Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
sony erickson xperia x2 inauzwa tsh 250,000/= if u r interested check me on 0715 70 50 50
0 Reactions
1 Replies
1K Views
HTC surround 7 used 16 gb memory but ipo ktk hali nzuri mno bei 430,000 maongezi yapo ina kila kitu chake wasiliana 0713 51 05 78
0 Reactions
3 Replies
1K Views
T-mobile my touch slide 4G kama inavyoonekana kwenye picha inauzwa kwa sh 600,000. Bidhaa ni mpya kabisa kwenye box lake. Kama upo interested tafadhali ni PM. Nipo dar
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Iwe kwenye hali nzuri. Ofa yangu 100,000. Aina ya Samsung dau litapanda kidogo. Ni PM kama unayo.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Anaeuza au kujua napoweza kupata hiyo series season 1 full ani pm tupatane bei hata burned poa but picture quality iwe poa
0 Reactions
4 Replies
1K Views
-Ni 4stroke (bajabi nzuri kuliko 2stroke, na TVS, ) -ipo katka hali nzuri kabisa, inafanya kazi kwa maintanance ya bajaj mpya (kumwaga oil na vispea vidogo vidogo) -Ipo dar es salaa. -Inji na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Vipo vitano vimepimwa na vina hati miliki. Kila kimoja kina ukubwa wa mita za mraba 1200. Bei 12mil kwa kimoja. Huduma ya umeme ipo karibu. Viwanja vipo umbali wa kilomita 12 kutoka feri. Karibu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
:A S 465:Ile ofa ya kukupa wewe 10% ya malipo yatakayotokana na kuleta kazi ya website (YAKO au ya MTU mwingine) bado inaendelea. Ahsante kwa wanao respond na ambao wameleta proposal zao...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kiwanja hiki kina ukubwa wa 4000sqmetres. kina hati, anaye hitaji ani pm.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
iwe na vyumba vitatu vya kulala kimoja kiwa master,iwe na uzio, pia parking ya gari ya kutosha. iwe maeneo ya ubungo, kimara mwisho mbezi. bei yake isizidi laki tatu kwa mwezi ninahitaji haraka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nyumba iwe na master pamoja na vyumba viwili vya kulala, sebule kubwa dining, parking ya gari na iwe ndani ya uzio. iwe maeneo ya kuanzia ubungo kufuata moro road mwisho mbezi. bei isizidi laki...
0 Reactions
0 Replies
886 Views
kama unataka gari kwa bei poa inawezekana utaangalia minada ya magari live kupitia kwenye kifaa maalumu nilichokujanacho kutoka Japan,utaweza ku-bid gari wewe nyewe kupitia computer iliofungiwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
jenereta hii ina 120HP, na 65KV. na ni three phase. pia unaweza kutumia kwa single phase. hii ni used from UK.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
unahitaji milango yenye ubora kwa mbao za mkongo na mninga kwa bei nafuu sana?tuwasiliane tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
:A S 465: Jaman kwa mtu atakayenipa dili la website nitengeneze atapata 10% baada ya malipo. Asilimia zinaweza ongezeka kutokana na dili lenyewe. Kama uko tayari nitumie email...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
hdd 700gb,ram 6gb,core i5-2410m,procesor @2.3ghz 2.3ghz,3D perfomance,sound by beats audio,hd webcam.bei ni 1m Call me: 0713656256
0 Reactions
8 Replies
1K Views
used. bt in mint condition..any1 interestd, ts goin for 220,000/- .. txt to 0763 530 330
0 Reactions
0 Replies
692 Views
iko ktk hali nzuri sana ni screen touch inakaa na chaji siku nne, ina bluetooth, camera 3mgpxl n.k. bei laki mbili. pia naweza kubadilishana na nokia n73. contact :0714-408238, 0759-401230.
0 Reactions
1 Replies
965 Views
Rav4 blue colour, left hand TZS8.5M! Am selling because i want to leave the country going to study
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Natafuta tractor la kulima shamba la ukubwa wa ekari 25, shamba lipo wilaya ya Kisarawe, kupitia njia ya Chanika. Tafadhali kama unalo au unajua mtu mwenye biashara hiyo naomba mawasiliano nao.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom