Wakubwa jamvini natafuta battery ya laptop. Laptop yenyewe ni hp model compaq 2510p.
Kama kuna yeyote anayeweza kuipata mpya tafadhali tuwasiliane kwa 0784 398 893 kujua bei na namna ya kuipata...
Toyota Corrola New Model 2002 (Nyeupe) inauzwa kwa bei ya Sh 8.5m tu. na Mazungumzo yapo.
Wasiliana na mimi kwa namba: 0713 531152 .
Picha yake nitaipost leo badae.
Nilikuwa naitumia mwenyewe...
Kwa jamii yote ya JF.
Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa...
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano...
Range rover 99, 4.6 vouge blue, all the extras plus ps2. Head rest screen, all eletrics. Good working order 18 inches wheel, and ac. Please i want to sell it and just want to know how much will i...
Comred auction mart company limited,
P.O.Box 61508,
Dar es Salaam.
Phone no: 2775904
fax: 2775903
Tangazo la mnada wa hadhara, kwa amri tuliyopewa na mahakama kuu ya tanzania idara ya kazi...
Brand New IBM slim DVD-RW zipo kibao kama 150pcs
Price 60,000/Tshs=
zungu.business@gmail.com
Specs.
IBM External USB 2.0 Slim DVD CD R/RW Drives Burner Writer For Laptop
Description...
Kiwanja kinauzwa Pugu mwakanga, kimepimwa na kina offer, kina square metre 1200+ .
Gari linafika mpaka kwenye kiwanja, ni tambarare pazuri, hapatuami maji,
Ukitaka kununua nitakusaidia na kufanya...
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20x23 kinauzwa, kipo kitunda kivule tsh 2,500,000/=, maelewano yapo, pia kina matofali 600 nayauza kwa 550 kila moja.
Wasiliana nami kwa simu namba 0713-357542.
NI TECHOLOJIA YA KISASA AMBAYO NDIO INATUMIKA SANA KWA HIVI SASA.
ZINA UBORA WA HALI YA JUU NA BALBU(GROUPS) ZAKE NI BEI RAHISI SANA.
ZINA MASAA MENGI(8000 HRS) KULIKO PROJECTA NYINGI.
Matumizi...
Nafahamu wako wadau kadhaa wanaomfahamu Prof Mbwette, Mkuu wa chuo kikuu huria.
Nasikitika kuwaarifu kuwa mama yake mzazi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan.
Msiba upo...
Habari zenu wakuu, Ninatafuta shule nzuri yenye Boarding kwa hapa DAR, Kijana wangu anasoma Boarding ya St. Marys ya Tabata(primary) nataka kumtoa kwa sababu hii shule ni ya kisanii, naomba...
Wana FOS - Friends of Slaa - Marafiki wa slaa
Tunakutana leo Saa Kumi Jioni - Hoteli ya Land Mark Ubungo Kujadili Mikakati ya Dr Slaa Kuyafikia Makundi Fulani Maalumu atakapokuwa DAR Kwa Vikao...
Nachukua nafasi hii kuwapa wapendwa wana JF,waislamu,wakristo,wanaume na wanawake,wazee na vijana,salamu za IDD.Kwa wote IDD njema na nawaombeeni mfurahi sikukuu hii wote kwa pamoja,tuonyeshe...
Jamani kuna folder yangu moja ina docs nyeti na muhimu naona imenakiliwa au kuporwa.. aliyeiona anirudishie... au aniambie ilipo nitaifuata mwenyewe. Ina picha, nyaraka, discs za video na audio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.