Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau, Wadau nimechoka kukaa mbali na kazini kwangu, naishi g/mboto kazi kinondoni natoka home udiku narudi usiku nauli hazishikiki naombeni msaada wenu. Hivyo ninatafuta nyumba ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari mtanzania! Natumaini umzima wa afya njema! Kwa sasa kampuni ya chinaworldbuz company tupo nchini Tanzania. Kwa sasa tupo mkoani Arusha kwanzia tarehe 20-21 mwezi huu wa January 2014 kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Loud Wheels Toyota Passo 2004 Model VVTI 990cc Keyless Entry Reasonable Price Call/WhatsApp 0713 959290
0 Reactions
6 Replies
1K Views
CHATO-TUBORESHANE (CT) Wanachama wote mnaombwa kujiandaa kwa mkutana wa kufunga mwaka kwa maelezo zaidi 0759455313.
0 Reactions
0 Replies
684 Views
Wakuu naomba mnisaidie kwa wale waliowah kutumia hii simu ikoje inafanana kweli na original kwa muonekana umbo na ukiwasha ndan? Je ubora wa kamera na vp ram ile ya 1GB inafanya kaz vizur na je...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Jamani ninataka kuagiza gari Toyota D4D Double Cabin na nina kiasi cha Tshs 20 Milion Shillings (Including gharama za usafiri na kodi). Kwa mwenye uzoefu naombeni msaada iwapo ninaweza kupata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninauza simu yangu Blackberry Z 10 kwa Tsh.600,000/.Kwa anaye hitaji ani pm.Nimeitumia miezi mitatu na ipo kwenye hali nzuri.
1 Reactions
1 Replies
826 Views
HABARI ZENU! kama una uza pikipiki yoyote iliyo katika hali nzuri kwaa ajili ya bodaboda naomba tuwasiliane 0713644485
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wandugu, Nguo za akina mama toka Marekani zinapatikana kwa bei ya jumla. Kwa wale wenye maduka na nguo na wanahitaji supplier, nitumie ujumbe kwa mazungumzo zaidi juu ya bei, n.k. Unaweza...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba zipo kibamba kwa mangi ni dakika kumi kutoka kituo cha daladala,ni nyumba mbili ambazo hazijawahi kupangisha kwa maana nyengine ni mpya kabisa. 1.Nyumba ya kwanza ina vyumba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
siku ya tarehe 14/1/2014 nimeibiwa fekon pikpk yenye namba t 228cky maeneo ya kwa aziz ally karib na mtongani msaada wenu ktk kuitafta nambayangu 0717215506
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kuna shamba linaizwa lipo kibaha misugusugu karibu na roneka sec school. Shamba lina ukubwa wa ekari 5. Lipo sehemu nzuri tambarare na lipo karibu na makazi ya watu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye huawei y300 unlocked with good offer ni Pm
0 Reactions
2 Replies
961 Views
Tuna : 1.solar kit yenye uwezo wa kuwasha taa mbili ya watts 3, au taa 3 za watts au 2 , kuchajisha simu zaidi ya 3 kwa mpigo, redio ndogo pamoja na feni yake, hii ina warantii ya miaka MIWILI ...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Habari wakuu.. Nauza simu tajwa hapo juu imetumika kwa wiki 2.. Bei 480,000/=
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF, Tunauza asali mbichi toka mkoa wa tabora, bei zetu ni nzuri kabisa. Lita moja ni tsh. 8000 na Nusu lita ni tsh. 4500/= tuu. Tunapatikana Ktk mji wa dodoma ila mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
I..
0 Reactions
1 Replies
698 Views
HOUSE FOR SALE 4 Rooms (including 1 Master bedroom) 2 Toilets 1 Bathroom 1 Kitchen 1 Sitting room 1 Dinning room 1 Garage (car park) Area: 1/2 acre Located in Mbezi Msakuzi, just 5km...
0 Reactions
0 Replies
748 Views
Waumini nauza CPU used Ram: 1GB HD: 2TB Processor:3.0 Bei 280,000 kama upo tayari nichek mzigo upo poa HD ina movies zaidi ya 100 ukipenda nitakuacha usepe nazo.Nipo Tabata njia ya...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
kiwanja kipo kigamboni wilaya ya temeke kina ukubwa wa sqm 1,100 kipo gezaulole, ni km 16 kutoka feri ya magogoni kimepimwa na kina ofa. Kipo umbali wa hatua mita 30 kutoka barabara ya lami...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom