Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES UNLOCKING ANY GSM PHONES IPHONES NOKIA SAMSUNG ALCATEL BLACKBERRY UNLOCKING ANY GSM MODEM ZTE HUAWEI VODAFONE...
0 Reactions
2 Replies
764 Views
Hi wana JF wote, Natafuta wanunuzi kuni za jumla. Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni. Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni simu poa unaweza ku google ukaichek picha yake. Very simple phone, touch screen. Bei elfu 90. Nichek 0713 522353.
0 Reactions
2 Replies
893 Views
Inatangaza kozi zifuatazo; 1.wizi wa kura 2.utumiaji wa vyeti feki 3.kulipa mishahara hewa 4.kuanzisha Makampuni hewa 5.kuiba misaada ya...
0 Reactions
2 Replies
954 Views
Nauza cctv Camera pamoja na screen ndogo kama sikosei ni 7 inch.Ni nzuri kwa matumizi ya biashara kama duka kwa ajili ya kuweka usalama kwa vibaka.Lakini hairikodi matukio ila utakuwa na uwezo wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
pedi salama kwa wanawake utafiti wa kitaalamu unaonesha kwamba matatizo ya hedhi,kukoma kwa hedhi na vimbe katika kizazi yanazidi kuongezeka moja ya sababu ni matumizi ya pedi zisizo...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Waungwana naomba mnisaidie kukokotoa gharama ya kulifikisha Tanzania na kodi yote kwa gari (Subaru Impreza FOB ni US$300 ya mwaka 2001
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hallow brothers and Sisters A FREELANCER is somebody who is self-employed and is not committed to a particular employer long term. Je unataka kufaham mbinu zitakazokuwezesha wewe kuwa mmoja wa...
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Hallow brothers and Sisters A FREELANCER is somebody who is self-employed and is not committed to a particular employer long term. Je unataka kufaham mbinu zitakazokuwezesha wewe kuwa mmoja wa...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Mwenye ufahamu kuhusu hili, Zinahitajika mashine mbili za kutengeneza chakula cha kuku. moja ni ya kusaga na nyingine ya kuchanganya, au ikipatikana unit nzima inayofanya kazi yote pia nayo ni...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Sony Ericsson XPERIA X10 mini pro inauzwa TSH 200,000Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri kabisa bei laki mbili sh200,000 .Imetumika Uingereza na sasa hivi ipo Dar naomba wasiliana na HABIBU...
0 Reactions
1 Replies
980 Views
kama kuna mtu anauza spea za computer , tafadhali laptop yangu ina tatizo la kioo
0 Reactions
1 Replies
850 Views
Kiko Kiseke (low density), mita chache kutoka barabara kuu. Kina ukubwa wa 60.72m x 30.0m, kimepimwa na kina offer letter. Bei 30M Dalali hatakiwi, kinauzwa na mmiliki. Serious buyers only...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza Camera ya Sony Alpha A230 Professional still picture ambayo ni katika moja ya Camera nzuri sana.Camera hii imetumika Uingereza lakini ipo katika hali nzuri sana na ipo Dar es salaam.Camera...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jiko na mixer ya bakery zinauzwaNauza jiko kubwa la deki 4 pamoja na mixer ya kukandia unga ambayo sijui size yake ila naweza nikasema size ya kati.Vifaa hivi vipo katika hali nzuri na vyote...
0 Reactions
0 Replies
860 Views
Powe station (mashine ndogo ya kuhifadhi umeme kwa matumizi madogo)1.Battery gel battery: 12V / 7A 2. Small voltage Sockets:Battery gel battery: 12 v / 7 Ah Small voltage Sockets: a. 3 volt b...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
KIWANJA VISIGA-MADAFU 7M. Kina 43 kwa 44 meters, Kibaha-visiga madafu, 1 km toka morogoro road, karibu na barabara, kizuri, umeme na maji karibu, ni maeneo ya uwekezaji sana, hasa viwanda. Watu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Laptop Toshiba TECRA L2 ni laptop iliyo kuwa katika hali nzuri,ina uwezo wa kupiga kazi kwa muda mrefu bila ya kuchemka tofauti na laptop nyingine. Processor =Pentium R (1.73 GHz) ,Memory = 502 MB...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
habari wakuu,... natafuta ideos u8150 ya kununua,.. Kama kuna mdau anauza... Budget 100k.. Location (dar au mwanza)
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Viko vitatu size yake ni 4339sqm cha pili ni 2374sqm na kingine ni 2723sqm..Viko barabarani maeneo ya wazohill unaweza kuwasiliana N PM
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom