Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Mimi ni mwanamke 35yrs, watoto wawili, elimu yangu degree. Natafuta mwenza wa maisha yaliyobaki duniani, nimekuwa mpweke kwa muda mrefu tangu nitengane na mwenza wangu ambaye tulishindwana. Ni...
49 Reactions
173 Replies
6K Views
Habari wanajamii, natumaini mnaendelea vyema. Mimi ni mwanamume mwenye umri wa miaka 38, naishi hapa Dar es Salaam. Natafuta mwenza wa maisha mwenye malengo ya dhati na uhusiano wa muda mrefu...
12 Reactions
95 Replies
2K Views
Nimegundua kuwa wanaume wenye sifa zifuatazo huwa na wivu wa kishenzi kwa wake/wapenzi zao (1), Wenye vibamia au ambao wanahisi kutowaridhisha wapenzi zao wawapo sita kwa sita (2) Ambao hawatoi...
1 Reactions
19 Replies
5K Views
Habari rafiki, kama kuna mwanaume anaevurugwa au kuteswa na mapenzi naomba usipate stress, njoo tuwe marafiki usilewe kupita kiasi utapata stress utadata buree, njoo rafiki tubadilishane mawazo...
4 Reactions
17 Replies
718 Views
Habari za humu jf Mm ni mwanamke umri 32yrs naishi Dsm natafuta mwanaume wa kunioa Sifa zangu Trible:Chagga Elim Diploma Kazi: Biashara ndogondogo Dini:Mkristo Lutheran(KKKT) Sina mtoto wala...
70 Reactions
288 Replies
15K Views
Habari ,natafuta mke wakuoa awe na sifa zifuatazo. 1: Awe na elimu Kwanzia kidato cha 4 na kuendelea, 2: Awe anajitambua 3: Awe anaweza kuongea kiingereza 4: Awe anajua kupika na msafi 5...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Naomba niwatake wale wote wanaidhani mimi siyo muoaji au nipo hapa kupiga watu na kitu kizito kwa kulinganisha technical and fundamental analysisi ya trend za nyuzi zangu humu JF...
2 Reactions
6 Replies
919 Views
Nimekuwa nikilitafakari jambo hili kwa muda sasa kuhusu ni nini maana ya kweli linapokuja suala la kumpata mwenza wa maisha. Sio kuhusu uzuri, umri, au mambo ya muda mfupi. Ni kuhusu kujenga kitu...
5 Reactions
13 Replies
590 Views
Habari, jina langu halisi ni Baraka, nina miaka 39. Kwa sasa, niko katika hali ngumu maishani. Sina makazi wala mali, na bado najitahidi kujenga maisha yangu upya. Hata hivyo, nina imani kwamba...
11 Reactions
33 Replies
769 Views
Wasalam vijana na wazee wa JamiiForums mie naitwa Fetty sio muislamu lakini nimwanadada ninayetafuta humu mwenzi wakutulia naye tena awe Mkristo mwenye uhitaji wa mke. Asiwe mdogo sana au mzee...
14 Reactions
228 Replies
12K Views
NIMEYAPEZA MAPENZI 1 Kumbatio la mwandani Nilalapo mapajani Niwe juu yeye chini Nimeyapeza mapenzi 2 Kudeka anidekeze Siri nizimueleze Sauti ailegeze Nimeyapeza mapenzi 3 Kwa ufundi...
0 Reactions
7 Replies
265 Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 Naishi Morogoro Dini mkristo Kazi ni mwalimu Mke awe na sifa hizi; Mrefu kiasi Awe na kazi sio golikipa Miaka 20_27 Awe na tabia njema Ukiwa na sifa hizo...
1 Reactions
10 Replies
334 Views
Mimi ni kijana wa kiislamu nina miaka 35 nahitaji mke pia mimi ni mweusi nafanya kazi serikali . Mke ninayemuhitaji awe muislamu kazi sio muhimu awe mweupe na asiwe na mtoto miaka isizidi 30 pia...
1 Reactions
1 Replies
138 Views
Awe muislam . Awe anajua dini . Apende kusali, Awe anajali na awe ametulia . Awe mrefu wastani. Elimu awe nayo awe anajua lugha ya kingereza kaka yangu anakijua vyema . AWe anajisitiri . AWe...
2 Reactions
8 Replies
257 Views
mambo vipi waungwana, jamani mimi ni mwamba hapa 32 toka niwepo hapa duniani, napatikana pande za dar, mwajiriwa kwenye kampuni kubwa tu si haba kubadili mboga na hta kwenda kibaha kuulizia...
16 Reactions
66 Replies
1K Views
Mnamo mwaka jana mwezi wa 8 nliweka tangazo la kutafuta mume humu ndani nikarudia tena February mwaka huu, nilipata pm nyingi nyingi tu na nlizijibu kadri ya uwezo wangu. Nilibahatika kuonana na...
60 Reactions
388 Replies
38K Views
Namtafuta mchumba 1 Hodi naleta maombi, ya uchumba Hapa niiweke kambi, na kulimba Nile za maziwa tambi, nina sumba Namtafuta mchumba, ajilani 2 Barua hii iwazi ,isomeni Na awe yangu saizi...
3 Reactions
17 Replies
308 Views
Wana Jf nimechoka na ukapela Kwa ufupi tu Nilioa na ndoa yangu imevunjika miaka mitatu iliyopita. Tuligawana tulivyo chuma kila mtu ana maisha yake na kwake Nimejipa time ya kujiangalia na...
2 Reactions
5 Replies
234 Views
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani...
37 Reactions
239 Replies
23K Views
Nina miaka 32 natafuta mwanamke tufunge ndoa awe muislam umri 19/25 kabila lolote lile
9 Reactions
27 Replies
501 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…