Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wakuu Kwa mtu yeyote mwenye nambari ya simu ya Mbeya Paradise Inn Hotel naomba anisaidie Natanguliza Shukrani BE
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Wakubwa jamvini natafuta battery ya laptop. Laptop yenyewe ni hp model compaq 2510p. Kama kuna yeyote anayeweza kuipata mpya tafadhali tuwasiliane kwa 0784 398 893 kujua bei na namna ya kuipata...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Toyota Corrola New Model 2002 (Nyeupe) inauzwa kwa bei ya Sh 8.5m tu. na Mazungumzo yapo. Wasiliana na mimi kwa namba: 0713 531152 . Picha yake nitaipost leo badae. Nilikuwa naitumia mwenyewe...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa jamii yote ya JF. Natafuta mtaalamu wa kupima maji chini ya ardhi anayeishi DSM, kwa ajili ya kuchimba kisima kirefu, kama kuna mwanajamii yeyote anafanya kazi hiyo tafadhali tuwasiliane kwa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
  • Closed
- Wakuu wote JF, bila kumbagua yoyote nina rafiki wa kike wa kizungu anayefanya kazi kwenye mradi mmoja ambao ukitimiza msharti yake ambayo sio magumu sana, basi wanakupatia viza ya miaka mitano...
3 Reactions
398 Replies
43K Views
Range rover 99, 4.6 vouge blue, all the extras plus ps2. Head rest screen, all eletrics. Good working order 18 inches wheel, and ac. Please i want to sell it and just want to know how much will i...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Comred auction mart company limited, P.O.Box 61508, Dar es Salaam. Phone no: 2775904 fax: 2775903 Tangazo la mnada wa hadhara, kwa amri tuliyopewa na mahakama kuu ya tanzania idara ya kazi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Brand New IBM slim DVD-RW zipo kibao kama 150pcs Price 60,000/Tshs= zungu.business@gmail.com Specs. IBM External USB 2.0 Slim DVD CD R/RW Drives Burner Writer For Laptop Description...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa Pugu mwakanga, kimepimwa na kina offer, kina square metre 1200+ . Gari linafika mpaka kwenye kiwanja, ni tambarare pazuri, hapatuami maji, Ukitaka kununua nitakusaidia na kufanya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta yaya...aliye naye ani PM
0 Reactions
2 Replies
948 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20x23 kinauzwa, kipo kitunda kivule tsh 2,500,000/=, maelewano yapo, pia kina matofali 600 nayauza kwa 550 kila moja. Wasiliana nami kwa simu namba 0713-357542.
0 Reactions
20 Replies
3K Views
NI TECHOLOJIA YA KISASA AMBAYO NDIO INATUMIKA SANA KWA HIVI SASA. ZINA UBORA WA HALI YA JUU NA BALBU(GROUPS) ZAKE NI BEI RAHISI SANA. ZINA MASAA MENGI(8000 HRS) KULIKO PROJECTA NYINGI. Matumizi...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
Nafahamu wako wadau kadhaa wanaomfahamu Prof Mbwette, Mkuu wa chuo kikuu huria. Nasikitika kuwaarifu kuwa mama yake mzazi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Agha Khan. Msiba upo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Toyota Rav 4 For Sale 1999, automatic. Red, full AC, CD Changer, Price 9mil Call 0717114409/0755312233
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Ninatafuta shule nzuri yenye Boarding kwa hapa DAR, Kijana wangu anasoma Boarding ya St. Marys ya Tabata(primary) nataka kumtoa kwa sababu hii shule ni ya kisanii, naomba...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Wana FOS - Friends of Slaa - Marafiki wa slaa Tunakutana leo Saa Kumi Jioni - Hoteli ya Land Mark Ubungo Kujadili Mikakati ya Dr Slaa Kuyafikia Makundi Fulani Maalumu atakapokuwa DAR Kwa Vikao...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Corolla inatafutwa, tafadhali anayeuza tuwasiliane kupitia hapahapa kabla ya mawasiliano yasimu au e-mail.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nachukua nafasi hii kuwapa wapendwa wana JF,waislamu,wakristo,wanaume na wanawake,wazee na vijana,salamu za IDD.Kwa wote IDD njema na nawaombeeni mfurahi sikukuu hii wote kwa pamoja,tuonyeshe...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Closed
Jamani kuna folder yangu moja ina docs nyeti na muhimu naona imenakiliwa au kuporwa.. aliyeiona anirudishie... au aniambie ilipo nitaifuata mwenyewe. Ina picha, nyaraka, discs za video na audio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom