Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
A rare opportunity to own a parcel of land located just less than 35km from Dar es Salaam city centre and less 25km from the center of Historical Town, Bagamoyo District Council. The land of 8...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Viwanja vipi kigamboni mwisho wa project ya mji mpya. Kimoja kina ukubwa wa Ekra moja kinauzwa 32m. Kipo mita 100 toka barabara kubwa ya lami. Kingine kina ukubwa wa mita 26 kwa 37 kipo mita 300...
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Napatikana Dar, nahitaji mini laptop.. iwe kwenye hali nzuri au if possible nielekezwe sehemu nayoweza pata ya mtumba.. dau langu ni 300,000/= za Kitanganyika..
0 Reactions
1 Replies
967 Views
Ninauza kabati la kioo na aluminium la kudisplay lilikuwa linatumika stationery ni jipya.width 250cm, heigt 125cm.lipo maeneo ya upanga karibu na fire, kama unahitaji piga 0787428754.tuwasiliane
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Hii ni kwa wale wote wamiliki wa migahawa na hoteli saizi ya kati pamoja na familia kubwa. Simgas tanzania limited inaweletea kwenu gesi itwaayo 'gesi 2000' hii ni baada ya mafanikio ya miezi 10...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Housing ya toshiba satellite a205 s5801,inahitajika kama unayo please pm
0 Reactions
0 Replies
864 Views
habarini wadau , tunatafuta location nzuri kwa ajili ya kipindi cha mahojiano ya television, tutaonyesha eneo husika, eneo liwe ni zuri kwa ajili ya burudani, exciting , entertainment au kitu...
0 Reactions
1 Replies
912 Views
Our company is making electric fence system for security purpose more affordable in Tanzania. We also give a warrant of one year after installation. We also deal with CCTV and motional sensor...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
PLease anaejua sehem za kununua housing, full housing za galaxy note please naomba mnisaidie..Will be so greatfull.
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Hello! Microtelecomms Tanzania ni kampuni iliyosajiliwa inayojihusiaha na masuala ya Web Designing, Web Registration, and Web Hosting technology ambapo yatafanikisha wewe/kampuni yako...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
simu ipo katika hali nzuri imetumika kwa mwezi mmoja tu gharama yake ni laki mbili na themanini kwa mawasiliaono 0716049450 jr.ceasargeorge@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
aliye tayari kubadilishana ni mpe nokia e71 na hela kwa bb 9360
0 Reactions
0 Replies
742 Views
Maeneo: Mwenge, Savei, Mlimani city, Makumbusho, nk.. iwe na vyumba viwili vya kulala, sebule pamoja na jiko. Iwe ndani ya fensi. Bajeti yangu ni 250,000. natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu hali zenu, kwa yoyote mwenye connection ya watu wanaonunua haya magari, mie natafuta mteja, tukubaliane bei ni mil 55, tunaandikishana mkataba likifika ana nunua, hatoi hata hela yake mpaka...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
habari zenu wakuu kuna iPad 2 yenye 3g na WiFi IPO kwenye hali ya upya.imetumika wiki tatu tu!. bei 850,000 tsh maelewano yapo. pigs 0688112112 au 0719223225
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Laptop 60 za kukodi zinahitajika kwa ajili ya seminar ya siku 5. mwenye nazo awasiliane na +255 712 787939 kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
PROCESOR 1.67 GH,RAM 1GB,HARD DISC 150 GB,WEBCAM etc.....imetumika kidogo....bei ni 400,000/=.....0717754355...niko moshi
0 Reactions
0 Replies
640 Views
Serious buyer anayehitaji magari hayo anipm bei ya kawaida.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kumpata dalali au nyumba maeneo ya magomeni,au makumbusho,,,mawasiliano yangu ni 0756417504
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mimi ninauza Mbwa aina ya Belgian Shepherd Malinois, nimebakiza puppies wa 3. Majike 2, Dume 1. Wamezaliwa wana wiki 1 mpaka leo trh 21 July 2012. wamezaliwa puppies wa5 wawili wapo kwenye oda...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
Back
Top Bottom