wana jf hamjambo?...
Napenda kuwatangazia kuwa namtafuta mchumba wa kike ambae mungu akitujalia tutafunga nae ndoa.
Sifa zangu:
•Rangi: Maji ya kunde
•Jinsia: male
• Umri ...
Hellow,
Naitwa Benjamini Kaswagula, naishi Bagamoyo, umri wangu ni miaka 34, mkristu, natafuta rafiki wakike ambaye baadaye tutaoana mwaka 2019/3/25.
Lengo kubwa kua na muda mwingi wa...
Habari wana jamvi la JF!.
Sina makuu...nahitaji mpz awe wa kike umri wowote..awe mwenye matatizo yz kipesa au kimaisha ntamsaidia mawazo hata pesa. Ila ku-do sitohitaji. Sina tamaa za mwili maaba...
Habarini ma friends,
Natafuta. Msichana anaefaa kuwa mke wa mtu. Anayejitambua. Anaejieshimu. Umri 18-21 dini yoyote. Asiwe Mmbuli Mrangi wala Mnyaturu. Me umri wangu 25. Kama yupo anicheki...
naitwa Aicca icca, mimi ni msichana wa miaka 24 soon 25,natafuta mwanaume badae awe mchumba na mme,nature ya kazi inanifanya niwe mbali kidogo na kuendana na ulimwengu unavoenda,
mimi ni mkristo...
Ninastable ajira na shughuli zingine za kiuchumi.
Nahitaji
1. Mdada mzuri sana
2. awe na miaka 22-28
3. awe na elimu nzuri---ikiwa ya chuo nzuri zaidi.
4. awe tayari kuwa kwenye uhusiano wa...
Wadau kama kichwa cha habar apo juu nikwamba daah am stil single this kills me nataka msichana jamani eeh dem yyte awe dar apa not above 35 mimi nina 25 yrs.....ur welcome ladies...
Kuna bibie humu JF.. nimejikuta tu.. nimempenda.. hii ni kutokana na michango yake.. anavyojiamini anapotoa hoja...ana msimamo... na husimamia anachokisema... naomba ushauri... naogopa kumtaja...
Naitwa Khamis naishi dar ni Doctor to be , Natafuta girlfriend atakaekuja kuwa my wife bdae, Awe na age kuanzia 18-24 yrs ,awe mwembamba wa wastan na ni muslim bt hata kama ni din tofauti it's k...
natafuta mchumba(mwanamke) wa kuo na awe na vigezo vifutavyo
1. elimu si muhimu sana
2.kabila nalo c muhumu hata kidogo
3. umuri nao ni muhimu sana 19-26
4. Heshima ni kitu mihimu kuliko vyote
5...
Napenda ifahamike kwamba kwa uzi huu sitanii na wala sina nia ya kujifurahisha bali kueleza haja yangu kwa mwanamke wa maisha yangu ambaye naamini yupo humu.
Natambua kuna mwanamke ambaye naye...
Last week niliandika kama nahitaji boyfriend I need a boyfriend and am so happy kumpata mtu ambae tunamatch.
So application closed
Love you my new baby
Nimefanya utafiti huu (mwenyewe) karibu miaka sita sasa,...kulingana na takwimu nilizonazo zinajitosheleza kuwatuhumu Wasichana wasomi hasa wanaokaa mijini(midogo na mikubwa) kuwa hawataki...
Nijuavyo mimi wachumba ni mwanamke na mwanaume ambao wamevuka hatua ya urafiki na kuingia hatua nyingine kwa maana kutambulishana na kutangaza nia ya kuoana.Wachumba siyo mke na mume au watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.