Nahitaji kuscan documents kubwa mpaka size ya A0. Je hapa dar naweza kununua wapi hiyo scanner au wapi nipeleke material zangu ziwe scanned? Material ni mengi kama 500.
Nipo Canada na kampuni yangu inasupply viatu vya mitumba grade A. Viatu hivi ni vya kike na kiume. Majina ni kama Nike, Naturizer, Jessica, American Eagles, 725, n.k.
Tunauza kwa 40ft container...
Wakuu,
Nina mama yangu mdogo anahitaji mkopo wa milioni 6 kwa haraka kwa mtu binafsi au kwa taasisi yeyote na atakuachia nyumba yake yenye vyumba vinne na sebule pia ina uwanja wa kutosha iliyopo...
Hi
I would like to let you know that I am currently working as a freelancer providing IT Security awareness training for small and medium enterprises located in Dar es Salaam and Morogoro regions...
Viwanja vinauzwa 'direct' bila kuhusisha madalali, viko Vianzi, wilaya ya Mkuranga mwendo wa dakika 45 kwa gari toka Mbagala Rangi 3.
Vimekatwa mita 20 kwa mita 20 na vinauzwa tsh. laki tatu tu...
Nina camera yangu tajwa hapo juu imekufa betri.hp photosmart R07 li ion rechargeable battery.hapa dar naweza kuipata wapa? Na bei yake inaweza kuanzia shilingi ngapi?
Nitashukuru
TV ya teknolojia 4K inauzwa, ina 3D vision 8 processor, ATV, DTV 2 USB port na 2 HDMI port, Computer Conection, LAN na WIFI connection na ina 4.2 Android OS!
Kwa muelewa wa specs hizo na muhitaji...
jaman wadau nauza line za tgo pesa na M pesa na Airtel money Bei ni 530,000 zote 3 sababu ya kuuza nmepewa kuwa wakala wa AZAM Tv na bizaa zngne za azam so si ruhusiwi vitu vngne kwa mnao jua...
Kwa wenyeji wa Arusha naomba kujua ni maeneo gani naweza pata maduka ya spare hapo A town na je naweza pata spare kwa bei nzuri kuliko Dar? Ninategemea kwenda A town kikazi na ninunue baadhi ya...
Iwe touchscreen na keypad ya nje kwa wakat mmoja.
Line mbili, black color na uwezo mkubwa kwa makolokolo yaki smartphone, aina yeyote ni Pm tufanye biashara.
offer ni bargaining power...
Kwa dhamana ya gari riba ni asilimia 35 kwa mwezi unapaki gari kwenye yadi yetu na kukabidhi nyaraka za gari. Kwa dhamana ya nyumba yenye hati( title deed) riba ni asilimia kati ya 20 na 25 kwa...
WANA JF, NAOMBA MSAADA WA KIMAWAZO!
NATAMANI KUFANYA BIASHARA NINA 2MIL. NIPO SINGIDA...KAMA UPO SINGIDA NIPO TAYARI TUSHIRIKIANE TUJUE TUNAFANYAJE BIASHARA...!NAFIKIRIA DUKA LA KAwaida!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.