Mimi ni kijana wa miaka 31 ni mkristo nakaa mtwara vjjn nahitaji mke awe anakaa mtwara awe mkristo umri kuanzia miaka 18-28 kwa mawasiliano zaidi karibuni Pm
Baada ya kuonja utamu Wa mwanamke mwenye maji,nimenogewa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na yote haya kanifundisha kapeace[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Natarajia kufunga ndoa ila mchumba...
sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....
Kichwa cha habari kinajieleeza mimi ni kijana wa miaka 32 naishi dsm natafuta msichana wa kitusi aliepo dsm umri kuanzia miaka 20 mpaka 35 aliye tayari aje pm
jaman ndugu zangu ninakila kitu ambacho mwanamke anahitaji ila baada ya kuumizwa kwa muda kwenye mapenzi,nilistop mahusiano ili nipate break , sasa nimerudi nahitaji mahusiano yatakayo pelekea...
Wasifu wangu
Umri: 28
Dini: mkristo
Kazi: Nimeajiriwa
Natafuta mpenzi baadae awe mke umri kuanzia miaka 26 kushuka chini , awe ameajiriwa au awe na shughuli ya kumuingizia kipato, atokee mikoa...
Habari wana love connect......
Natafuta mke wa kuoa serious;sifa zangu
-Age 29
-Kazi Mwajiriwa
-Elimu Degree ya kwanza
-Dini Mkristo
-Makazi Dar es salaam
sifa za mke nimtakaye
-Age 20-28...
Natafuta mchumba umri kuanzia miaka30-35
Awe mkristo (asiwe sabato)
Awe na kazi yakumuingizia kipato.
Aliyetayali kuwa mume wamtu na anaejitambua nakujieshimu.
Nb.sitaki brah brah njooo pm...
Habarini za jioni wapendwa,
Natafuta mume wa kuishi naye miaka kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale njaa au mfanyabiashara staki utani wala kejeli.
Asante
Sent from my TECNO W5...
Wakuu Kichwa kinajieleza. Nina Miaka 36
1. Awe Mkristo (Sio Msabato)
2. Umri miaka 25-30
3. Ikiwa ana Mtoto asizidi mmoja
4. Awe mnene asiwe mwembamba
5. Kabila lolote.
NITAKAPOKUWA NIMEMPATA...
Am Jackson a graduate of social science from a certain university of Tanzania.Presently Iam in Dar es salaam trying to pick my self together.I have never been married , Looking forward to meet my...
Hi,
Najitokeza kwenu kutafuta msichana/mwanamke ambaye badae atakuwa mke. Dini yoyote, umri asizidi 30, elimu yoyote ila sura inategemea.
Mimi ninakazi nzuri kwenye balozi hapa nchini, elimu...
wanaomba mshiko kupitia Pm hata kabla hamjaonana! mara kodi yangu ya nyumba imeisha,mara bima yangu ya gari imeisha,mara nirushie vocha Jamani kuna wanaume wako serious hapa jamvini!
Mimi ni kijana umri wa miaka 29.
Mwanafunzi wa shahada ya uzamiri university of Hong Kong.
Rangi yangu ni mweusi kiasi mrefu umbo wa wastani kazi yangu mwalimu.
Vigezo vya mwanamke...
Mambo,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 21, Niko kanda ya kati, nahitaji girl friend wa kuchati, kuwasiliana,ushauri wowote kuhusu maisha, kama upo tayari utani PM.
NB: Ukiongea na mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.