Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Kama uzi unavyojieleza mimi ni kijana wa miaka 25 ni mwanafunzi nipo chuo mwaka wa 3.. Nitarajia kumaliza mwakani mwezi wa 7 kwetu kabisa mkoa wa mtwara Nina.. Msukumo mkubwa Sana baada ya...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo zenu mi ni mwanamke umri 23 yrs elimu form 4 tu ni muuguzi natafuta rafiki wa kawaida tu kwaajili ya kubadilishana mawazo ila awe Mzungu kutoka nchi za Ulaya Wale wa-Italy watapewa...
2 Reactions
34 Replies
14K Views
Kama title inavyojieleza guys i real real seek for a girlfriend >>Age asizidi 26yrs >>dini yeyote >>mostly romantic na kama upo Dar es salaam it'll be so nice mimi ni mwanachuo chuo flani Dar...
0 Reactions
14 Replies
997 Views
Kama title inavyobonga.<br />Mi ni me bwana we siku hyo nimetoka kushugulikia gar langu kwa fundi kuhusu mambo ya regetor ghafla nikaona text. Beib umekula? Nikajiwazia nikasema huyu mwanamke anae...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Habari, Najitokeza kutafuta mwanamke ,awe mchumba later awe mke. -Nina miaka 27 -yeye awe na 27 kurudi nyuma -awe na elimu kuanzia na diploma -dini awe muislamu. Aliye tayari ani pm.
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Habari, Najitokeza kutafuta mwanaume aliye serious,ninahitaji mume. -Nina miaka 28 -Nina mtoto mmoja -elimu degree moja(IT) -muajiriwa Aliye tayari ani pm.
11 Reactions
70 Replies
9K Views
Ndoa zimekuwa ngumu waume Na wake Wema wanapatikana kwa shida sana.Sasa kwanini humu mtu asiseme natafuta mtu ambaye ana kwake lakini angalau awe anakuja kunitimizia mahitaji ya kindoa japo...
0 Reactions
3 Replies
633 Views
Mwanaume wa 45+ yupo kweli? Ukweli upo hiviiiii!! * Below 45 don't bother yourself ku pm please! * Mkristo * Mpole * Relocate:(! Yawezekana? * Waume za watu don't bother ku pm please!
13 Reactions
156 Replies
10K Views
Habari zenu ndg ! natafuta mwanamke wa kuoa umri kuanzia miaka 23 na kuendelea sichagui dini wala kabila ila lazima awe mikoa ya mwanza mara shy na dodoma hata uwe na mtt usiogope nafanya kazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda kutoa mrejesho kama ifuatavyo... Walijitokeza wasichana karibia wanne kule PM, nilifanikiwa kuonana na mmoja infact ni mwanafunzi ila hakuwa serious kabisa within two days alishaonesha...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za jioni wana jukwaa hili pendwa narudia tena kuwa natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 18 mpaka 25 ... Asiwe mnene sana na mwembambamba sana Awe wa kawaidaa na asiwe wa...
0 Reactions
1 Replies
722 Views
Ahsanteni kwa maswali yenu na michango yenu . Nishampata niliemuona anafaa. Nitawaletea mrejesho mwingine mbele ya safari.
9 Reactions
115 Replies
7K Views
Hamjambo humu Kwa dada aliye free kuanzisha mahusiano let see if tunaweza kuwa Uwe Dar most preferred, umri 25 na kuendelea.. elimu form Four au zaidi na uwe tayari kupima HIV Nawasilisha na karibuni
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Hello wana JF. Let’s talk and Chat
1 Reactions
11 Replies
4K Views
Kama title inavojieleza, natafuta mtu atakae kuwa serious kene mahusiano nami ntapatia Yale mapenzi ya dhati kabisa.... Wasifu wangu........ Chuo mwaka wa pili Mrefu futi 5.8,umri miaka 24 Maji...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Mimi nina umri wa 35.kazi mjasiriamali.sibagui rangi,kabila,elimu wala dini. Nitatoa huduma zote kwa mtoto ikiwemo elimu. Niko tayari kupima ukimwi na wewe uwe tayari kupima . Ni-PM
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Umri wangu;23 Dini yangu;christian Elimu yangu;degree Rangi yangu;black ila cyo km mkaa Kimo changu;160cm Binti awe na umri kuanzia 19-22 itapendeza na mweupe.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini zenu hapa ndani, Nina miaka 26 ila kulingana na umri wangu (mdogo) siwezi kuoa kwa sasa na hivyo nahitaji mdada mzuri wa kuzaa nae tu. Nitagharamia kila kitu kuanzia siku ya kwanza ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu waswahili husema mficha uchi hazai, nami nimeamua kuufuata msemo huu wa wahenga maana naona mambo yanakuwa sio. Am gentleman aged 25 natafta mchumba wa kuyajenga naye na ikibidi kuoana.Awe...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za wanaJF? Mimi ni kijana kitanzania, nipo hapa Dar es Salaam. Baada ya kushughulika na michakato ya maisha, hasa kuweka mikakati mizuri. Sasa muda wa kuoa ndiyo umefika. Sasa ninahitaji...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…