Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Yard inangishwa Ipo kinondoni barabara ya ally hassan mwinyi, Ina sifa zifuatazo : Ukubwa sqm 1,800 Jengo la vyumba 7 vya kulala. onaweza ukatumia kama ofisi nk Umeme na maji vipo : Tank kubwa...
0 Reactions
0 Replies
988 Views
Kuna fundi mwenye kipaji na uwezo wa ajabu wa kutengeneza simu ,simu anazotengeneza ni zenye matatizo kama [i]unlock password [i] internet connection..simu anazodili nazo ni [i]NOKIA [ii]SAMSUNG...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title deed yaan (hati...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Halo Wanajamii. Ninauza eneo la ukubwa wa eka 2, eneo lipo kidimu maeneo ya mpigi kwa mbele. Eneo halijapandwa chochote. Lina mchanganyiko wa bonde na tambarale. Kwa maelezo zaidi wasiliana kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wote wa JF. Rafiki yangu anataka kununua Toyota Noah Old model. Pesa yake ni sh milioni 8. Mimi siyo Dalali. Muuzaji yeyote mwenye gari kama hiyo ani PM, au anitunie picha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ndugu wana jf heshima kwenu.. naomba mwenye kujua bei za mashine za kujazia upepo anijuze.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Tunauza line ya M PESA laki tatu, kwa ambae utahitaji tumia namba 0713110351, 0787978879,0654070472, na 0757627080
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu naomba kufahamu bei ya tecno phantom A2 na nijue kama n line moja au mbili
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau wa kilimo natafuta mashamba ya kukodi maeneo ya maji kwa ajili ya kulima mboga mboga.. kama ruvu hivi na maeneo mengine yenye maji. Nawasilisha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Apartment inauzwa eneo ni Mikocheni, karibu na maeneo ya kwa Warioba. katika hilo jengo wapangaji wanalipa kodi $2500 kwa mwezi. kwa mawasiliano 0773 944 944
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Napatikana korogwe barabara ya kwenda magunga hospital.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Simu bado mpya inakila kitu chake bei tsh 150000.kwa manunuzi 0712458872 (muuzaji)
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Waku hebu naomben ushaur wenu juu ya hiz camera
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina kiwanja nauza mbezi makabe karibu na shule ya msingi makamba,ni sehemu watu wanajenga majumba ya kifahari, ukubwa 20x42, bei 12M kina hati ya serikali ya mtaa. dakika 5 kutoka barabara iliyo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Bei tsh.laki na ishirini Dell computer specifications; HD:80 Ram:256 Processor:2.9ghz n.b ni case/cpu tu bila ya monitor wala keyboard n mouse contact;0656063933 or pm
0 Reactions
12 Replies
1K Views
nyumba ya kawaida inauzwa mbagala kiburugwa.nyumba hiyo ina vyumba vitano na sehemu ya kiwanja ipo.ipo kwenye mtaa unaopitika na gari hadi hapo kwenye nyumba. Nyumba ina title deed yaan (hati...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naskia kuna tecno ya line moja inafanana kila kitu na samsung galaxy kwan inaitwaje hiyo?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
nahitaji welding mashine mpya nzuri na ya kisasa ya njia moja iwe ya china,korea ama italia mwenyenaye ama mwenye kujua bei anipigie 0789 444 993
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tecno Phantom A (F7) Specifications » Naijatech bei 390000 with 1year warrant
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Back
Top Bottom