Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
jamani kwa girl yoyote aliye single naomba anipe company coz nimechoka kuwa mpweke kiukwel ckuwah kuwa na gal b4
0 Reactions
3 Replies
715 Views
Vigezo Awe na umri kati ya miaka 18-24 Rangi so inshu lakini black is good Aweze kujitegemea sio baby sina vocha Awe na subira na muelewa wa maisha Ajiamini na awe tayari kupima kimo(Urefu)...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ameshapata
0 Reactions
16 Replies
3K Views
my name is nedson a finalist at DSM university studing engineering! as my plan since earlier i intended to get married immediately as i graduate and to comply my plans a request any girl who iz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi, nahitaji mpenzi serious awe na mimi,awe mrèfu fit 5.6 slim mkarimu rangi aina yeyote ile dini yeyote pia, mpenda raha,asiwe mtu wakukasirka ovyo
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 44 natafuta mwenza, mwenye mapenzi ya kweli nina mtoto moja wa kike.Napenda mwanaume mwenye kujishugulisha iwe biashara au kuajiriwa, kama ana watoto wasizidi 2, kwa...
3 Reactions
36 Replies
5K Views
  • Closed
salam kwa wote,.......wana Jf ushauri.....nina boyfriend ambae me na ye tunapendana sana....lyk vry inlove bt i have offred myself to my boyfriend more than twice i mean been to bed together..ts...
1 Reactions
65 Replies
10K Views
habar.natafuta mschana mrembo wa kumuoa.awe mrefu mweupe kidogo na mwembamba.dini muislam na awe na elim yoyote ile.alie tayar ani PM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu kina dada! Nina umri wa miaka 30+ , a graduate, an employee, a committed christsian, six feet tall, a little thin, and slightly black. am looking for : a commited christian girl...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Nina miaka 45,natafuta mke anaeishi mwanza,awe na umri wa kuanzia miaka 35.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hatimaye Kashapatikana jamani....... Hii thread haina haja tena, I wish Moderators waifute tu.......Thanx Jf kwa kunikutanisha nae.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mambo nvp jaman eti, mchumba ninayemfind yupo hapa jf, awe din yoyote awe mkaz wa arusha moshi. Age under 23. Kweli nimechoka kuwa man alone, mimi...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
Habari za leo wanajamii forum, Mimi ni kijana wa miaka 28, naishi Dar, Nina degree moja ya utawala, natafuta rafiki wa kike kuanzaia miaka 21-28 ,elimu yake kuanzia kidato cha nne na kuendelea...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Habari za leo Wana jamiiforum. Moudy wa Sinza, Natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi Dar,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22-...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wana JR, niko hapa leo kutafuta mwanamke wa kuoa, ni kweli kwamba asilimia kubwa ya mahusiano yanayodumu au kukubalika ni kwa wale watu ambao wanafahamiana kwa muda mrefu, kwamba utamjua mtu...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hiv/vvu
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Heshima kwenu wana Jukwaa Natumaini kwa uwezo wake Mungu wote hatujambo. Kama kuna mgonjwa basi Namuomba Mungu amponye ili tuendeleze ujenzi wa taifa letu. Nami leo Najitokeza katika jukwaa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
MAMBO?NAITWA IBRA NATAFUTA RAFIKI WA KIKE SI MPENZ ALIE TAYAR NITAFUTE KWA 0783462764 na 0759504401 kunipat ni sa 6usiku
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa wana JF natafuta mchumba wa kuoa...am more than serious katika hili jambo. Natafuta binti mwenye vigezo vifuatavyo:- mcha mungu, umri miaka 20 hadi 33. Elimu kuanzia Kidato cha sita...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni kijana wa miaka 24. Nikumekuwa nipo alone mdaa, nahisi kuna kitu na miss sana ahaa inachosha kuish hivi. Anayetafutwa hapa ni good akiwa mkaz...
0 Reactions
3 Replies
868 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…