Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Msichana yoyote mwenye tatizo,maoni,mawazo anitafute tutasaidiana kwa kila k2 ,kwa nn naomba mnitafute ;nimezaliwa 1993 bt licha ya umri mdogo ninauwezo mkubwa xana wa kufikiri and am xo proud...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
namtafutia rafik yangu mme ni dada mcha mungu ,black beuty, umbo zuri mnene kiasi,mama wa mtoto mmoja, nimekuwa nae kwa muda mrefu hana mtu katika kumchunguza akaniambia anataman sana ila atleast...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nahitaji rafiki wa kike mwenye umri kuanzia miaka 30 - 40. Sifa yake awe mwaminifu, awe anaishi Dar. Ambaye yuko tayari anipm kwa ajili ya kufahamiana zaidi.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Nahitaji company sincerely! Take me serious in this, sihitaji dadapoa ila nahitaji mwenye kujiheshimu miss bantu mzuri bila shaka hatajutia kuwa na mini. Serious PM tu!
0 Reactions
4 Replies
937 Views
Wapendwa ninajitokeza kwenu, kwa mara ya kwanza kuwaeleza kuhusu swala hili serious. natafuta girlfriend ambaye atanifaa mwenye sifa zifuatazo:- 1.awe na umri kuanzia 18-24 (mimi nina umri wa...
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Lady doctor, kwa muda mrefu sana nimekuwa nafuatilia posts zako humu na kwenye MMU. Kwa kweli nimetokea kuvuiwa sana na wewe, unaonekana ni mwanamke unayepaswa kuwekwa ndani, una busara, unajua...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
mi Steve najitokeza kwa mara nyingine natafuta msichana mweupe halisi, mwenye bikra, umri miaka 19 hadi 23 mkatoliki, aliyehitimu chuo au ameajiriwa, msukuma, mrefu wastani. Sifa zangu mweupe...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Haya mabinti wenye sifa zifuatazo mjitokeze Mume nimeshafanya maamuzi ya kuingia kwenye ndoa. Awe Mzuri Kupindukia Awe na Degree Awe Bikra (Nataka nijizindulie) Awe na Heshma Teleeeeee Awe...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
habari zenu wanajamii forum napenda kuwashukru woote wanaochangia maada mbalimbali katika page hii baada ya hayo naomba nieleze ya moyoni kwa mi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 natafuta...
0 Reactions
4 Replies
922 Views
Natafuta girlfriend/fiance Wanajamiiforum! mimi namtafuta girlfriend au Fiance ambaye tutaweza kupanga future yenye uhakika. Mimi nasoma...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Soma Tangazo mapacha wa kike wajitokeze Nitawaoa wote ila wasijekuwa Watatu Sitowaweza na kama kuna Mabinti wanaopendana Sana yaani mabest friends nao wajitokeze kwenye Interview kama watapita...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Am a girl of 30 yrs, naomba mme awe mkristo, mcha mungu, umri kuanzia miaka 34 hadi 40, awe mkweli na mwaminifu. pls aliye interested tuwasiliane kwa e mail pmgissa@gmail.com ili tujuane
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Nahitaji mke wa kuishi naye, awe ana kazi yake nzuri, awe na cheo kikubwa kazini kwake kuanzia Manager, Director wa kampuni au shirika yaani NGO au Civil Society, umri kuanzia miaka 30-40 na awe...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Jaman mm ni mvulana mwenye umri wa miaka 22 nipo kidato cha sita. Namtafuta msichana ambaye anaweza kuwa girlfriend wangu mwenye umri kat ya miaka 19-22 kama yuko tayar naomba anindikie namba yake...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nina miaka 27 umbo la kibantu,maji ya kunde nina mtoto mmoja niliachana na mzazi mwenzangu miaka 4 iliyopita nina degree moja nimeajiriwa na serikal pia ni mjasiria mal mwanaume yeyote single...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Haya jamani leo natafuta wa kutoka nae kwenda Miss Tanzania beauty contest. Sijali sanaa jinsia mimi awe jinsia yyte ile, lakini ajilipie tiket mwenyewe na awe na uwezo wa kujihudumia like...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
HAYA TENA MIMI NA JF NA JF NA MIMI, NIEAPA KUPATA MKE WANGU HUMU JAMII FORUM, ILA SASA TATZIZO WANAOJITOKEZA WENGI WAO OVER AGE WANAWAKE WENGI WA HUMU JF WANAOTAKA WANAUME WENGI WAO NI OVER 3Os...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Maana Mungu ndio humpa mtu mke ila hatujui ni wapi kila mtu atakutana na mkewe,mimi namtafuta humu msichana atakayekuwa mama wa watoto wangu.Awe mcha Mungu(Ameokoka),umri 22-26 ,mweupe,asiwe mnene...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
She almost made me mad. The day I set my eyes on her I couldint believe. She looked like out of this Universe!!!! Such a class woman. No words can ever describe her. But mama umeniumiza sana...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…