Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Apartment for Sale. Location: Msasani, kimweri road. Features: 3 Bedrooms, semi furnished, Kitchen, Dining, Sea View, Secured parking. Price: 170,000 USD. Negotiable. Document: Ownership with...
1 Reactions
2 Replies
202 Views
AQUOUS r6 Storage 128gb Bei 335,000 Clean Haina kipengele labda kipengele uje nayo tajiri😀 Ubungo darajani 0️⃣6️⃣9️⃣3️⃣1️⃣7️⃣6️⃣1️⃣9️⃣7️⃣
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Lodge ipo uyole jijini mbeya lodge ina vyumba 16 safe vinavyo jitegemea kila chumba, mfumo wa Maji moto na baridi upo. Lodge ina flame zenye vyumba vya kulala vitano. Glosari, ukumbi wa mpira na...
1 Reactions
7 Replies
293 Views
Kama kichwa kinavyosema, Nahitaji duka au mahali wanapouza vifaa vya kupandikiza mimba kwa wanyama..almaarufu "uhamilishaji" Nahitaji hivi vifaaa hapa chini:- 1.Liquid nitrogen container lita tatu...
2 Reactions
8 Replies
180 Views
TUNATOA HUDUMA ZA GARDENING DESIGNATION kwenye makazi, Maofisi, mataasisi, vituo vya mafuta na sehemu nyinginezo ili kuipendezesha mandhari husika. Gharama zetu ni Sawa na bure, msingi ni ubora wa...
0 Reactions
0 Replies
111 Views
AQUOUS r6 Storage 128gb Bei 335,000 Clean Haina kipengele labda kipengele uje nayo tajiri😀 Ubungo darajani 0️⃣6️⃣9️⃣3️⃣1️⃣7️⃣6️⃣1️⃣9️⃣7️⃣
1 Reactions
0 Replies
101 Views
350k 0718909429 Dsm
0 Reactions
8 Replies
399 Views
Khanga kubwa nzito kutoka Zanzibar zinapatikana. Material: Cotton Bei ya Khanga: sh 20,000/= Bei ya Jumla: sh 18,000/= kuanzia Khanga 3. Tunapatikana tabata kinyerezi/Makumbusho (Biashara ni ya...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Ocean View Plot for Sale in Salasala! 🌊🌟 📍 Location: Salasala mwisho wa rami, situated on a hill with breathtaking ocean views. 🏡 Perfect for building your dream home with a luxurious pergola...
1 Reactions
2 Replies
236 Views
Plot Available For Sale. Location: Kahama road, Masaki, Dar es Salaam. Size: Sqm 1200. Price: 1.5 Million USD, Fixed. Document: Ownership with Title Deed. Contacts: 0784 829565 0767 833345...
2 Reactions
7 Replies
288 Views
Hello guys, kuna yeyote mwenye taarifa yeyote juu ya sehemu naweza pata miwani ya kuogelea mtu mzima kwa hapa Dar.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nauza Bata Mzinga wawili , Kuku aina ya Brahma wawili na Kuku aina ya Kuchi wawili wote wakiwa na umri wa miezi minne bei maelewano napatikana Dumila Morogoro Kwa mawasiliano piga simu 0655760381
2 Reactions
8 Replies
399 Views
Leo nawaletea fursa nyingine hii ya kutembelea Hidden game iliyopo mkoa wa Kilimanjaro, wilaya ya Hai, Kijiji cha Rundugai, tunatoa ofa kwa wakazi wa Kilimanjaro na Arusha kutembelea Chemka Hot...
1 Reactions
1 Replies
161 Views
Habari za kila mmoja humu, leo nawaletea mchingo mwingine huu hapa wa kwenda kutembelea paradiso ya maji moto ya chemka iliyopo wilaya ya hai mkoani Kilimanjaro. Hapa huoendwa kutembelewa na watu...
0 Reactions
0 Replies
140 Views
Nauza kwa dharura kiwanja kilichopimwa chenye Title Deed chini ya Market Price. Plot ipo maeneo ya Kigamboni mita chache kutoka majengo ya mradi wa maghorofa ya NSSF. Ukubwa wa hiyo plot ni mita...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wakuu nauza kiwanja chenye hati ( SURVEYED PLOT) MBWENI MPIJI (Block No 09,Plot 139) UKUBWA WA KIWANJA SQM 820 KUNA BANDA KUBWA LA VYUMBA VINNE LENYE WAPANGAJI BEI: 110M...
1 Reactions
6 Replies
322 Views
Chumba na sebule kubwa ya kisasa katika neighbourhood yenye amani inapangishwa kwa bei ya Tsh 150k kwa mwezi. Mabibo makuburi nyuma tu na ilipo Samaria Hotel Eneo lina usalama wa kutosha ndani ya...
2 Reactions
40 Replies
1K Views
Rejea kichwa habari...Aina yoyote inayoweza njia ya vumbi...yenye milima. Shukran imetangulizwa.. Kimtindo mtindoe....mtindisho....mtindishhhdoooo.
3 Reactions
10 Replies
566 Views
Nauza king'amuzi cha Startimes kwa Tshs 20,000 tu. Kipo na Adapter yake ya umeme pamoja na remote controller yake. Kimetumika miezi mitano peke yake Nipo Mbezi Luis karibu na Stand ya mabasi ya...
0 Reactions
1 Replies
217 Views
Ninauza kiwanja cha sqm 4400 - 5000 kiko Lingato ambayo iko wilaya ya Kigamboni Dar es Salaam mpakani na Lugwadu ambayo iko Mkuranga Pwani. Ni maeneo jirani na kwa Pinda Kigamboni. Bei maelewano...
1 Reactions
3 Replies
239 Views
Back
Top Bottom