Nauza samsung digital camera mpya from UK ,ina 16.1mp ,nyeusi ina 5x digital zoom,ina 3" lcd screen.Iko ndogo inaweka hata kwenye pocketbya suluali tu na ni powerful.bei 280k mwenye kuhitaji...
Habari wana bodi,
Jamani napenda kufahamu bei za magari niliyotaja hapo juu; Mark X, Toyota Verossa na Rav 4 (Kubwa) ya mwaka 2002-2004 kwenye show room Dsm, kama kuna anayefahamu naomba msaada...
habari bandugu
nina 1000,0000/= naitaji pikipiki aina ya fekon au sunlg pls ni haraka sana yaitaji ni muhimu
aliyenao anipm iwe imetumika mwezi 1 tu au iwe mpya kabisa pls marafiki nisaidieni...
Kwa wanaopenda kupendeza kiafrica zaidi kwa mavazi ya batiki za kisasa utaletewa popote ulipo dar na mkoan.Pia kama unapenda kujifunza utengenezaji wa batik utafuatwa kwako na vitabaa vya...
Viwanja vinauzwa maeneo ya Bunju A (Kiondo area). Vipo kilomita 3 toka barabara ya Bagamoyo. Bei ni kama ifuatavyo: Ukubwa unaanzia 20 X 20 (Tshs. 12mil.) hadi 25 X 30 (Tshs. 16 mil). Ukihitaji...
Habarini wakuu
Nataka sports rim nzuri . Niende wapi kwa hapa Dar nikapate choice kubwa. Nini cha kuangalia kwenye rim zaidi ya size, coz nasikia nyine ukikanyaga reli ya treni zinakatika
asanteni
Wakuu natafuta bendi ya kupiga kwenye mgahawa wangu mkubwa upo kati kati ya mji wa dar es salaam. Ambaye ana connection na bendi yoyote kubwa aniunganishe .. Utapata commision yako...
Wadau,
nahitaji iPad ya Samsung inayotumia laini ya sim (sim card)
Kama unayo SAmsung Model GT - P5100 au nyingine yeyote naomba uni pm;
Mimi niko Arusha
Ni nyeusi, ina 32gb memory, 8mp camera, 1gb ram, na 1.5ghz quadcore processor. Imetumika 5 months, inakuja na charger tu. Kama uko interested njoo pm, au nichek at 0717301520
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.