Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Habari za wote humu ndani, Nimepitia mengi kwenye maisha ya mahusiano kwa mara ya kwanza nilikutana na wrong person nikawa nae nikapata na mtoto nae then we divorced. Nimekaa miaka mitatu single...
17 Reactions
281 Replies
29K Views
Habari wapendwa nimekuwa na ndoto ya kuoa mzungu jamani sasa sijui hawa wazungu wanavutiwa na vitu gani sana sana ili nifanikishe hili niweke toto la kizungu ndani sina lengo la kulelewa mimi...
3 Reactions
31 Replies
9K Views
Habari za muda huu ndugu zangu Wana-JF, Kama ilivyo asili kwamba mwanadamu atazaliwa, atanyonya, atatambaa, atasoma na kufanya vitu vingine, lakini kwa mapenzi yake Mungu Muumba wa mbingu na nchi...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Habarini humu! Mimi Naitwa sky zone. Nimependa kujumuika humu! Nimeona nimtafute mwanamke asiye na mume na awe tayari kushare maisha pamoja bila kuchanganya mafiles (yaani Ajitahidi kutoruka...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Nafatauta mpenzi wa kike atakaye kuja kuwa mke. Sifa: Asiwe mwembamba :Asizidi miaka 30 :asiwe mweusi sana : Kabila lolote Kama yupo ani Pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadada wapweke njooni kwangu,umri,dini na kabila lolote
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hello girls!!! Mimi ni mwanaume wa miaka 33,nimeajiriwa,msomi wa degree ya pili,smart,medium sized body,mstaarabu.Natafuta msichana ambaye atakuwa mke wangu!, awe na mwonekano mzuri,tabia...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari zenu, Nimekuja kwenu . Nimechoshwa na upweke. Mimi ni msichana wa 27years, natafuta mchumba ambae atakuwa serious kuwa na familia na si kupotezeana mda. Sifa zake; Awe na miaka kuanzia...
4 Reactions
101 Replies
10K Views
Namtafuta mpenzi. Naishi moshi - Kilimanjaro. Aje PM, nina miaka 28. Awe Ready kupima na kutumia condom mwanzo mwisho. Karibu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Umri wangu ni miaka 35 nimeajiliwa wizara moja serikalini mwaka wa tatu huu. Natafuta mchumba wa kumuoa mwenye umri kuanzia miaka 20 mpaka arobaini awe na khofu ya Mungu, msikivu, msafi na mke...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Awe mkristo awe na kazi halali kwa Mungu na jamii awe na akili timamu, awe mwelewa ugomvi sipendi, awe na umri kati ya miaka 32-38 Mimi ni mkristo ni mrefu umbo la kawaida na ni mweusi. Waume za...
11 Reactions
100 Replies
7K Views
Kama Heading inavyosema....Natafuta Mwanamke wa Kumuoa! Sifa zangu dini: Mkristo Mkoa:Arusha Elimu: Darasa la Tano (Nilikataa shule) Rangi: Sio mweupe sana Umri :22 Sifa za Nimtakaye! Dini...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Habarini, wanaJamii, Mimi ni msichana umri 28_30, ni mkristo, nina elimu ya Chuo kikuu, nina tafuta mume mkristo mwenye hali kam yangu, awe na miaka kati ya 30_40. MWENYE SIFA ZIFUATAZO: Awe ana...
1 Reactions
20 Replies
6K Views
Nahitaji mdada au mama yoyote mwenye kiu ya kuondoleana upweke. Tafadhali ni pm, nipo Dar
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Mimi nina miaka 24 Rangi maji ya kunde Mwembamba Urefu wastani Mjasiriamali Naishi Dar Sifa za girlfrend Asiwe mweusi Kabila na dini yoyote Kazi yeyote Umri awe 18_25 Kama upo serious uniwezi PM
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wana MMU, Nadhani post yangu ya juzi wengi wenu mliisoma, Ilisema; Natafuta mpenzi Nilikuwa natafuta mpenzi nashukuruni kwa kuwa pamoja na mimi na wale ambao walinifuata pm na...
1 Reactions
55 Replies
4K Views
Nina miaka 27 Ni mwajiriwa serikalini Ni mkristu Msukuma. Awe na sifa zifuatazo [emoji173]miaka 22 hadi 32 [emoji173]mpenda maendeleo [emoji173]mcha mungu [emoji173]kama amezàa angalau mtoto...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 25 naishi dar es salaam. Sijaoa sina mtoto ninafanya kazi na nafanya biashara. Natafuta mwanamke aliyenizidi umri kwa sababu sitaki kuyumba katika kazi zangu na biashara...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari za leo wana jukwaa, Kwa mara ya kwanza, najitokeza hapa nikiwa na nia ya kutafuta mwanamke ambaye tutakua naye katika mahusiano, na hatimaye kuwa mme na mke. Mim ninaish Dar, umri wangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom