Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Natafuta simu za kuweza kutumika ndani kwa ndani yaani hazitumii mtandao wowote ila frequency tu na ni ndani ya distance maalumu tu. Naweza kuzipata wapi?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
laptop inauzwa aina ya toshiba version 2002 service pack 2, windows xp Genuine intel R} CPU,T1400@1.83 GHz, 1.83 GHz, 448 MB of RAM. ipo katika hali nzuri garama ni laki tatu thelathini kwa...
0 Reactions
2 Replies
775 Views
Jamani mwenye simu yoyote ya laki na nusu iwe smartphone nzuri anitafute tufanye biashara namba 0713626027 leo au kesho.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani wanajamii kwa yeyote anaye uza vifaa vya jiko la baa namaanisha .majiko .makarai .kabati za chipsi .na zaga zaga nyingine zinazo husika na jiko la bar awepo dar es...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Aina ya Dell Au hp iwe ya i3 au i5. 0714 40 40 57
0 Reactions
6 Replies
1K Views
One of twin houses in a fenced compound having four bedrooms one self contained is now available for renting. If interested call me through mobile phone number +255 715 203386 (prefferably during...
0 Reactions
0 Replies
803 Views
BlackBerry curve 3G 9300 inauzwa Tsh 160,000/= .........ni used ila ipo kwenye hali nzuri na haina tatizo lolote....na ina betri moja la ziada....Kama unahitaji just ni PM
0 Reactions
2 Replies
873 Views
nnashida na line ya tigo pesa muongozo please
0 Reactions
1 Replies
1K Views
KARIBU TUPO KINONDONI, TOGO STREET, TUNASHONA SUTI AINA ZOTE KWA KIWANGO BORA NA CHA JUU KABISA! KWA MAWASILIANO:- 1. Email_ manrasha@hotmail.com 2..0713251605, 0713251391,0682604363. PIA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini nyote, Natufuta Used Marine Board ili nimalizie ka ujenzi kangu. kama kuna mtu anazo tafadhari tujilishane.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Je unahusika au unaweza kusaidia kupatikana kwa machine za kisasa used na mpya(hand and motorized) katika domestic na commercial fumigation?.Tafadhali nipm au weka hadharani zinahitajika haraka...
0 Reactions
0 Replies
817 Views
natafuta vitabu vya Ben R Mtobwa pamoja na LESS BROWN NAWEZA VIPATA WAPI
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Shamba lina ukubwa wa hekari 12 lina minazi, michungwa, mikorosho na nyumba ya vyumba vitano ya tofari, shamba lipo Visiga maili 35, lipo mita 400 kutoka barabara ya Morogoro, bei milioni mia moja...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, sehemu ya kulia chakula na jiko. Ina master bedroom 1, chumba kingine ni self contained, kinachobakia hakina choo na bafu. Pia kuna choo na bafu kwa ajili ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salaam wakuu... ...kuna biashara hapo juu ya simu aina ya Samsung galaxy S III,nimeitumia miezi kama miwili ivi yani ni mpya kabisa wakuu. Ina charger,skrin protekta,earphone na hata...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Lg p970 iko poa kabisa nicheki kupitia 0716199297
0 Reactions
11 Replies
1K Views
kwa yeyote anayeuza transcend hdd 1TB ani pm tufanye biashara
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Kwa alie na kiwanja anipe bei yake na mita ngapi(ukubwa) na mahali kilipo. Ni PM ndio itakua best way ya mawasiliano yetu.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Landcruiser prado imelipiwa kodi zote inapatikana upanga dar-es-salaam engine 1kz(diesel) mileage 122,000km automatic transmission Registered number BSN bei 16m maelewano yapo contact 0757 455070
0 Reactions
1 Replies
887 Views
Nokia Booklet 3G Windows 7 Processor : Intel (R) (TM) CPU Z530 @ 1.60GHz. 1.60GHz {duo core } Harddisk : 100GB USB Port : 3 System type : 32 - bit Operating System Simcard slot {sehemu ya...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
Back
Top Bottom