Natafuta tenda ya jiko
kwenye bar/grocery/restaurant ya
kuandaa vyakula kuanzia
supu, vyakula vya mchana na
uchomaji wa nyama, mkataba ni maelewano kuendana na sehemu yenyewe ilipo na flow ya...
Habari wana jamvi....nauza tablet yangu samsung galaxy note 10.1 kwa laki 8 na maongezi yapo
Labda nitaje sababu ambazo zimenifanya niuze hii tablet ni kwamba nataka nibadilishe nitumie aina...
Habari zenu wakuu, nahitaji gari aina ya Rav 4 Manual transmission, 5 Doors, Year 1998 - 2000.
Weka details za gari ikiwezekana na picha kama zipo na bei yako.
Asante sana.
Shamba Ekari 109 linauzwa lipo Iringa Ifunda kijiji cha Mgama lipo kwny mazingira mazuri na ardhi yake inakubali zao lolote linalokubaliana na hari ya hewa ya iringa pembeni kuna bwawa la maji...
Habari za usiku wadau,
Nilikua nnauliza kama nitapata gari la aina yoyote kwa 4 mill ambalo lipo yard? kuna mdogo wangu ana-hiko kiasi cha pesa.
Asante
NISSAN INFINITY RANGI NYEUPE, CC1365, BODY TYPE NI SALOON OPEN ROOF imetembea 260,170 mwenye gari anashida sana pia gari liko kwa good condition nicheki kwa 0717022737. namba ya gari ni T235...
je unahisi umepoteza dira gaavijana center wanakuletea tumaini jipya kama unataka kurudia masomo ya kidato cha sita na cha nne wasiliana nasi bei zetu ni nafuu na kwa wateja wa mwanzo watapewa...
punguzo la bei kwa wanafunzi wote wa o level kwa masomo yote ni bei nafuu kabisa,pia kituo cha mitihani ya taifa ya kidato cha nne na sita kwa ghalama nafuu na kusajiliwa bure,tupo njiro arusha...
TUPO MBIONI KUANZA BIASHARA YA KUUZA MITUMBA HAPA DARA NIMEAMBIWA KUWA ,UKIENDA KAMPALA KUNA MITUMBA SAFI YA KUFA MTU ,NAOMBA MWENYE MAELEZO FASAHA KUHUSU BIASHARA HII NA NGUO KWA UJMLA.hIVI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.