Yani mwanaume hakuhudumii kwa chochote na amekuoa hajui mnakula nini, kodi inalipwaje yaani hakuna lolote anafanya.
Ukimwambia kuhusu kazi yeye haoni kama kuna kazi anaweza kufanya na sio kwamba...
Mwanamke mwenye sura nzuri,macho angavu,midomo laini,na pia anayejua kudeka indeed huongeza ashki katika mapenzi.
Kama huna/haujawahi kudate na mwanamke mweupe kisura pole sana,pambana na hali...
Ni zile type unaziona zipo na mke wako kama marafiki tangu unavyomjua na hata ukichunguza utaambiwa ni mabesti wa long time kitambo sana.
Na mara nyingi hali zao za kiuchumi zinakuwaga za kawaida...
Mimi binti wa miaka 24 mwaka jana nilipata mchumba akaja hadi nyumbani akanitolea kishika uchumba baada ya hapo tukawa tunasubiri mahali siku ya kutoa mahali ilipofika kweli alikuja na mshenga...
Rejea kichsa cha habari hapo juu naonba dawa yake pls
Huu mwaka shida sijaweza kujua siku zake na wala sina shida nazo ila ukionaaa tu mnagusana anakwambia pls nimechkka
Ukilazimisha anakupa...
Kuna huyu mpenzi wangu nashindwa kumuelewa, amekuwa na tabia ya udokozi udokozi wa hela.
Yeye haombi, akiona kuna laki atanivizia nikiwa nimelewa, anachomoa kama arobaini hivi anakaa kimya...
Habarini za muda huu wadau!!
Kumekua na video kadhaa ziki postiwa mitandaoni zikionyesha baadhi ya watu (waume/wake) za watu wakiwa wamefumaniwa.
Je, ni kipi sahihi kifanyike endapo utamfumania...
Shalom,
Oalaakalooo 🤣🤣🤣🤣🤣
Walimwengu walisema tembea uone, kuoa uyaone na mtembea bure si mkaa bure, mgagaa na upwa hali wali mkavu, mguu wako ndio riziki yako.
Kama kawaida Mungu anabariki sana...
Hello Ladies and Gentlemen at MMU, it has been long time haven't had my pen and paper but today I have a piece to share and discuss if you won't bother neither mind....!!
The matter on the...
Ndoa ya mwanaume mpare na mzaramo kimanzichana Dar es salaam yavunjika kisa mke hawezi kula kande na ugali anasema akila tumbo huuma anataka chips Kuku,mayai na wali na mboga yeyote sio kande na...
Tumekuwa tukihimizwa kutafuta hela na tusiendekeze mapenzi, Sasa bwan mdogo wetu Yamal yashamkuta huko,demu kawekwa kwa mapaja na mwamba mwingine kijana kahamaki,... ingawa kiasi fulani kajipata...
katika harakati zangu za kuwa na sampuli mbalimbali; wenye chura matata, warefu, wafupi, wembamba, wanene n.k, nimeona hayo maisha ni ubatili mtupu.
Mwisho wa siku wanakuwa hawana shukrani, zaidi...
Daah asee kati ya vitu ambavyo nimekosa kuwa na ujasiri navyo bac ni kupima ngoma (UKIMWI).
Me bhna kila siku afya yangu huwa naipima kupitia mademu zangu. Kww bahati mbaya mara nyingi nmekuwa...
Habari zenu wanaJF wenzangu
Nina rafiki yangu ambae tumekuwa nae, tumesoma nae na kucheza nae toka utotoni. Homie huyu tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi ya kimaisha, mpaka kupelekea...
Tatizo litakuwa ni nini hapa..? Hivi sasa jamii na hichi kizazi kwa ujumla mambo yamebadilika sana, haswa kwenye suala la mahusiano na haya mahusiano ndio msingi wa uchumba,ndoa mpaka kujenga...
When I fucked up big time after being warned by two noble men, I tried to get evasive with them, but reality always catches up with you. Like reading from the same script, both men when they...
Mwanaume timamu hata kama una watoto 5 nje ya ndoa unaanzaje kuoa mwanamke mwenye mtoto?
Kwamba mwanamke aliyezaa hata ukilala naye siku moja unashindwa kujua kwamba kazaa?
Unadanganywa kwamba...
Wakuu,
Naumia sana, nateseka sana nimepambana vya kutosha kutongoza hadi nimemshawishi mwenzangu tuishi pamoja lakini tatizo hanipi ushirikiano kwenye kunipa tunda.
Yaani wakuu hakuna kitu...