awe rafiki yangu kipenzi. Kama upo maeneo hayo naomba uje inbox nipo serious, Mimi ni mwaminifu siyo...
2 Reactions
9 Replies
389 Views
Assalamualaikum Wana familia ya jf. Nina ishi mbeya mjini. Natafuta mwanamke anayejitambua na mwenye uhitaji wa mume ili kujenga familia bora 🙏
20 Reactions
250 Replies
5K Views
Mimi ni mwanaume miaka 37 mwajiriwa serikalini, ninae mtoto mmoja wa kiume miaka 14 sasa, mkatoliki. Naomba mwanamke mwenye uhitaji aje tuzungumze 0769499326
6 Reactions
18 Replies
621 Views
Habari zenu wana jukwaa anahitajika mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa ambaye yupo serious anitumie ujumbe PM (DM) awe muislam umri 25+ awe tayari kwa ndoa.
1 Reactions
3 Replies
315 Views
Deleted
2 Reactions
1 Replies
163 Views
Wasaalam. Kutokana na pigo nililopigwa Leo! Nimebadilisha msimamo. Natafuta mwanamke angalu mwenye mtoto mmoja wasizidi wawili. Hope huyu atakuwa ashapigwa matukio ya kutosha! Na Mimi pia...
4 Reactions
11 Replies
710 Views
Habari wana JF, Nimejitokeza kuweka wazi hitaji langu. Im in my mid 30's, with one kid. Never been in marriage before. Ewe Mkristo mwenye miaka 34 na kuendelea,Mkweli namwenye uhitaji kama.wangu...
8 Reactions
28 Replies
1K Views
I'm Dan 42age Vih + Looking for women VIH+ WRITE TO ME kkundunda@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Tafadhali husika na mada tajwa hapo juu. Endapo wewe ni mwanamke na una uhitaji wa mume basi nakufahamisha kuwa 'tatizo lako limepata suluhisho'. Mimi nina uhitaji wa mwanamke ambaye kwa kuanzia...
6 Reactions
27 Replies
845 Views
Natafuta KAZI Dodoma mjini PM
0 Reactions
7 Replies
569 Views
1.Wasichana wanapenda kuongea maneno machafu kama wavulana. Wanawake huvutiwa moja kwa moja na wale wanaojaribu kuanza mazungumzo nao ana kwa ana, 2. Neno "I Love You" lina athari zaidi ya...
4 Reactions
9 Replies
953 Views
Back
Top Bottom