Mwanzo.2:24 inasema, "Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" Ukiangalia (Zaburi.45:10-11) anasema, "Sikia binti utazame utege sikio...
Habari za mchana kina kaka /dada /mama/baba
Just wanna know y'all opinions! There is a lot of pressure mostly especially Tanzania or african women to get married before they turn 25 age . Is too...
mkioana mpaka mtangazane kwa watu ili kila mtu ajue huyu wa fulan ili ujijue unafahamika,na uogope kutoka nje ya ndoa mpaka kwa kuiba sana,UMUHIMU WA NDOA NI UPI.
eti jamani shemeji yeni anashindana mishahara na mie,got a new job na sasa napata mshahara zaidi yake ila inakuwa ishu kwake!yeye anataka awe ananizidi mshahara always
Few months ago, I fell in love with a certain young lady. Our love lasted just for three months before I was fired in that relationship. The day the relationship ended is the day that we planned...
Wapendwa marafiki zangu wana jf, naombeni mnijuze haya mambo kwenye mapenzi yanakuaje ni hivi kuna wasichana wana wapenzi wao lakini wana mabuzi cha ajabu wanaweza kuwahendo wote na wapenzi wao...
Hii ni kuwakumbusha tu wale ambao bado wako wanagoogle jamani mke mwema
mwenzeni nilikutana na dada mmoja wa exim enzi hizo zijui yuko wapi siku hizi
mzuri anaumbo bashasha ilipofika siku ya...
wakuu,
Kuna msicha kutoka Bhutan (Asia) nilikutana nae mwaka 2008 chuoni (India) nikiwa mwaka wa pili yeye ndio alikua anaanza wa kwanza. Tulifahamiana kupitia kwa rafiki yangu...
Habari zenu, kabla ya yote napenda kuwapongeza wana JF wote kwa mchango wenu ambao mmekuwa mnaotoa kupitia humu JF.
Mimi tatizo langu kubwa linalonisumbua kifupi tu mi nikijana mwenye umri wa...
Kuna posti nimesoma huku ndani na ikanifanya niandike hii mada...kwa kifupi jamaa alikutana na mwanamke kwa siku moja akamtongoza na mapenzi akapewa...basi amekuja huku ndani anasema huyo mwanamke...
Hebu tuchukulie kwamba, umeoa, na ndoa yenu ina miaka 6. Katika ndoa yenu mmebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume ambaye ndio anatimiza miaka 4. katika kipindi chote cha maisha yenu ya ndoa...
Fikiri zako fikira, ufikiri kila tendo,
Fikiri lilo na dhara, ufikiri na Ia pendo,
Fikiri lilo tohara, ufikiri na uvundo,
Fikiri fikiri tendo, Ia amani na...
Za sahizi wanajamii. Ni siku nyingi sijajiunga nanyi lakini leo ninahitaji msaada wenu wa mawazo. Nina uhusiano wa mapenzi na msichana mmoja toka 2007. Ni muda mrefu sana lakini kinachonishangaza...
Ilifika siku ya kusafiri kwenda safari ya mbali kidogo ambapo gari hulazimika kuondoka alfajiri sana....! Ni kwa sababu hiyo nililazimika kuondoka nyumbani jioni nikalale guest karibu na kituo cha...
Jamani naitaji msaada mkubwa sana, wa mawazo na saikolojia. Mimi nina mke nimezaa nae. Tangu tufunge ndoa ni miaka 4 sasa.
yeye yuko Mkoani mimi niko chuoni Dar es Salaam kimasomo elimu ya juu...