Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Good day all, Nimejaribu kuwa mwanamke mwema kwa mme wangu , but on every little row we have, he leaves home for 5 days without coming back, when i call he doesnt pik up,neither does he calls. i...
0 Reactions
299 Replies
17K Views
Sio kwamba nina nia mbaya na ndoa za watu, bali baadhi ya wanaume sometimes wanapenda wawe out separately, ama na friends au kwa raha zao lakini bila kuharibu upendo na umuhimu wa mke na familia...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Samahani wapendwa,hivi kuna madhara gani kufanya mapenzi ukiwa katika siku zako kwa wote female na male?
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Jamani naulizia eti ni zipi dalili za mimba ? Na zipo ngapi na ipi ni ya uhakika na kwa wakati gani utajua kama imenasa au bado haijatulia ???:israel:
0 Reactions
14 Replies
56K Views
"USE THIS FOR EDUCATION ONLY,AM NOT RESPONSIBLE FOR ANY THING CONCERN THIS MATERIALS" 1.FUNGUWA BROWSER YAKO,MIMI NATUMIYA EXPLORE. 2.NENDA ANY LOGIN PAGE,NAOMBA LEO NITATUMIYA GMAIL...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani nimepata news kwa juu juu mwenye data zaidi azimwage hapa!mke wa rais mhhh hatosheki au?body guard anakuwa wapi wkt analiwa?
0 Reactions
74 Replies
11K Views
Majuzi kuna mkenya mmoja alitengeneza katiba yake kuainisha ni jinsi gani mpangilio wa maamuzi na uwajibikaji vinavyopaswa kuwa ndani ya nyumba. Aliandaa hiyo katiba baada ya kusumbuliwa na...
0 Reactions
66 Replies
5K Views
Wakuu wote waume kwa wake humu ndani nimekuwa nikisikia tetesi ati kuna uwezo wa kuotea jinsia ya mtoto unayemtaka kwa kulenga tarehe fulani:A S-baby:! najua kuna wazoefu humu maana natakakufanya...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Siku hizi imekuwa ni kawaida kwa watu wanaoenda kuwapongeza akina mama waliojifungua kutoa SIFA ambazo mimi naona ni KASHFA. Kwa mfano kama ni mtoto wa kiume eti wanasema "umetuletea jambazi" na...
0 Reactions
43 Replies
6K Views
Kimfanyacho mwanamke kwenda kwa waganga wa kienyeji? Unakuta umekaa naye kwa muda mrefu tuu tena wachamungu ghafla anabadilika na kuanza kufanya masharti anayopewa na mganga wa kienyeji! Wakati...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Siku moja usiku nikiwa baa nilimsikia mtu mmoja akiwaaga wenzi kuwa anatakiwa afike nyumbani mapema kwani walishakubaliana na mwenza wake kuwa mda muafaka wa tendo la ndoa ni kabla ya kulala...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wanandoa wameoana na wamefanikiwa kuwa na watoto wote wa kiume ama watoto wote wa kike. Inatokea kwamba wanandoa kuona familia yao hajakamilika pasipokuwa na watoto wa jinsia tofauti yaani wa kike...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
kuna dada mmoja nimesoma naye, ana bwana wa Kikongo na huyo bwana naishi kwa huyo dada . Lakini huyu dada ameniambia hajafurahishwa na huyu bwana kukaa pale kwake ingawa alishajitambulisha kwa...
0 Reactions
133 Replies
11K Views
Jana rafiki yangu kanipigia simu kuniomba ushauri kuhusu kutokuelewana na mkewe wa ndoa kuhusu simu ya mkononi,jamaa ni mfanyakazi mwajiriwa na mama nimfanya biashara na biashara yenyewe ni jamaa...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Hapo sijui mama naye atakuwa anaangalia TV au
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Hivi ingekuwa wewe umekumbana na hii kitu ungefanyaje? Nimeisoma hii nimeona niilete huku tuijadili! Iwapo utamkuta mwanao wa kiume au wa kike na hii kitu utachukua hatua gani? MWANAMKE mmoja...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Imezoeleka kuwa wanandoa na watu walioko kwenye mahusiano ya kimapenzi/mahaba huongozana kwenda kwenye sehemu mbali mbali, Harusini, Misibani, starehe na kushirikiana vitu kwa pamoja n.k. Je...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nashuka basi stend hapo Mlandizi, nakutana na jamaa yangu kachafuka ile mbaya. namuuliza nini tatizo anasikitika tu huku akisema kwa huzuni "demu wangu katolewa bikira hapo zahanati muda si mrefu...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
WAUNGWANA...NAWASALIMU,MI NI MGENI HAPA:smile:JAPOO SINA KAMBAA ILA NIMEPAPENDAAA
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Nimefarijika sana kukuona tena kwenye jamvi...... Take us through then......a,b,c,d,e................ DC Rt Maj. Gen (1947).
0 Reactions
284 Replies
14K Views
Back
Top Bottom