Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Natafuta rafiki wa kike popote pale. Asizidi miaka 28. Mkristo mwenye hofu ya MUNGU. Awe aghalau na diploma au zaidi. Awe mwembamba, asiwe mfupi. Mbunifu na mwenye mtizamo chanya wa kimaisha...
0 Reactions
2 Replies
747 Views
Hakika mume/mke mwema anapatikana popote pale, Nashukuru nilileta uzi wa kutafuta mume,Mwanaume aliye tayari kuwa mume baadae aisee wengine walifanya masihara sana na wengine walikuwa serious...
5 Reactions
26 Replies
2K Views
Nataka mchumba ambaye baadae atakuwa mke, Baada ya kumaliza stress za kupata kazi na kutulia nimeona nivema nipate mwenzangu kama mchumba sasa hivi ili tuandaane kwa miez isiyopungua 10 mpaka...
3 Reactions
63 Replies
7K Views
Kama we ni mkazi wa dar umri miaka 18-25 mkristo uwe tayari tukapime HIV na uwe na kajishughuri chochote chá kukuingizia kipato. Nipo hapa kwajiri yako nitafute.
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wadau vip? Natafuta mrembo aliyetayari nataka kuspend nae Moro hapa today nipo ipoipo hapa njia panda ya mazimbu ....!!!
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu jukwaani: Naomba tushare hapa Ni maneno gani mazuri ya malovidavi tuachane na common yaliyozoeleka Tutumie ya kisasa ya kwenda na wakati (mwendo kasi): Nataka yawe kwa English na...
0 Reactions
2 Replies
675 Views
Am 30 yrs old i reside in Dar and my tribe is Chaga, am back again looking for a serious lady to be in relationship with c'se i have'nt been successful in the first thread. I have a diploma in B.A...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Soma kichwa cha habari hapo juu, Km uko tyr kwa hitaji langu kuja dm tuyajenge kwa alie serious,
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wana JF, Mimi ni mwanamke mwenye miaka 36. Ninatafuta mpenzi mwenye upendo wa dhati atakayekuwa mume wangu. Sifa zake Umri: 37-45 Dini: Mkristo Elimu: kidato cha sita na kuendelea...
8 Reactions
75 Replies
9K Views
-Umri kuanzia 14 kwenda juu -Mrembo/natural na anayeishi DAR -Awe single, divorced au widowed (not single mother) -Ajue kusoma, kuandika na kuhesabu -Awe mrefu (urefu kuanzia kozi 7 za tofali za...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wana jamii Mimi ni Mtanzania naishida Kanda ya ziwa, natafuta rafiki wa kike mzuri mtaratibu na pia mwenye hofu ya Mungu. Lengo kubwa kama ikimpendeza Mungu baadae aje kuwa mama wa watoto...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Anatakiwa mwanamke alieye serious na yuko tayari kuishi na mume as soon as possible. Sifa: Mwanamke, mrembo, anaejiheshimu, mcha Mungu. Awe tayari kupima HIV. PM namba yako twende sawa. An ant...
2 Reactions
72 Replies
4K Views
Habarini wadau wa jukwaa la love connect: Natafuta mchumba wa kuoa mwenye vigezo vifuatavyo; 1.Kabila-msukuma 2.Dini-mkirsto 3.Rangi-maji ya kunde/mweupe/white is fashion.... 4.Umri-miaka 18-22...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Habari za weekend wananchi wenzangu, Napenda kuwapa heshima kubwa wote wanaochangia humu JF. Nimekuwa nikifanya research juu ya watafutao wapenzi, wake, michepuko na mirejesho yao pia...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza.. Natafuta mwanamke aliyetayari kuolewa in 6 months Sifa: Muislam Hajazaa Between 20-30 yrs Si mnene, mrefu mweupe ni sifa ya ziada Elimu yeyote HIV free Sifa zangu...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Kama kichwa cha habari apo juu kinavyosomeka, Nahitaji mchumba mwenye sifa zifuatazo; 1.Awe Muislam mwenye imani na dini 2.Umri 22-24 3.Elimu kuanzia kidato cha 6 na...
2 Reactions
3 Replies
798 Views
Mimi ni girl miaka 24 model sio muongeaji sana, natafuta mwanaume wenye umri kati ya miaka 25-30 kwa ajili ya kubadilisha mawazo ikiwezekana kuwa mume, awe ameokoka, sitaki sharobaro. Uliyetayari...
13 Reactions
51 Replies
8K Views
Salamu wadau, Kwa heshima na taadhima na wajulisha kwamba natafuta mchumba/mpenzi wa kike au niseme mwanamke. Angalau awe na umri wa kuanzia miaka 20-45. Sifa: Awe mcha Mungu, imani yoyote, awe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom