Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wana Jf. Kwa yeyote anayehitaji line ya tigo pesa na vodacom m-pesa anitafute, nipo dar na bei yake ni Tsh laki nane (800000) kwa line ya tigo na Tsh laki nne (400000) kwa line ya voda...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
ndugu wanajanvi natafuta gari nzuri na isiwe chini kwa bajeti ya mil4,isiwe automatic na fuel consumption yake iwe inakunywa vizur,ofa zinakaribishwa ill maneno ya kejeli na zarau hapa sio mahala...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
hi.. check out this deal..inauzwa. SUBARU FORESTER CROSS SPORT ENGINE CAPACITY(SG5) 1990CC YEAR 2002. Millage 49214, 4 cylinder. COMPREHENSIVE INSURANCE AC, Radio 6 CD CHANGER, NAVIGATION...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu wapi nitapata external charger kwa ajili ya battery ya s4
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Wadau salaam..natafuta mtu ama kampuni inayojishuhulisha na printing ya logo kwenye mifuko ya plastiki kama ya mikate ama kuku..Kama yupo anicheki kwa namba 0659300000.Asanteni
0 Reactions
0 Replies
984 Views
Nauza simu tajwa hapo juu mpya from UK ina 4gb bei 320000 nipo Dar namba yng 0713 404014
0 Reactions
5 Replies
978 Views
Kama unahitaji line ya M PESA fuata maelekezo yafuatayo:- i) TIN No. ii)Lesseni ya biashara (iwe ndogo au kubwa),leseni ya biashara ni rahisi sana kupata,ulizia mamlaka husika iii)Kitambulisho...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Ukitaka kukunua viwanja maeneo ya Mbezi kwa Msuguri (Temboni, Msingwa) na Kifuru, Dar es Salaam. Kwa maelezo zaidi wasiliana na ndugu Oswald Sh. Richard kwa simu namba : 00255784342632 au...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
KIWANJA KIKO KARIBU NA HOTELI YA RECCA COURT MIVUMONI MADALE KIWANJA NI EKARI MOJA GARI LINAFIKA MPAKA KWENYE KIWANJA KIKO KARIBU NA BARABARA BEI MAELEWANO MIL 35 na Maelewano yapo CONTACTS...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu wa jamii napenda kuwa taarifu kuwa mzigo mpya wa Nokia XL umekuja na warranty ya mwaka mzima na msaada wa kiutendaji wa milele. Bei ni 300,000/= kwa mawasiliano zaidi piga 0764449722. Na...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina project ya kuandaa video ya nyimbo za gospel, nahitaji kampuni ya kuifanya hiyo shughuli. Kama wewe una kampuni inayoshughulika na hayo, ni PM Gharama zako na details zote za project yote...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
HP Notebook 635 PC for sale DUO CORE(2 CPUs)@ 1.6Ghz Memory:2048MB,HDD:320GB PRICE:380 contact:0659223322
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Waungwana Kama unatill ya air tell unauza naomba uniuzie 0755145638
0 Reactions
2 Replies
962 Views
Mazda Atenza,2012 model Transimition:automatic, 114,702km Engine:2.3i 16V,178 hp Fuel:Petrol,64 liters full tank Capacity:2261 cc Price:14.5mil Contact:0659223322
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Samsung 300E4Z/300ESZ/300E7Z for sale DUO CORE (2 CPUs)@2.10Ghz Memory:2048MB,HDD:320GB PRICE:400k fixed contact:0659223322
0 Reactions
0 Replies
901 Views
Ndugu wanajamii, Tunawaletea mbele yenu kampuni binafsi ya uchunguzi wa mambo ya Fraud and Corruption kwenye maeneo ya kazi hasa kwenye makampuni binafsi na serikalini. Tunatoa huduma ya...
0 Reactions
1 Replies
837 Views
Mm niko Dar es salaam,natafuta kifusi cha lami,ambaye anafahamu kinapopatikana kwa hapa Dar es salaam naomba anifahamishe,ikiwezekana na bei pia,mawasiliano ni 0763 47 47 73
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama una lumia 925 mpya au kama imetumika kidogo, wepa picha na bei yako hapa au nicheki PM
0 Reactions
4 Replies
968 Views
KIWANJA CHENYE HATI KINAUZWA...., kina ukubwa wa sq. 1,113 kipo Longido mjini karibu na H/Wilays ya Longido kipo mita chache sana kutoka barabara ya Arusha Namanga, Kimepimwa na Kina Hati...
0 Reactions
4 Replies
873 Views
Punguza matumizi yako ya umeme🚫 Jipatie pasi ya kudumu,yenye ubora wake, yenye kutumia umeme mdogo(350W) kulinganisha na pasi tunazotumia kwa sasa majumbani. Bei kwa rejareja ni 48,000/-...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom