Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Hello wanajukwaa, Mimi ni mwanamke wa miaka 31 Nina mtoto mmoja Ni mkristo Nimeajiriwa Najitokeza kuweka tangazo la kuhitaji mume aliye na utayari. Awe mkristo Awe na miaka 33 -40 Awe na kazi...
10 Reactions
35 Replies
4K Views
Hello members,, Abushiry npo dar nahitaj marafik wa rika yoyte umri kuanzia miak17-30 umri wangu miaka 20,,wenye kuleta faida katka maisha.shukran
0 Reactions
6 Replies
857 Views
Hellow wapendwa , Poleni na majukumu , Nahitaji mwanaume aliyeserious ambaye mahusiano yetu yatapelekea ndoa , awe mkristo wa dhehebu lolote , umri 36-45 ,awe mrefu mana mie mrefu na mnene kiasi...
6 Reactions
32 Replies
6K Views
Habari zenu Mimi ni kijana wa miaka 27 naishi dar es salaam. Natafuta mke wa kumpenda na kujenga familia nae.kwangu naona huu ndio wakati sahihi wakuanza kujenga familia. Kwanini natafuta...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Assalaam Alaykum! Mm ni mwanamke wa Kiislam umri (30),Sijawahi Kuolewa na wala sina mtoto Nahitaji Mume Mwenye Sifa hizi:- Awe Muislam, Awe yuko ndani ya Ndoa tayari, Umri kuanzia 35-50, Awe...
34 Reactions
190 Replies
14K Views
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 28, natafuta mke mwenye status kama yangu. Kama yupo tayari anitext pm kwa maelewano na maelezo zaidi umri asinizidi miaka mitano.. Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari zenu natumai ni wazima kuna tabia kwakweli humu sijapendezwa nayo unakuta MTU anapost anahitaji mwenz wanakuja watu na kuanza kumdhihaki kumsema na kejeli kiukweli huo ni ushamba.kama hauko...
4 Reactions
5 Replies
989 Views
Ndugu zangu wasaalam mimi ni kijana 29 yrs kwa umri huu na kujituma ninakofanya ajitokeze msichana yeyote kuwa msaidizi wangu mwishoni tujenge familia sina uchaguzi mwingi naamin muke mwema...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamvi. Natafuta mwanamke aliye tayari kuingia katika mahusiano ili tufunge ndoa .Sifa awe mrembo mchapa kazi mwenye upendo ,dini yoyote ila tukifikia hatua ya ndoa awe tayari...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habri wanajf mm nikijana wa miaka 25 natafuta marafiki wakike waliotayari katika kushauriana kuwasiliana na kusaidiana awe na umri kuanzia 19 hadi 23
0 Reactions
121 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu, Niende kwenye point moja kwa moja. Mimi nimekuwa nikiifatilia JF kwa muda mrefu zaidi ya miaka miwili sasa. Mimegundua kuwa hapa ni sehemu sahihi na unaweza kupata au kutatua...
2 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari za siku nyingi waungwana.. Ewe Bachelor mwenzangu unayehangaika kutafuta mke sehemu mbalimbali hadi huku mitandaoni bila mafanikio hii ni habari njema sana kwako......Fuatilia. Sio jambo...
4 Reactions
60 Replies
5K Views
bonjour wana jf ! umri wangu ni miaka 32 ni mfanyabiashara naishi singida, Elimu yangu ni chuo. nahitaji mwanamke mwenye sifa zifuatazo ili awe mke wangu ! awe mcha mungu dini yoyote,awe na umri...
0 Reactions
4 Replies
829 Views
Kwa hakika upweke ni mbaya sana unaweza jikuta unajinyonga ndani Peke yako, ninatafuta mwanamke umri kuanzia 20 mpka 28 , awe anajielewa na anapenda kujishughulisha, ila awe tayari kuhamia...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Sina kazi,sina pesa, sina msichana wala mke ila nina hofu na Mungu na nataman sana kupata mwenza kikwanzo kazi sina. Elimu form 6 naishi kucheza mpira ndondo wanaita, na kuwa kibarua wa fundi wa...
4 Reactions
57 Replies
4K Views
Habari Nina 30 miaka natafuta mwanamke kuanzia miaka 40 kuendelea awe dini yoyote kabila lolote. Awe anajishukhulisha na chochote hata akiwa na watoto sio mbaya awe tayari kuchek afya pia asiwe...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari zenu natumai ni wazima kuna tabia kwakweli humu sijapendezwa nayo unakuta MTU anapost anahitaji mwenz wanakuja watu na kuanza kumdhihaki kumsema na kejeli kiukweli huo ni ushamba.kama hauko...
2 Reactions
2 Replies
519 Views
Nahitaji rafiki wa kike, Dini,kabila,rangi na location popote/yoyote Mwenye kupenda kushirikiana, Nipo mpweke mno. Natanguliza shukran, Karibu DM
0 Reactions
0 Replies
500 Views
Sijali elimu wala kazi yake. Ila ningependa awe mrembo na kikubwa awe mwenye hekima ya kuishi na mume. Endapo atapenda tutafunga ndoa japo sio lazima pia kama hahitaji Mimi umri miaka 30 Ni...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Natafuta mwanamke mtu mzima anayejielewa na ambaye anahitaji kuwa na mwanaume wa kutulia nae kimahusiano. Nahitaji wazee wenzangu umri kuanzia miaka 30 au zaidi na mwisho ni miaka 45. Ukiwa na...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
Back
Top Bottom