Niko kwenye uhusiano mdada flani,shida ni kwamba alikuwa na boy wake lkn waliachana kwa sasa anavyodai ni rafiki yake wa kawaida ila muda mwngi anakuwa naye pamoja na hata Idd walitoka wote cuz me...
imekuwa ni mchezo wa kawaida kwa huyu mwalimu wa kiume..kufanya mapenzi na wanafunz wake wa kike tena wengine ni watoto wa form2..acpojirekebsha 2tamtaja jina lake na shule...
Ukweli ni kwamba hata Polisi walipofika katika eneo la tukio waliamini kwamba yule mama alikuwa ameuawa na majambazi. Kwani wakati mauaji yale yanafanyika mume wa yule mama alikuwa baa ya jirani...
Baada ya mihangaiko na shughuli nyingi za Jiji letu hili niliamua kujipumzisha sehemu moja ili nivute muda kabla ya kurejea nyumbani. Actually ni sehemu ambayo upande mmoja kuna TV kubwa na kwa...
Habarini ndugu zangu...nilishawah kuja hapa kuwaelezea manyanyaso niyapatayo kwa mama na dada wa mume wangu,Mkanishauri na kweli nilisimama na kusema NO!
Kilichofuata ni visa toka kwa mume...
Hakika ni muda mrefu tokla brazatk mada jamvini kuandika mana zaidi marafiki na meseji za mapenzi ndizo nilizokuwa nabandika, lakini leo nimeamua kuadnika sehemu ya pili ya mada hii ya jinsi ya...
Ni muda mrefu tu natafuta mchumba lkn sijampata ambaye nilikuwa namuhitaji sasa najiuliza je? nikisema nimuowe yeyote tu sitapata taabu hapo mbele ya safari au nifanye nini? maana nina hamu...
Habari zenu wana jf
Mi ni mgeni nimejiunga nanyi baada ya kuvutiwa na michango yenu ya kila siku na napata mafunzo sana,
Naombeni ushirikiano wenu
nawapendajeeeeeeeeeeeeeeee
Asanteni n mbarakiwe
Nimekutana na ripoti ya utafiti mmoja inaonyesha kuwa wanawake wengi hawapendi wanaume wanaonyoa nywele zao za chini zote (katika pubic area) kwa madai kuwa wanaume wanaonyoa nywele hizo zote ni...
DUNIANI KUNA VITUKO:
By Paul Thompson
A police officer faces criminal charges after he posed as his identical twin to have sexual intercouse with his brother's girlfriend.
Jared Rohrig, 25...
ivi inakuwaje mwanamke anafika kileleni kwa mda mfupi sana kisha anasema yeye hawezi endelea ametosheka? Kwa maranyingi husikia hawa viumbe huchelewa sana! Au huyu mwenza wangu anatatizo au mimi...
Jana wakati nimemaliza kuangalia mechi tamu kati ya Man untd na Everton,tulijikuta tumekaa nje nyumbani vijana kama wa-4 hivi,kiumri wote tuko kwenye 30's,kati yetu aliyekua ameoa ni mmoja na...
It hurts so much whenever I hear a man crying over a woman he love, coz the same thing is happen to me crying over the man I love. I am an independent young woman, i happen to meet this man for...
Hili swala sijui kama limewakuta wengi,iweje wapenzi mliopendana na kushibana kwa kila jambo kwa mda mrefu wakati linapookea jambo la kuwatenganisha kuna kua na chuki kali kati ya watu hao,?nn...
ni mara nyingi tumekuwa tukiona swala la mapenzi kama kitu kidogo katika maisha kusalitiana na kuumizana kimekuwa kitu cha kawaida.jambo hili si zuri hata kidogo tunapaswa kuheshimu swala hili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.