Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mwenzangu kaninunia kia nimecheza chini ya kiwango. Nimebakiwa na viulizo kibao bila majibu kucheza gemu chini ya kiwango ndo anaweza awe na gubu hivi?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Sisi tunatumia gari moja namshusha ofisini kwake na jioni nampitia tunarudi.. sasa asubui toka tunaamka mpaka tuaondoka yeye ni kutoa maagizo tu..... sasa kali zaidi wakati ndo tunatoka ndani...
5 Reactions
86 Replies
7K Views
Ni asubuhi hii. Umbea nao hauniachi! Ni hivi! Jamaa yangu kaja hapa anatweta ka vespa ama tukutuku vile! Ananisimulia yalomkuta over weekend! Yeye na mkewe walikuwa wamealikwa kwenye harusi nje ya...
2 Reactions
42 Replies
39K Views
Wanajamvi naombeni ushauri wenu,uyu dada niliwah kumchumbia,nikamsomesha toka form four mpaka mwaka jana kamaliza degree yake ya education pale SAUT,akantosa miezi sita kabla hajamaliza chuo kwa...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
A Bulawayo (Malawi) man will rue the day he kissed a married woman in her house. The woman’s husband walked in on them as they locked lips. Apart from being thrashed the man’s head was shoved...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu lazima si mzima wa akili, yaani warembo na sabuni zote zilizopo mjini bado anaenda kumrukia mbuzi, walaah ukistaajabu ya Musa basi ya firauni ndio haya.
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Jamani siku hizi kuna wanaume ambao hawana hata busara kabisa. Utakuta mvulana uliyekuwa na uhusiano nae kipindi cha nyuma anaendelea kukufuatafuata kwa kutuma message za...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Mtu humpendi hata chembe, on top of that keshakuzengua..unamtamkia mara kibao..jamani tuachane lakini yeye analilia kila siku..kibaya zaidi anatishia kujidhuru..nini hii??? Ugonjwa..utumwa?????
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jaman mwenzen mimi niko Dom sasa nimepata mke hukoo Hukoooo Uziguani sasa leo shangazi mtu anakuja kupanga mahali, sasa sisi upande wetu hatujui nini kinahitajika maana familia yangu hakuna...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
kama mtu anahitaji kufanya biashara ungemshauri aanze na biashara gani ili imsaidie kumpa kipato....
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Inahuzunisha lakini kuna fundisho kuu kwetu sote. "Nilipofika nyumbani usiku ule, mke wangu aliponitayarishia chakula, nilimshika mkono na kumwambia, Kuna kitu nataka nikwambie. Mke wangu alikaa...
6 Reactions
38 Replies
3K Views
Ni usiku mnene kama kawaida wengi wenye wenzi mmelala kupeana joto. Mimi nieona nimwache wa moyoni kidogo nije niwaulize maswali yafuatayo katika mapenzi. je umeewahi hata siku moja kuomba ama...
6 Reactions
102 Replies
9K Views
Heshima mbele wakuu. Nipo kwenye lindi la mawazo kwani nimetokea kumpenda mdada mmoja ambaye tunaishi mtaa mmoja. Na nika amua kumueleza hisia zangu kwake akanijibu kwamba tayari nimechelewa...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Indicator number moja...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Nikitizama nyuma naona michirizi ya damu, mioyo iliyoumizwa, nami ni mmoja wa wahanga. Nitakuwa muongo nikisema sijaumiza wengine na mimi. Nimekuwa na wanawake kadhaa, leo niwashukuru kwa...
3 Reactions
43 Replies
4K Views
wapenzi niko njia panda sijielewi, mimi ni mama wa nyumbani kwa0sasahivi sifanyi kazi yaani sina kipato chochote namtegemea mume wangu kwakila kitu leo mume wangu amesimamishwa kazi hapa nilipo...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadada wa JF habari zenu, naomba kuelimishwa hapa. Unakutana na msichana unajenga nae mahusiano na baadaye unamtongoza kwa ustaarabu na ujuzi wa hali ya juu. Anakupiga chini unabembeleza wee wapi...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari zenu wana-jf wababa,wamama,wakaka,wadada, rika langu na wengineo pia Hili ni suala la ukweli hivyo basi uliyesoma hii thread naomba unipe mawazo yako ili nifanye maamuzi ya mbolea na yenye...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
am a new here in jf. nambeni msaada wenu nimeingia kwenye relationship na mtu naedhani ananipenda but moyo wangu hauoneshi kumkubali najitahidi niwe nae karibu labda nitamuaccept lakini sioni...
1 Reactions
37 Replies
4K Views
. . . . Ilikua ni leo wakati nimerudi mapema baada ya kwenda kijiweni na kukuta leo hakuna kibarua cha kuponda kokoto,tajiri alikua hajapata tenda.Nikaja mpaka home na kujilaza kwa machungu...
0 Reactions
74 Replies
9K Views
Back
Top Bottom