Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mambo vp marafiki! Hope mko salama. Leo niko hapa kutafuta rafiki mmoja tu wa kike. Mtu ambaye atakuwa tayari kuongea na mimi, kushauriana, kupiga story. Sijawa tayari kuingia kwenye mahusiano...
6 Reactions
24 Replies
837 Views
Wasalaam dronedrake Natafuta mwanamke wa kuoa; Awe na umri kuanzia 18- 28 Awe mrefu, 5+ feet tall Awe amehitimu form six na kuendelea Awe anapenda kufanya kazi Awe Mwafrika, au mzungu...
10 Reactions
67 Replies
3K Views
Mimi ni msichana, mkazi wa Dar es Salaam, single, miaka 24, Mkristo, muajiriwa sekta binafsi, mrefu, maji ya kunde, mnene kiasi, natafuta mwenza. Sifa: ~Mrefu, mweusi au maji ya kunde, mnene...
14 Reactions
119 Replies
10K Views
Poleni na Shughuli za siku wana JF, Nimekuja nikiwa na uhitaji wa kupata mwenza Mwanaume. Mwenye uhitaji na mahusiano aliechoka kua mpweke kama mimi. Awe mwanaume mwenye umri kuanzia miaka 32 na...
23 Reactions
73 Replies
2K Views
Hi to everyone on this forum! I am a gentleman, 38 years old, Christian - roman catholic, postgraduate, employee, 170cm, ready to settle down and establish a better family with a decent woman who...
4 Reactions
14 Replies
786 Views
Habari. Umri wangu ni miaka37 natafuta mwanamke wakuoa. Kazi nimejiajiri. Mwanamke ni mtakaye. Awe na umri kuanzia 28 nakuendelea. Awe tayari kuishi popote,Asiwe mrefu Sana,,mwenye upendo...
3 Reactions
7 Replies
734 Views
Habarini Mabinti na wale wenye dada zao. Nafasi ni moja tu, anatafutwa binti mzuri wa muonekano na tabia yaani Mtu mwenye Utu na Utulivu. Umri: 18-23 (Asiye mshangazi bila Kitambi) Elimu: Si...
3 Reactions
68 Replies
962 Views
Wanajamvi Heshima zenu Je unahitaji kuunganishwa ili kupata mwenzi wako kama Mchumba na baadae Mume au Mke. Tafadhali tuma wasifu wako kupitia DM ukijielezea ** Umri, Umbo lako, Dini, Hobbies...
4 Reactions
54 Replies
10K Views
Nipo Rukwa natafuta Ke aliyepo Rukwa specific Mjini kwa Mahusiano. Awe na age 20+.Karibu PM
6 Reactions
61 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Kama kuna mwanamke ambaye yupo tayari kwa ndoa namkaribisha mimi ni kijana ambaye: 1. Nimeajiriwa kwenye taasisi kubwa mjini 2. Umri wangu 34 3. Rangi ni mweusi 4. Muislamu...
6 Reactions
45 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Waswahili wanasema katika maisha ni muhimu kuwatafutia wanao mama aliye bora. Na hivyo bila hiana nimeona humu JF naweza pata mke bora maana naamini humu watu wenye sifa ya...
0 Reactions
0 Replies
275 Views
Habari ya uzima wenu wana JF? Natumaini mu wazima. Mimi ni mkazi wa Dar, ni muajiriwa na pia nina biashara zangu za kunipa senti mbili tatu. Umri wangu ni miaka 29 na ni mzaliwa wa mkoani...
1 Reactions
4 Replies
719 Views
Habari waJF? Muda umefika wa kuwa na ubavu wangu. Nahitaji kuoa hivi punde. Binti ambae yupo na vigezo hivi naomba tuwasiliane: 1. Mzuri 2. Umri kuanzia miaka 25-28 3. Dini yoyote 4. Ajue kusoma...
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Moderator usifute neno mbagala kwenye Tittle. Sina mambo mengi ninaweza penda mwanamke yeyote just awe anaonekanika tu (Uzuri Basic), Awe anaishi Mbagala hili isiwe shida kuonana na kuseti hatua...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
Mimi nikijana wa 33yrs natafuta mwanamke wa kumuowa
6 Reactions
45 Replies
1K Views
Habari mimi ni kijana wa miaka 33 ni mfanyabiashara ndogo ndogo Natafuta mchumba Awe chini ya miaka 28 Awe mkristo Awe Arusha/Moshi Awe na kazi/biashara yotote AHSANTE
7 Reactions
63 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari hapo juu cha jieleza natafuta mwanamke wa kumuoa tujenge familia; Awe na umri kuanzia 22-28 Awe na elimu kuanzia kidato cha nne Awe na kazi halali ya kufanya Asiwe mweusi...
16 Reactions
134 Replies
2K Views
Kanitumia hivi HAbari dada naitwaa f natafuta mke wakuoa awe umri kuanzia 22 mpaka 25 ., awe maji yakunde , mrefu wastani, asiwe mnene wala mwembamba sana . Awe anaishi dar , awe anafanya kazi...
3 Reactions
22 Replies
830 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…