Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina miaka 29, nahitaji msichana alie serious na yuko tayari kuolewa ndani ya mwaka mmoja. Atleast awe na kazi inayompa rizki yake (not neccessary). Umri kuanzia miaka 21_25. Dini sio kikwazo...
0 Reactions
4 Replies
980 Views
Habari najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta mke wa kuoa nipo serious na ombi langu ninalo lileta kwenu. Naitwa Jackson mwenye umri wa miaka 34.Nina Elimu ya chuo kikuu,mimi ni mweusi ,kabila...
2 Reactions
17 Replies
8K Views
Habari za mchana wadau. Sitaki kuwa mzungushaji kwa kuandika maneno kibao. Mimi ni kijana wa kitanzania late 20's nimeishi nchi mbalimbali na sasa nimeamua kuhamishia makaz yangu Tz japo naona...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Sina Kazi Nina degree ya banking and finance Najishughulisha na kilimo cha mpunga Age 32 Naishi Dar Anatakiwa mke Mrembo 22-28 Mpambanaji Asiwe na mtoto Mkristo mkatoliki At least form...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32, mtumishi, elimu form six, mkristo roman cathoric, ninatafuta mchumba wa kike ambaye anajiheshimu Sifa zake; 1)Awe mkristo mromani cathoric 2)Elimu kuanzia...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habarin za leo wanajukwaa. Najitokeza hapa nikiwa na nia ya dhati kabisa ya kutafuta mchumba, ambaye tutakua nae kwenye mahusiano na hatimae kuoana na kutengeneza familia yetu. Nina umri wa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Mna lipi jipya la kutushawishi labda? mwanaume akipata sababu ya kuoa huwa hachelewi hata kidogo,ukiona unakaa na mwanaume zaidi ya mwaka ujue hajaona jipya kwako yaani huna ubunifu wowote zaidi...
2 Reactions
3 Replies
838 Views
Habari zenu wakuu! Nimejitokeza kwenu kuhitaji binti ili niweze kumuoa kama tutaendana. Awe muislamu. Umri 18-28. Elimu kuanzia kidato cha 4. Kuhusu mimi. Umri wangu miaka 27. Muajiriwa...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Habari za wakati wapendwa ? Ni matumaini yangu mu wazima wa Afya ! Natafuta mpenzi wa kike anaeishi Dar, awe mchumba na hatimae mke wangu . Awe mrefu kiasi , mwembamba wastani , mwenye nidhamu...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29, nilieajiriwa, ninahitaji mke wa kumuoa awe mkristu dhehebu lolote kwa sasa napatikana Dodoma. Kwa alie tayari anichek inbox kwa SMS, serious I mean.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari wana jf,natafuta rafiki wakike baadae aje kua mkewangu wa ndoa,kwa mawasiliano zaidi anitafute kwa namba 0689425236,sina vigezo Vinci,awe na umri wa miaka 27-40,
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mimi naitwa Peter John ni mkazi wa Dodoma nina umri wa miaka 27, natafuta mchumba wa kuoa, awe na sifa zifuatazo; Awe na elimu kuanzia form four Awe mkweli Kwa mawasiliano zaidi namba yangu ni...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Natafuta rafiki ambaye tutafahamiana na mungu akijalia awe mchumba Kama tutaendana Awe mkiristo na mwenye hofu ya mungu wa Kabila lolote Awe mzuri wa roho na mwili yaan rangi ya maji ya kunde au...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Iam single,am looking for a single man aliyetayar kwa mahusiano serious,Kama uko below hiyo age ,pls...dont bother kunipm....naomba wew kaka ambaye hauko serious usinipm I am 28, Naishi Dar...
7 Reactions
97 Replies
9K Views
Habari za humu ndani? Kwa heshima kubwa najitokeza hapa kutafuta MKE MGUMBA Mimi ni Mwanaume mwenye umri wa miaka 48 Nimejitokeza hapa kutafuta MWANAMKE MWENYE KUSHINDWA KUPATA MTOTO AU...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wanna jf natafuta marafiki wa kike wanaojielewa na kujitambua anayefikiria future anayempenda Mungu
0 Reactions
3 Replies
952 Views
Natafutamke pm kama unaweza. Sifa. Awe mzur kiasi,mrefu kiasi mweupe kiasi mcha mungu ndo sifa kubwa kulikovyote Pm then utapata namba ya cmu then tutachat kuwasap zaidi.
0 Reactions
7 Replies
964 Views
Mimi ni kijana nina umri miaka 27 Natafuta mke wa kuoana naye awe mwaminifu katika mapezi mwenye nia yakujenga dini yoyote rangi yoyote ila awe na shepu zuri tu umri 19-25 alie tayari aje pm au...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nina elimu ya kidato cha nne + college certificate ya fani ya IT(information Technology) ni mweusi na mwembamba kiasi Natafuta mpenzi wa kike mwenye umri...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Mimi kijana wa kiume mwenye miaka 20's. Nina shahada ya uhandisi wa umeme. Nimejiajiri katika fani yangu hiyo hiyo. Natafuta rafiki ambae atakuja kua mke hapo baadae. Awe...
0 Reactions
2 Replies
833 Views
Back
Top Bottom