Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wanajamii naombeni mnishauri nifanyeje,kuna msichana mmoja nilikuwa nampenda previously but baadae tulihitilafiana nikamtema na nikampata nnae mpenda saaana.Sasa huyu wazamani anacomplain sana na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Huyo ni utafiti umefanywa na shirika moja linaloshughulika na mambo ya kijamii. Hongereni wanawake..!
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Eti jamani ni kweli kwamba hakuna lov without a reason?eti unapenda/wa kwa sababu?! Eti unampenda m2 kwa sababu ni mweusi,mweupe,mrefu,mfupi yuko bright skul,ana fedha,gari,nyumba,kazi n.k? Manake...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Modernization" of Girls 1970 : Love me, but don't touch me. 1980: Touch me, but don't kiss me. 1990: Kiss me, but don't do anything more. 2000: Do everything, but don't tell anyone...
0 Reactions
120 Replies
7K Views
kuna jamaa mmoja nmekuwa nae kwa muda mrefu, ingawa ni kind of long distance relationship ivi. amekuwa akitaka tudo mara kwa mara ila nmemkatalia. cku moja nliamua kumwambia ukwel kwamba im still...
0 Reactions
86 Replies
8K Views
Eti wanajf ni kweli kwamba ukioa mwanamke ambaye mna almost the same level of education hasa degree holder heshima eti inakuwa low? Why? Na kwanini wanawake wengi ambao graduates wanakimbiwa na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Can this be equivalent to the truth/, just go through it and comment: Wife is like a TV - girlfriend is like a CELLPHONE At home u watch TV, but when u go out u take ur CELLPHONE No...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ukimkuta mpenzi wako amesimama kiasarahasara na mtu wa jinsia tofauti, mara nyingi hujitetea ,,yule ni sister/braza angu,,Tunaheshimiana, hewezi kunitaka/kunitongoza. Swali, je unapomtongozwa au...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Sijui ni mimi tu au ndio watu wameanza kunogewa na mahusiano ya mapenzi ambayo tunaweza kuyaita si ya kawaida. Nimefuatilia threads nyingi kwa wiki kadhaa sasa na nimekuta zenye kuvutia sana ni...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
Maisha ya ndoa au mahusiano kwa ujumla ili yawe na maana ni lazima kuzingatia mambo kadha wa kadha. Nimekutana na watu wengi ambao kwa namna moja au vinginevyo, ndoa zao zina shida au kwa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Ayaaaaaaaa jamaa kakosa mrembo!!!!!
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Jamani wanajamvi habari zenu. Hv nguvu za kiume zimekuwa tatizo namna hii. Nishasikia wadada wenzangu wengi wanalalamika khs waume/wapenzi wao kutokudndsha ipasavyo. Mie yamenikuta pia, mpenzi...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Hivi ni kweli kwamba biashara ya UMALAYA ndiyo biashara kongwe zaidi duniani kuliko nyingine yoyote?
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mapenzi si pesa ingawa pesa ina nafasi kubwa katika mapenzi. Hivi mnapokuwa mnahonga pesa, nyumba, simu, magari etc huwa mmependa na unaonesha kuwa unajali au unafanya hivyo ili upewe utamu?
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Wapendwa, nakwazika na hapa nimekuja kutafuta advice na vilevile kufunguliwa akili. Nina mume, nikahamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine yeye akabaki dar, nilikuwa niko tayari kuacha kazi ili mradi...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Jamaa mmoja alimuaga mke wake kuwa anatoka kwenda kununua chips. Mkewe alikuwa bafuni anaoga. Muda mfupi baada ya jamaa kutoka mkewe akasikia mlango unagongwa. Akawahi kwenda kufungua, kumbe...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
wewe kaka uko na mkeo mmelala chumbani (kama kawaida yako uchi kabisa).pia unaishi na mdogo wako ambaye naye ana chumba chake cha kulala.Usiku huo mkeo alikufuma na meseji toka kwa mwanamke...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Hivi juzi nikiwa na rafiki yangu tulikutana na mwanamke akasema huyu mwanamke nina miaka 17 sijamuona tangu 90's Walivyokutana wakasalimiana akamwambia mimi nimeona nawatoto 3,na Dada akasema...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Naombeni ushauri. Napata kichefu chefu nikiona mbolea hata ya kuku kama siyo ya binadamu. Ila ya mpenzi wangu hata kushika ainipi tabu. Je huu ni ugojwa?
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Back
Top Bottom