Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Napenda kuwapata marafiki waliopo tayari au ambao wameokoka na wanaompenda bwana
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waungwana wanaJF. Kama miongoni mwenu kuna anaetafuta mke basi ani PM wasifa wa dada yangu .miaka 30 mwembamba wa kati, dini ni mkristo elimu shahada ya kwanza.mume amtakae wasifu wake awe mkristo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
jamani kutokana na ushauri wenu wana jamvi na mimi nimeamua nimtafute mwenza hapa rafiki nilikosa maana kipengele cha kutongonoka kiliwashinda naona tu nitafute mwenza (A)sifa za nimtakae 1 awe...
3 Reactions
188 Replies
13K Views
Awe anajua majukumu yake yote muhmu kwa mumewe,sio tuanze kufundishana tena.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Vigezo: 1. strictly chatting, we will never meet face to face 2. Christian, politician, computer geek, Man utd fan or IT Student /specialist itakua sifa ya ziada 3. Awe na age kati ya 19- 24...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wajameni ninahitaji mke mwenye sifa zifuatazo: Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno mwenyekujua maana mume ninini mweupe wa tanga na zanzizabar watapewa first chance dini yyt ila...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari yenu watu wa Mungu ... Natafuta mpango wa kando aka nyumba ndogo aka small house ... Sifa 1. Awe ni Mwanamke 1. Awe Ameolewa na ameachika 1. Awe ameolewa na anajuta kuolewa 1. Kama...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakuu wa jf,mimi ni mwanaume miaka 29,niko masomoni nje ya nchi nategemea kurudi Tz mwakani by june,natafuta mweza wa maisha ili tuanze mawasiliano saizi ili nikifika tumalizie tu taratibu za...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
habari zenu...wikend hii nipo mpweke sana hivyo natafuta company ya dada amabaye ataambatana nami beach tukapunge upepo everything on me yeye awe na vifuatavyo 23-27 yrs tall not less than 170cm...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
natafuta demu wakwenda angalia nae mechi ya taifa stars....awe mpenzi wa mpira mchangamfu na muongeaji. age: 24-27
0 Reactions
7 Replies
2K Views
AISEE WANA JF, NATANGAZA KUTAFUTA THE DESPARATE HOUSEWIVES WHO ARE STRONG, BRAVE, OUTSPOKEN AND COURAGEOUS. MANY WILL BE SURPISE TO ASK WHY THE DESPARATE HOUSEWIVES. I AM REGARDING...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ebu tuelimishane. Kwa muda mfupi niliojiunga JF nimekua nikisoma sana post za love connect na responses mbali mbali zinazotolewa na members and I must say am deeply dissapointed. Naona hii ni...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Katika hali ya kustaajabisha, Mzee mmoja hapa kijijini kwetu amemkuta binti shambani kwake akikata kuni juu ya mti.Nisme alikua anaiba kuni. Mzee alimtokea kwa kumvizia na wengi tulikua tunaomba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa alie serious tu!! Age kuanzia 24!! nipo very reliable! (namaanisha kwa malezi ya mtoto)
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Natafuta msichana zeruzeru kuanzia miaka 22 na asizidi 30 na ajue kupika.Mawasiliano tuanzie pm.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nimekaa chini nikafiria, wanawake wengi sana kwenye hii Tanzania,nimewapata wa aina tofauti tofauti,ckuwa na mipango nao endelevu zaidi ya raha za muda tu. Ila napenda nipate kabinti kazuri cha...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Nilikuwa naye kwa miaka miwili, tukawa tunaona wakati wa likizo, we were making love except sex.! Coz nlikuwa naskia matetesi..doo ni mkali ile mbaya, walikuwa wanamgwaya ndo wakasambaza mastori...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Hello wana JF, natumaini muko wazima. Mie ni kijana mvulana, ninatafuta rafiki wa kike ambaye tunaweza kuanzia hapo kimahusiano mpaka kutimiza malengo ya kuishi pamoja kimaisha. Msichana awe na...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Najua kuna maeneo mengi ya kumpata,kanisani etc lakini hata humu wanaosoma na hasa wewe unaesoma hii thread una akili timamu (a girl) sisemi wanaume si timamu hapa am talking about my coming girl...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Nataka haraka, mwanake mtu mzima anayenizidi umri. Kuanzia miaka 42 mpk 50. Naona vitoto vinanizingua tu.
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…