Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Naitwa Iman Umri miaka 26 Nimejiajiri nb. Mkurugenzi wa Kampuni Makazi: SHINYANGA SIFA ZA MSICHANA HUYO - Awe mkristu -black beauty - awe mtiifu - awe mkweli -urefu wa kati -umbo la kati -...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Ndungu zangu nimejitolea kwenu bila woga,hofu Wala mashaka natambuwa wazi si kila mmoja wetu atavutiwa na hili Ila naamini Mungu ni mwaminifu naweza fikia malengo katika mazingira haya. Kiukweli...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanasema hakuna marefu yasiyo na ncha. Ni takribani 5yrs imepita tangu nifiwe na marehemu mke wangu. Mara baada ya mama watoto wangu kufariki nilikuta nimeingia katika mapenzi na mama mmoja ambae...
7 Reactions
30 Replies
3K Views
Mimi naitwa Jeff nakaa Dar. Nina miaka 40 natafuta mwanamke ambaye tutakubaliana kuoana. Nimeajiriwa na pia Nina shughuli zangu ndogondogo. Awe mwembamba asiwe mnene hata akiwa mnene asiwe na...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu Mimi Ni kijana mwanachuo (20-24) ndo umri wangu Takribani miezi mitatu imepita tokea niachwe na mwanamke niliempenda kwa dhati Nimepata shida kumsahau ingawa kidonda ndio...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuhusu Mimi; Umri: Miaka 35 Kazi:Mwajiriwa Serikalini Elimu:Shahada ya uzamili katika maswala ya anatomia ya binadamu.(Human Anatomy) Familia/Mahusiano:Sina mtoto wala mke ingawaje niliwahi...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Umri wangu ni Miaka 34 Mrefu, Mweusi Mkristo, Nimeajiriwa Botswana, kwa Sasa likizoni Tanzania, Niliwahi kuoa ila ndoa ikawa ndoano, Aliyekua mke wangu ni kama ya (Frola Mbasha). Mwanamke...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
Wadau, Mimi ni mdada wa miaka 30 sasa, nina mtoto mmoja ana miaka 12, nilizaa katika umri mdogo ila ndo changamoto na nimekabiliana nayo, natafuta mwanaume ambaye atakuwa partner wangu wa maisha...
6 Reactions
74 Replies
11K Views
Mimi ni mwanaume, 44 yrs Nina watoto wawili Nimejiajiri kwa shughuli zangu binafsi hapa Dsm Dini yangu ni Mkristo , Mwanamke anaehitajika, Mkristo wa dhehebu lolote , umri, elimu na kabila so...
3 Reactions
1 Replies
875 Views
Nimekusubiri sana mpenzi, mke na mama wa watoto wangu. Uko wapi mbona umechelewa sasa mamangu? Ujitokeze tuitengeneze familia. Mwanamke uliye na ndoto ya kuwa na mume na kuwa na familia yenye...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
I’m pretty easy going, down for whatever. I have a huge heart, and I care a lot about people. I’m an open book, ask me whatever. I have a passion for knowledge. I have a passion for teaching. I’m...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja na Mwajiriwa wa Serikali. Natafuta mume mwenye status kama yangu. Kama yupo tayari anitext PM kwa maelewano na maelezo zaidi. Umri 40 na...
11 Reactions
38 Replies
4K Views
Muda umefika sasa wa kutafuta jiko - yaani kuoa. Nina miaka 39 sasa natafuta binti mtanashati, mrembo, mpole na mshika dini - awe ana miaka 22 hadi 24 asiwe na mtoto, msomi walau kidato cha nne...
2 Reactions
84 Replies
10K Views
Wana JF nina tatizo la domo zenge na umri wangu wote huu (miongo mitatu naa) sijapata mchumba wala mke!! Nahitaji mchumba...jinene hivi lakini si unene wa mchina, miaka 30 mpaka 35, elimu fomu 4...
1 Reactions
35 Replies
7K Views
Mimi ni mgeni hapa JF ila nimekuja kwa nia moja mume. Nahitaji mtu ambaye yupo serious na maisha. Ila mimi nampenda mwanaume ambaye anajua anachotaka. Ajiheshimu sijali umri najali kujua yeye...
16 Reactions
168 Replies
14K Views
Katika pita pita yangu kwenye mitandao nimekutana na hii,nafikiri inaweza ikapata msaada zaidi kwa wale wana JF ambao nao wanatafuta wenza. Naomba niquote: "Mimi naitwa Raymond. Ni mtanzania na...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wanajamvi wenzangu!! Poleni kwa janga hili linalotukabili. Mm ni jinsia ME, Umri wangu miaka 29, mrefu sio sana mwembamba. Elimu yangu ni Shahada. Najishughurisha na ujasiriamali. Kwa...
0 Reactions
2 Replies
943 Views
Habari, natafuta mke wa kuoa, awe daktari/au anaefanya kazi kwenye medical field (sio nursing) mwembamba Miaka hadi 28 Awe anakaa na ni raia wa TZ Asiwe mke wa mtu au asiwe na mtoto au aliewahi...
4 Reactions
68 Replies
7K Views
Nianze kwa kuwasalimu wote kwa upendo wa dhati kutoka moyoni mwangu. Niombe samahani kwa huu uzi wangu ambao umelenga kabila fulani. Nina sababu maalum kufanya hivyo wala sio suala la kuendekeza...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Habarini wanajukwaa Mtu mzima mwanaume mwenye makamo ya miaka 50+ anahitaji msichana umri 21-27 kwa mahusiano ya kudumu. Vigezo vya muhimu uwe Dar es Salaam, elimu ya kidato cha 4 kushuka chini...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…