Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
1. She's been with you for a long time. If you've been together for a long, long time, chances are, your gal is not going anywhere any time soon. FYI: once we get attached to something (like a...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamani natafuta girlfriend ila awe serious maana huu upweke sasa unaelekea kuniua... Nimechoka kukaa peke yangu upweke noma sana...Nataka mtu Mstaarabu, Mpole kiasi , Mwenye Kupenda Maendeleo...
0 Reactions
5 Replies
893 Views
Wakuu wa JF, Hope mko salama, naamini mpo poooooaaaa. Sasa nina dili kali, baada ya kutafiti mada nyingi katika jukwaa hili la MMU kwa muda mrefu, nimejiridhisha kuwa kuna changamoto za...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Awe na sifa hizi 1.Asiwe na mtoto 2.Awe na upendo wa dhati 3.Asitumie kilevi chochote 4.Awe na hofu ya Mungu 5.18-27yrs 6.Awe Mkristo Msichana ambae kwel yupo serious kuingia kwenye mahusisno...
0 Reactions
8 Replies
985 Views
Mdada ukiniona nina kibamia basi wewe una bwawa mdada ukiniona kitandani mchovu kimoja nimelala basi either hunivutii au hujui mapenzi mdada ukiniona bahili basi unapiga sana virungu visivyo na...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
KWA NINI WANAWAKE WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI? Kwa sababu WENGI HUPISHANA NA WAUME ZAO Kwa mfano : 1.Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Natafuta msichana wa under 25 Vigezo: Awe mrembo Asipende hela Mwenye shape ya wastani flat screen siwataki Elimu sibagui hata la nne B Njoo Pm N.b asiwe na wivu hata kidogo
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa kiume nna miaka 27 Nipo vzur kiuchumi Sichagui dini/kabila Asizidi miaka 22 Awe natural asiwe amejichubua Awepo dar Baada ya kuumizwa sana nahitaji kuoa
0 Reactions
6 Replies
983 Views
Habari, mimi nipo maeneo ya temeke, yombo, natafuta rafiki wa kike yeyote anaejisikia yu huru kuwasiliana na mie. Asante na karibu....
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama mada inavyojieleza, nipo lonely na natafuta msichana mzuri wa kutoka nae out na kubadilisana mawazo hususani ya ujasiriamali. Kwa mwenye uhitaji pia ajitokeze lakini lazima awe na uwezo wa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Assalam alykum . Hama baada ya salamu naomba nitililike moja kwa moja........ Mimi nikija mwenye umri wa mika 24 .... Elimu yangu (niyachuo) Diploma ya ualimu wa Secondary lakin niliupiga...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Hallow collaegues,Greetings My profile; Age: 31 yrs old Education: BSc,MSc Employment: Ministry of Health, 170cm Tall, weight 55kg, . Religion: Christian Looking a matured lady with...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Umri wangu ni 24 years niko dar natafuta rafiki wa kike. Awe open minded umri 20 hadi 35 niko dar nicheki PM or hapa for contacts tonialki4@gmail.com
0 Reactions
2 Replies
778 Views
Mimi ni kijana wa kiume,ninaemani katika urafiki na marafiki kuwa ni watu muhimu san na Maisha ni watu na watu ndo maisha.ningependa kupata marafiki wa kike wa faida,tujumuike katika kupambana na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari za jmosi ya leo tarehe 23 wandugu Kuna dada anamahipsi na chura wa haja halafu kiuno chembamba sana nimekutana naye sasa hv mbaya zaidi kavaa dela halafu linaonyesha ndani na chupi hana...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
  • Closed
heeh! Girls please nakutafuta uwe n elemu si chini ya form four working or self employed kiufupi uwe smart kwa kichwa kuliko mwonekano wako ukiwa mzuri na smarat kichwani majaliwa, but above all...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Habari wanabodi. Mimi ni kijana wa miaka 26 Mwenye Elimu kwa Ngazi ya Degree, Ndio Kwanza nipo kwenye ajira yangu ya pili. Najitokeza kutafuta msichana kwa ajili ya uchumba ili tuje kuoana...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari zenu ndugu wa jamii forum. Matumaini yangu ni wazima wa Afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kujenga taifa ingawa Vyuma Vimekaza. Twende moja kwa moja kwenye Maada husika...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari!!mm Ni wanaume wa Miaka Kati ya 45 na 50 nimejitokeza hapa kutafuta mwanamke wa kufunga nae ndoa. Awe MWEMBAMBA MWEUPE na MREFU Naomba tuwasiliane kwa:simu 0755 521 487 Email address...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Mimi ni kijana miaka 23 natafuta rafiki wa kike wa kubadilushana mawazo umri 20-28
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…