Mimi sio malaya ila natafuta rafiki ambaye atanipa kampani ya kuchart kuongea na kushauriana kukutana na kuongea tu sio kingine kama uko serious ni contact ila uwe Arusha
Wanajamvi, kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni kijana umri wangu ni miaka 36, nipo mkoani. Leo hii nimejitokeza kwenu ntafuta mke na sio mchimba sababu nipo tayari kufunga nae ndoa mara...
Kichwa cha habari hapo juu cha husika
Mume wangu popote ulipo nimechoka kukusubiri, sijui kwa nini utokei unaachia gap mabaharia kuendelea kunidanganya tu
Kwa sasa naendeleza gurudumu la maisha...
Mimi ni msomaji mzuri wa humu muda mrefu sana,najitokeza kwenu kutafuta mume ambae yuko tayari kwa ndoa na kupima ukimwi.
Wasifu.
Ni mama wa mtoto mmoja.
Naishi Dar es salaam.
Elimu yangu chuo...
Habari, Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30. Ni mwajiriwa na nina elimu kiasi. Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe...
Habari,
Natafuta mume muislam aliye na hofu na Mungu. Awe na miaka kuanzia 30 na kuendelea awe mkoani kilimanjaro au Arusha.
Nina miaka 28 na nina mtoto mmoja sijawahi kuolewa.
Shukrani
Hello everyone,
This is to inform you that there exists a vacancy for a young beautiful lady who is looking, willing and committed to settle down and begin a family.
I am a young Christian man...
Mimi ni mdada miaka 28,muajiriwa taasisi binafsi.
Rangi yangu kama ya Hamisa obeto.Umbo langu kama la Haika Navy kenzo(flat fulani hivi lakini halichoshi kuangalia wala hulikinai)
Urefu ni size...
Niliwai kuweka offer yangu humu kuwa nahitaji kuoa lakin mke asiwe na uwezo kwa namna yoyote kuzaa. Nitampenda mno. Nina watoto 2 tayar.
Mama zao walishaolewa zaman huko. Sitak kuongeza kamwe...
Wakuu huu Ugonjwa wa Corona ni siriaz afu ukiwaza Chain yake basi Walioathirika wanaweza kua wengi kuliko, tuzidi kuchukua tahadhali madhubuti
Sasa nije kwenye Mada
Hili jukwaa ni kwa ajili ya...
Vigezo;
Umri:miaka 22-28.
Dini:Muislamu.
Elimu: kuanzia f.four na kuendelea.
Asiwe na mtoto.
Mimi;
Umri:miaka 30.
Dini:Muislamu.
Elimu: chuo kikuu.
Sina mtoto.
Karibuni PM.
Sent using Jamii...
Habari wanajamvi wenzangu!!
Poleni kwa Majukum
Kwa jina naitwa John,
Umri wangu miaka 28,
Elimu yangu ni Shahada
Ni mkazi wa Mwanza
Nipo hapa kutafuta rafiki/mwenza ambae yupo serious na anaejua...
Utangulizi hapo juu, unamaana,
Ningependa kumpata mwanadada anayejitambua, anampenda Mungu na kujiheshimu.
Elimu sio dili, vigezo hapo ndio vinamata.
Mimi ni MKRISTO.
Awe na umri kati ya...
Nawasalimu toka Kijiji Cha Wishiteleja. Wilaya Kishapu, Mkoani Shinyanga.
Ngoja twende kwenye mada, maana staki kumchosha mtu hapa.
Sasa baada ya kuweka tangazo la kutafuta Mchumba, Mume nk...
Poleni na corona guys tujihadhari huko marekani watu weusi wanaongoza kwa vifo ni kwasababu wanaongoza pia kwa idadi ya watu walio na kisukari na magonjwa yanayofanana na hayo so take precautions...