Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Nina mchumba ambaye nimedumu nae miaka minne likini bado natamani wanawake wengine,nifanyeje?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, Mimi ni mwalimu natafuta mke wa kuoa nina imani hata humu ndani anaweza patikana kwani hatukuainishiwa sehemu ya kumpata mke aliye sahii. Pia mimi ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naombeni ushauri... Nimechoka kuishi peke yangu natamani nipate mwanaume tuanzishe familia .... lakini kila anaenifwata moyo wangu unamkataa maana bado nampenda my x ambae aliniacha wakati bado...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Jamani Mimi ni mwanamke Mtu mzima,najiheshimu,nimeshamaliza purukushani za dunia ,sasa nataka mwanaume Mtu mzima wa kumaliza nae,awe mweusi,mfupi,kabila na dini yeyote,pia ajitume wakati wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Salama wana MMU.Sorry kwa kuwachosha, MKE AU MUME SIO BIDHAA UNAYO WEZA KUIPATA SUPERMARKET AU SOKO MJINGA,CHUKUA HATUA KAMA UNANIA NA SIMAMIA MISINGI YA MAISHA YAKO BADALA YA KUTANGULIZA...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Natafuta girlfrend kweli nipo real, jaman mi kijana wa kitanzania nlie mpweke natafuta wa kuntoa upweke jaman, haya sifa awe mkaz wa arusha au mosh...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
habaini wana jf.Naomba ushauri wenu mimi ni kijana wa miaka 26 imetokea nimependwa na msichana ambae ni mchumba wa mtu ambae tayari alikua ameshatolewa mahali na nipo nae kwa miaka 3 sasa tangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu wana jamvi kua hamjambo. Najitokeza kwa mara ya kwanza katika ukumbi huu nikimtafuta wangu wa maisha. Mimi ni kijana mwenye umli miaka 30. Ni mtumishi wa umma nimeajiliwa kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu akina dada,mimi ni kijana mzuri sana kitabia,ila hadi sasa hapa nilipo na miaka yangu 29 sina mwanamke ninaeweza kusema ni mpenzi wangu.Nimechoka na haya maisha jamani kila siku mawazo...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
habari,naitwa saidi natafuta msichana wa uchumba hadi ndoa miaka kuanzia 21 hadi 24 awe na elimu ya form 4 na kuendelea awe na urefu wa kawaida maji ya kunde au mweupe muislamu......mimi nina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya miangaiko ya hapa na pale,weekend ndo inaishia hivyo,ila sijachelewa Nahitaji mwanaume yeyote Yule anayejiamini na anachokifanya nile nae bata Na atazawadia zawadi nono kama atafanya...
1 Reactions
53 Replies
4K Views
Mm ni kijana wa miaka 23,natafuta msichana mvumilivu,asiyependa pesa,ana mapenz ya kwel kama yupo ani pm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
habari zenu wana jf. umri wangu miaka 25 natafuta mchumba, awe muislam na mcha mungu awe na elim yeyote ile, umri wake miaka 18-23. mi nipo dsm. aliye serious karibu sana, luv u all. (my name is...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mim n kijana wa kiume mwenye umri wa miaka 24, n graduate mtarajiwa toka 1 of the public versities. Natafta bint alyetayari wa kumake naye future, awe mkristo na mwenye umri 20-24. Elimu na rangi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani hivi kwa nini watu wakiona request kama hizi yaani wanakuja kwa spidi sana, wakati hata mtu humjui, chungeni adabu yatakuja kuwatokea puani bure....nawasilisha
1 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wana JF Mimi ni mwanamke, natafuta mchumba. Awe na miaka kuanzia 36 na kuendelea. Dini awe mkristu na mcha Mungu, Awe hajawahi kuoa wala asiwe na watoto. Elimu chuo kikuu. Awe serious na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji rafiki wa kike ambaye anaweza kuwa mke wangu wa maisha baadae.awe mpole,mkarimu na mwenye heshima elimu at least form four.kuanzia miaka 18-23. kwa aliye tayari anipm ili tufahamiane.
0 Reactions
0 Replies
788 Views
Natafuta msichana wa kutoka nae kila mwisho wa mwezi... SIFA: 1: awe anapatikana dodoma au singda. 2:awe mweupe 3:asiwe mnene /tumbo wala kitambi 4:awe msafi anayenukia na...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Natumai wasomaji mu wazima. As the heading refers, am a man aged 31 yrs old, graduate (economics), public servant at one of the ministries, looking for a very very buautiful lady who is focused,at...
1 Reactions
8 Replies
985 Views
Jamani niseme wazi kuhusu ukweli wangu, tangia nikiwa nursery nilikuwa sipendi kuwa na marafiki wa kike, mpaka namaliza chuo sikuwa na rafiki wa kike ata mmoja zaidi ya girlfriend wangu, mtazamo...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Back
Top Bottom