Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau! Nipo hapa mjini A town kwa makazi! Inahitajika pikipiki (USED) tajwa hapo kwa Tsh 750,000/= iwe na viambatanisho vyake vyote Mwenye kuwa nayo asisite kunijuza kupitia PM!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu salaam, Nahitaji truck long base kubeba mzigo wa 1 ton,mrefu kama 25metres, kwenda Kigoma una uzito wa 1ton,uwezo wangu ni kulipia shilingi million 3 za kitanzania .Mzigo unatakiwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bei 230,000 Simu used lakini sawa na mpya...imetumika wiki moja tu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu, natafuta wataalamu wa kuprint LEBO, POSTERS na BROCHURES kwa bei nafuu inayotia moyo kufanya nao kazi. Naomba kwa yeyote anayewafahamu au kuhusika na wataalamu wa mambo hayo wanisaidie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa vigunguti, karibu na hiece zinapogeuzia, ni 30 kwa 20, Pia kina msingi. Bei ni 40M. Any one interested waweza ni PM!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SIZE: 1200 Sqm (1 plots) AU 30 KWA 40 BEI: MIL 25 SIFA YA KIWANJA ENEO LINA HATI MILIKI HALALI KIWANJA KINA MIUNDOMBINU YOTE MAJI NA UMEME VIMEFIKA KATIKA KIWANJA GARI AINA ZOTE ZINAFIKA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I am looking for Event planner and organiser Companies that does the following items;(Dar & Morogoro) Provide an "MC" (Master or Mistress of Ceremony) who can guide the participants through some...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Contact 0713079282
0 Reactions
0 Replies
676 Views
jamani ndugu zanguni nina magari haya nauza Audi A6 excutive 1999 iko kwenye condition nzuri niya silver nani automatic mwingereza u can expect the quality mil. 16 tuu na nina Daihatsu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ninauza HOUSING za simu ya TECHNO. Housing zipo HIGH QUALITY, bei ni 6,000/-tshs kwa pisi. Ninayo pisi kama 30, za Model tafauti tafauti. Usikose Hiyo OFA, Techno Mobile zipo kibau hapo mjini...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Natangaza nafasi ya mtu yeyote kutengeneza pesa ukiwa nyumbani kwa mara ya kwanza campuni ya wazzub inatafuta mashirika na watu binafsi kukuza webpage yao iwe kama google au search engine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ninatafuta Generator ya kuwashia taa zangu na feni bila FRIDGE Ninaweza kupata kwa bei gani na lina ukubwa kiasi gani? Naomba msaada kutoka kwa wataalam wanisaidie
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ina vyumba vitatu,jiko, sebule, sehemu ya kulia chakula na stoo. Ina umeme na maji. Chumba kimoja kati ya hivyo ni self. Gharama ni Tsh 300,000/ ambayo italipwa kwa mkupuo wa miezi mitatu,sita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wasiliana na dada anaitwa leila simu no.0656616104 kwa maelezo ya bei na wapi ipo
0 Reactions
0 Replies
952 Views
Kiwanja kinauzwa Mabwe Pande , eneo la nusu heka, lina michungwaq, minazi na mipera. bei ni Milion 9m. Kama upo interested - ni PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nataka kufungua biashara nataka nami niwe na ile machine ya MAXCOM AFRICA, na M-PESA, na TIGO PESA JE FAida yake wenzangu mnaijuwa inalipa? Maana naona watu wengi wanafanya tayari NISAIDIEN...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
jamani natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, bahari beach, msasani, naomba msada ajuae aniandikie!! asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja kilichopo eneo zuri karibu na barabara kwa mei ya tshs. 2-3 milion kiwe na hati
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninahitaji freezer kwa ajili ya kugandisha mabarafu ya size mbalimbali ikiwemo size kubwa wanayotumia kuhifadhia samaki au kupoza vinywaji wakati wa sherehe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Namba yangu ni 0715966715
0 Reactions
0 Replies
666 Views
Back
Top Bottom