Je ungependa kuwa na website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara au kampuni yako? Usisumbuke karibu Microtelecomms. Tutakutengenezea website ya kisasa na yenye ufanisi kwa biashara yako au...
Wanajamii: Kiwanja kipo Mbweni Mpiji - Kinondoni kinauzwa kwa bei ya maelewano. Kina eneo la sgm 662 ha hati miliki safi. kwa mawasiliano zaidi nipigie 0713-354090
Nina kiwanja nauza GOBA umbali wa 1km kutoka Goba Stand. Kina ukubwa wa mita 40 kwa 40. Kipo mahali pazuri karibu na barabara na umeme haupo mbali.
Kwa anayehitaji awasiliane nami kwa 0762-088603...
moja ina vyumba 26, inafaa kwa matumizi ya ofisi na inaeneo kubwa , pia ni nzuri kwa anayewaza kufanya biashara ya hotel hapa Dar . ingine ni kwa ajiri ya kuishi ni apartment ipo stabey B. na...
Nyumba ina eneo kubwa unaweza paki hata gari 50 kwa wakati mmoja na ipo sehemu nzuri sana . inafikika kirahisi kabisa . inafaa kwa matumizi ya ofisi au kwa anayetaka kufanya biashara ya hotel...
HONDA XR600 INAUZWA!(ARUSHA!)
pikipiki iko kwenye hali nzuri kweli.
Imetembea km 25.000 km tu tangu mpya yake 1993.zaidi ya miaka kumi ilikaa bila kutumia. Kila wakati ilifanya service sawa sawa...
nauza body ya mistubishi Chariot, bado ipo bomba, inasumbua engene sasa me nimekosa pesa ya kubadilisha engene ili niweke ya Rav 4, kama unaitaji ni shilingi milion 2.5, mawasiliano ni 0652-110878
Jamani Ninauza Mafuta halisi ya ALIZETI toka singida sasa yapo Dar maeneo ya mbezi yapo kwenye ujazo wa lita 5, BEI POA ujazo wa lita 5 ni sh.16,000 TU. Mafuta halisi kwa afya bora..Kwa...
eneo la skwata,nyumba ina vyumba sita,choo, ina eneo kubwa, nyumba ni ya kizamani ila eneo linalipa na lipo katika hali nzuri.Bei yake ni Tshs 40,000,000/=.Ukitaka kuliona eneo nipigie +255715 46...
Nauza hii Camera ambayo itawafaa wenye kurecodi shughuli mbali mbali za kibiashara.Camera ni nzuri sana na inafanya kazi bila wasiwasi wowote na inatoa Quality picture na kwa wanayoijua watafahamu...
Nyumba chakavu 4 zinauzwa zikiwa katika viwanja tofauti 3 zipo kinondoni shamba moja ipo keko. kati ya hizo tatu moja unaweza paki gari mpaka mlangoni na hizo mbili gari hazifiki. nyumba hizi ni...
tunayumba za kupangisha , kuuza . kwa matumizi binafsi na ofisi kwa maeneo niliyotaja hapo juu. kwa anayetafuta nyumba maeneo hayo tuwasiliane, na pia kwa anayetaka kuuza nyumba au mali yoyote ...
Ipo Ilala,
iko barabarani kabisaa,
nyumba kubwa inavyumba 6 na vyumba vya uani 5..
Na eneo linabaki.
Bei milioni 500 bei inapungua,
mawasiliano..
0713133633
Ni nzuri , ina mlango wa ku-slide, na floor tiles nzuri. Fremu hii ipo barabara ya changombe na inatazama bara bara hiyo. Ipo kati kati ya maduka mawili na bora
bei ni tshs. 90,000 kwa mwezi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.