Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wapwaz na mabinamuz, weekend hii nimeona niwakumbuke kwa ujumbe huu kutoka kwa Jangalason, kwa wanandoa na wale wanaotarajia kuingia kwenye ndoa siku za karibuni. Kwa wale infidels wote nafikiri...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa huyu mwanadada anaekwenda kwa jina la Rehema Chalamila aka Rey C, amecheza movie ya X Nchini Kenya, je wanajamii tetesi hizi ni za kweli. Naomba kuwasilisha tetesi hii kwenu.
0 Reactions
21 Replies
6K Views
A LITTLE OLD lady entered in her sons house and found a lad of four in sole possession, plating with his toy train. "You don't know me," said the old lady, "but I'm your grandmother-on your...
0 Reactions
0 Replies
950 Views
anahitajiushauri "Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32, ninafanya kazi hapa Dar es Salaam. sasa tatizo lililonileta hapa leo ni kwamba ningependa sana kuolewa na ninaomba Mungu anipe Mume mwema...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
wana jf mtamsaidiaje huyu mdada.........?? Me ni msichana mwenye umri wa miaka 27 have been dating a man for about miaka minne now, my boy friend is very good looking and very attractive...
0 Reactions
75 Replies
8K Views
Leo usiku jirani yangu katoa kichapo cha nguvu kwa mwamamke wake (nyumba ndogo yake). Mwanamke kapiga mayowe kuwa jamani nisaidieni nakufa. kweli watu tukatoka mbio na tulipofika tukakuta mwanamke...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Yonni Barrios (50) Huyu bwana alikuwa ni miongoni mwa wale wahanga wa Chile waliokwama mgodini kwa siku 69. Alipoopolewa kitu cha kwanza alienda kumbusu hawara yake badala ya mkewe aliyezaa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nina umri wa miaka 36 sasa, na jina langu halisi ni "FATAKI". Sasa kutokana na matangazo yanayotolewa na taasisi mbalimbali zinazohusika na haki za binadamu, ukimwi, nk, nimeshindwa kumpata...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Pamoja na wadau wa kupambana na vvu kuibidiisha jamii iepuke ngono zembe yaelekea kizazi hiki kina laana fulani mbona hakisikii la mkuu? Tena hakiogopi kuvunjika guu? Kuna nini? Kasi ya...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Hii imetokea Dar. Dada mmoja amekuwa akiuguliwa na mume wake ugonjwa ambao ilibidi afanyiwe operation (medium). Pamoja na kwamba operation ilikuwa successful mume aligundulika kuwa ana ngoma...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Jamani mimi nimekumbana na mengi lakini hili naomba ni share na wewe mwana jamii mwenzanagu!!Najua wote wake kwa waume kunakitu kitufanyacho tufurahi na sikingine!!ze needful is something...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
Kwa mnaojua na evidence wapendwa nimejaribu kuuliza baadhi ya wapendwa na wachungaji kila mtu ana yake nikaonaa nipate ufafanuzi hapa jf nilinganishe na walionijuza...ni kosa gan walifanya leo hii...
0 Reactions
5 Replies
11K Views
Je umewahi kumega amri ya 6 na mbilikimo?? asee usiombe mie nimetwangana nae jana sikulala usiku kucha! Achana na mbegu fupi haichoki yaani acha tu! Wale Infe... jaribuni mtaniambia utamu wake
0 Reactions
26 Replies
3K Views
mtoto wakiume anabalee worldsex.com na wakike anavunja ungo facebook, hapo tunatengeneza bomo, social network zinapunguza real life experience kwani vijana wengi hukutana na wanawake wengi kwenye...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
--una roho ya uzinzi?? --mkeo/mumeo kakuudhi?? --una laana ya kutoka nje ya ndoa kwenu?? --ukuwa umejiandaa kuoa/kuolewa sasa cha moto unakiona?? Goodmorning najua na mengine mengi tu yawezekana...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
Sijui ni huu uzee? Hivi inakuwaje siku hizi (the last 15 years or so) unakuta binti wa miaka 15 -22 tayari maziwa yameshadondoka a.k.a saa 12? Ni "climate change" pia au kuna "genetic...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
wapo wanaotarajia watoto wengi wapo wanategema wake wengi wapo wanatarajia kuitwa mafisadi ingawa dalili za maisha aziwapi muelekeo wapo wanaotarajia kumrithi Invis akistaafu na mengine mengi...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Demu wangu kila tukikwaruzana kidogo anasema mi sio mwanaume ila ni mwanaume suruali. Tukitulia ananiomba msamaha na kusema kuwa alipitiwa na alikuwa hamaanishi kitu. Hali hii imejitokeza zaidi...
0 Reactions
95 Replies
12K Views
Siku hizi idadi ya viongozi wenye neema tele utaona wanashahibiana kwa mabaka usoni na kuongelea puani ni vyura gani wenzetu wamemeza?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom