Kuanzia Mei 12 hadi Mei 15 tutakuwa na marekebisho makubwa kwenye tovuti hii. Endapo hutotupata, fuatilia yanayojiri kupitia FikraPevu au JamiiForums on Facebook
CHANZO NI UONGOZI WA JF
Habari wana JF!Kiwanja kinauzwa
Eneo:Kibamba CCM
Umbali:1.5km kutoka Morogoro Road
Ukubwa wa kiwanja:20x50 mita
Barabara:Gari linafika mpaka kwenye kiwanja
Bei:12mil Tshs
Hakijapimwa...
habari za hapa jamvini wakuu nahijaji collections tajwa hapo juu kama copy 1,000 kwa anayefanya biashara hiyo naomba ani PM nitatoa namba yangu pale ntakapopata PM yako
HABARI WANAJAMVI?
Leo napenda kuwashauri kuhusu kutumia cctv n surveilance.
cctv and surveilance ni nini?
Hii ni system inayounganisha security camers, na dvr ambapo mtu aneweza kuona maeneo...
Wadau nauliza duka linalouza fomaika jijini Dar,kama kuna anayefahamu tafadhali anipe maelezo ya duka lilipo,hasa nahitaji za rangi nyeupe na pia rangi nyeusi,natanguliza shukrani.
Kwa yeyote anayehusika. Nahitaji Frem ya duka maoneo ya Moshi bar G/mboto kwa anayefahamu pia iwe sehemu nzuri kwa biashara na ningependa kujua na gharama.
DML consults,we are providing data analysis(secondary and primary data) and presentations for both academic works,projects,researchs and studies,as well as trainings for Statistical packages...
Wanajf,
habari za,' majukumu? nina simu aina ya samsung gt-s5233a, ipo vzri kabisa bila dosari yoyote. ningependa kubadilishana na member yeyote mwenye simu aina ya nokia E-5, nokia E-6. Au kama...
Wadau,
Nahitaji Chumba (Master) iwe na Sebule maeneo yaliyotajwa hapo Juu kwa ajili ya Shemeji yenu Mtarajiwa!!!!
Maji yawe available, na pasiwe uswazi.
Shukrani!!!
Msaada natafuta battery ya Blackberry Bold 9780 ninayotumia haikai na charge muda mrefu mwenye kuwa nayo naomba tuwasiliane ili nijue bei ni shilingi ngapi pia waweza kuni PM. Asanteni
Wadau nauza nokia c7 ni mpyaaa kabisa bei ni laki3 tu (No Discount)!! number zangu ni 0656-072553 au 0782-895676 specification zake ni kama ifuatavyo:::
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G...
Containers for Sale at very Low Price.
With full documents, in a very good condition.
Price:
40ft Tsh 5.5mil
20ft Tsh 4 mil
Call: +255 712 787 939
or email me @
Email: buyanza@gmail.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.