Habari wanajamvi. Nishatafuta gari humu mpaka nimechoka ndugu. nahitaji Vitz au gari yoyote jamii hiyo kwa milioni 4. Iwe smart na fuel economy. Registration namba ianzie B. Karibu Mawasiliano...
External hii imetumika mwezi mmoja tu na ipo na cable yake. Size yake ni gb 500 na ndani ikiwa na zaidi ya movie 70 including animation movies...ipo dar...
BEI TSH.100000/= ..ukiwa interested...
No 2 apartment type
chumba kimoja cha kulala futi 16 kwa 16,chumba cha pili cha kulala ukubwa sawa na cha kwanza,master futi 16 kwa 28,jiko la ndani,choo na bafu la ndani,maji ya dawasco yanatoka...
Naamini kuna wataalamu wa masuala ya viwanja humu..naombeni kuuliza vipimo vingi vya viwanja vipo katika square metres (sqm)..sasa nataka kujua square metre moja ni sawa na ukubwa gani? Na pia...
Nahitaji computer desk top kama 100 hivi kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi mashuleni wap naweza pata computer nzurii na kwa bei nzuriii
Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
Nyeusi yenye mistari mistari na nyeupe yenye mistar kwambali ukubwa wakiuno suruhali 30 na makoti nyuma yanamipasuo huku nahuku zipo temeke Dar es salaam bei @ 100,000 kwazote mbili hitakua...
Shamba la ukubwa wa ekari 200 linauzwa lipo mugumu serengeti linapakana na hifadh ya serengeti.eneo hilo inafaa kwa ujenzi wa hotel ya kitalii shule napia hata kwa kulima pia.npm kwa uhitaji
Naleta swali la ndugu yangu ambaye ni mwajiriwa miezi miwili sasa! mshahara wake ni laki sita na hamsini na ushee hela za kitanzania! anataka kuomba mkopo wa milioni 10 benki yoyote japokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.