Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wanawake ni spaghetti Tofauti na wanaume ambao ni mfano wa box katka utendaji wao wanawake wao ni mfano wa sahani ya pasta (spaghetti) Kama ukitazama vizuri sahani ya spaghetti utagundua...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
habarini za sahizi ndugu wapenzi.....nimekuja kukumbushana tu jamani najua wako watakaohoji...lakini hata wale wanaoanguka dhambini kwa ajili ya uzinzi ni shetani hatuna budi kumkimbia na kuachana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuwasha na Kuzima! Kama kuzima, kuwasha nako ni simple!Turn off kwa mke kutoka kwa mume: Mwanaume ambaye hana ufahamu wa kimapenzi. Hajui ni nini na wapi kipi kinapatikana na kinafanywa vipi...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Karibu kila kona ninakopita naona wajawazito wengi mno kuliko waja wepesi. Sasa nimeanza kujiuliza kama ndio matatizo ya kiuchumi yamewafanya watu wawe nyumbani muda mrefu na "kufarijiana" au ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Are these criteria’s can be measure of a Man? 1. His ability to make and conserve money. 2. The cost, style and age of his car (This is my favorite). 3. How much time he spent with his...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
A female colleague of mine wants to marry a guy 4 years younger than her. I was tying to figure out: Can it Work?
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Imetokea mara kibao nikimtokea mnyange nataka kuwa na uhusiano nae wa kimapenzi tu na sikumwoa nimekuwa napigwa vibuti kutokana na kuweka wazi dhamira yake kwa mrembo. Nilipo kaa na wadau...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu kukicha kuna matatizo yanayotokana na maamuzi ya kuolewa au kuoa. Hivi kunafaida gani ya kuoa au kuolewa?ni kwa ajili ya kutimiza agano maandiko ya mungu? Au twaowana kwa ajili ya kupata...
0 Reactions
30 Replies
12K Views
Habari wanajamvi Kuna kitu kinaitwa ethics (what is right and what is not) na katika mapenzi/ mahusiano. Vile vitu ambavyo ni sawa kumfanyia mwenzi wako. Ethics katika ndoa involves how people...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
...haya, ukiandika wosia je, ...utamuonyesha jinsi ulivyoigawanya mali? Interesting...hivi are u supposed to share the details of your will na mkeo? and vice versa? ama kama mke anayo mali...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nisaidie hivi kuna umuhimu wowote wa kuoga na mke wako?au ni fasheni tu!!!
1 Reactions
207 Replies
37K Views
Cheating husband meets a sticky end after mistresses glue his privates to his belly By Greig Box Turnbull 4/08/2009 Lovers: Wendy Sewell, Michelle Belliveau and Therese Ziemann Things got a...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuishi Pamoja Kabla ya Ndoa Kunaua Ladha ya Ndoa Wednesday, July 15, 2009 8:50 AM Kuishi pamoja kabla ya ndoa...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
  • Closed
Kwa wale mlio Dar na wale ambao mngependa kushirikiana na mwenzetu... Kuna mwenzetu (Sinkala) anatarajia kufunga ndoa mwezi huu. Kwa wale ambao wangependa kushirikiana katika kuiwakilisha JF ama...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Wakuu ni saidieni ni wakati gani mahusiano yanakuwa muhimu sana katika mahusiano? Je ni wakati wakutongoza/kutafutana? Je ni wakati mumeshakuwa wapenzi tayari? Je ni wakati mumeshakuwa wanandoa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
katika kuonge na baadhi ya wanawake mbali mbali wengi wao wanapenda wanaume machachari, ukiwa mpole wanakuita boring, usipowa cheat hata kidogo wana kuona **** na mwishowe wana kucheat wewe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu hivi ni halali baada ya kuolewa ukachukuwa kila kitu ulichokuwa nacho nymbani kwenu na kilichokuwa mali yako na kukipeleka kwa makazi yako mapyaTofauti na zile zawadi ulizopewa kwenye...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Men fall in love through sex, women fall in sex through love Hii ni signature kwenye profile ya Nyamayao kila nikiisoma huwa napata maswali yafuatayo 1, Je ni kweli mwanaume anaweza kumbeba tu...
0 Reactions
36 Replies
6K Views
My friends and I were having a gal talk abt men and sex. They are married wajua napata shule sio kutoka JF tu LOL;). sasa mmoja wao the hubby had been working in Sudan so they wd meet every 1 or 2...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
Hii ishu imetokea live! Nina majirani zangu ambao nyumba zetu zinatazamana hapa Uswahilini! Kumetokea kituko cha mwaka ndani ya familia yao! Kuna mabinti wawili wakubwa wa nyumba hiyo ambao...
0 Reactions
36 Replies
10K Views
Back
Top Bottom