Habari wana JF,
Nauza Mark X used imetoka japan ya mwaka 2005 Kwa bei nzuri kabisa..Karibuni sana please Kwa atakayependa anitafute Kwa namba 0719 717555..
Refer to the previous blog post..
Nyumba Ambayo iko Kibaha kwa Matias...Ilipo shule ya Filbert Bay
Two House in One Plot. Na sehemu ya Kupaki Gari mbili Ndogo
Zinauzwa zote Kwa Bei ya Milioni...
Nahitaji printer kwa leaflet - two sided (size DL 3.2 x 3.9), nitaprint copy 2000 or more.
anyeweza kufanya hii kazi nipe bei katika pm.
Upande mmoja ni kiswahili na upande wa pili ni...
vinafaa vya salon vinauzwa,dryer 3,2 za kukausha nywele na 1 ya steaming,kila moja ni sh laki moja na nusu ni original dryer,kabati ndogo ya kupangia dawa za nywele ni sh laki moja na nusu,pamoja...
Hello.Kama kuna fundi anaeweza kunirekebishia hasa kufanya replacement screen ya Samsung Galaxy S3 Mini imepata crack(Sio LCD Screen) naomba aniPM au 0752385949.
Inalima na pia ina kijiko cha mbele kwa ajili ya kazi za ujenzi.
Ni mashine ya mwaka 2010
Kiti kizuri cha kukalia muda mrefu bila kuchoka
Ni tractor kutoka kampuni ya New Holland...
bajaji inauzwa kwa millioni 2,..imetumika takribani mwaka 1 na nusu..lina tatizo dogo tu la starter na gear ni zaku set....wasiliana nami kwa namba 0717 022737...bajaji ipo maeneo ya chang'ombe...
next month katikati natarajia kuwa dar...naulizia wapi tapata usafiri wa kukodi but nijiendeshe mwenyewe...bei iwe kati ya 30 - 50...nawakilisha wakuu.
Wakuu simu tajwa hapo juu inauzwa,
bei 250000,
imetumika miezi miwil na wala haina michubuko yoyote..
pm
ipo kama kwenye picha hii kila kitu..
serious buyers ni-PM au WEKA NAMBA YAKO NAKUPIGIA..
wakuu kwa mwenye kuhitaji simu niliyoitaja hapo juu tafadhari tuwasiliane kupitia +255653638824
simu imetumika ndani ya miezi 3 haina mchubuko wowote..for more specification Please Google
"Sony...
Wana JF, nataka kuwekeza kwenye kilimo hapa korogwe kama kuna yeyote mwenye ardhi inauzwa tafadhali ni PM,
eneo lisiwe umbali unaozidi 20km toka korogwe mjini
eneo liwe angalau kuanzia eka 4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.