Naomba mtu aniunganishe na mtu mwenye jambo lolote, linaloweza kuvutia watu na kuwakusanya nikatangaza biashara yangu.
Sarakasi
Ngongoti .
N.k
Malipo maelewano.
Please njoo pm
Sent using Jamii...
Salaam, tunatengeneza mifuko kwa ajili ya matumizi tofauti tofauti kama vile
- Kuhifadhia bites za kwenye shughuli mbalimbali kama vile harusi, kitchen party nk
- kuwekea bidhaa mbali mbali za...
MATUNZO KWA KUKU WA NYAMA
(BROILER)
kuku hawa kiasili ni kuku ambao wana uwezo wa kukua haraka ndani ya wiki 3.5 mpaka 4 kutegemea na aina ya chakula unachowapa na matunzo.
Kuku hawa hukua na...
Kitu freeeeeeesh kutoka shamba!!Karanga mbichi hizo za maganda zinapatikana.Zinauzwa kwa kipimo cha kisado na debe/ndoo.
Kisado tsh.3500
Ndoo tsh.16000
Kwa wale wa Mwanza ukichukua kuanzia visado...
Wakuu, kwanza poleni na majukumu ya hapa na pale, lakini ni suala la kumshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema kwa kuendelea kuwa nasi katika kazi za hapa na pale.
Naomba kusema yaliyonileta...
Habari wanabodi,
Kichwa cha habari hapo juu chahusika,nahitaji nondo takribani 85 kwa mchanganuo wa 12mm idadi 60 na 16mm idadi 25,napatikana bahari beach near budget restaurant ,ledger plaza...
DStv -Jiunge na tasnia ya burudani kwa kununua dish na dekoda kwa sh.99,000 na upewe buree kifurushi cha kuangalia mwezi mzima,kifurushi chenye thamani ya sh.69,000 buree,,kifurushi hiki kina...
Naomba mwenye mkanda wa kioo wa mwanga yan lcd cable ya acer 5210 anichek pm tufanye biashara au kama unaona ambao unafanana nao anichek pm
Note :ni laptop sio desktop
Sent using Jamii Forums...
Habari wakuu,
Naomba mnisaidie nataka kununua iphone 6+, kuna uzi nimeona wanasema simu za makumbusho ni refurbished au kama kuna mtu anauza 7+ anakaribishwa PM,
Bei za mlimani city nimeshindwa...
Salamu!!
Jamani natafuta mahali au chuo au hata mtu binafsi anaweza kunifundisha namna ya kusindika maziwa.
Nimejaribu SIDO wanasema wao wanafundisha usindikaji wa vyakula na milolongo kibao na...
Wakuu, lile shamba nilisema nauza 10m nimepunguza bei sasa ni 7.3m. Nimeanza na Kujenga kibanda cha mfanyakazi badi kuezeka. Lipo Mbeya.Mbarali. Ni hekari 2.75.
Year : 2005
Capacity :2490cc
Full AC
Full Documents
Full Options
Excellent Conditions
Location: Mikocheni
Price : 10.7M
Call : 0717436363/0711600998
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawasalimu kutoka hapa jijini Mwanza, Kama maada inavyosema mimi ni muuzaji wa spare used za magari aina zote niko jijini Mwanza, Nawakaribisha nyote mnaotafuta spare na ntafurahi kutatua...
Wakuu Leo nimeamua kuwarahishia kazi ya kuzunguka mjini kariakoo kila kukicha kutafuta bidhaa Bora. Jipatie photo copy machine mpya kabisa na maganda yake kwa tsh 2M. Bila usumbufu wowote.
Piga...
Jipatie laptop na ipad zilizo imara na vizuri kila idara zimetumika USA zipo tano zikiwa katika hali nzuri
NUNUA KILICHO BORA USISMBUKE KUNUNUA VIBOVU KILA SIKU FUNDI
BATTERY ZIPO IMARA NA...
Wapi nitapata hizi TV kwa maeneo ya Dar, huku mitandaoni wasije kuniliza bure,
Budget ni mil 2.5.
Pia kama yoyote anatumia aniambie juu ya ubora wake pia alinunua bei gani maduka ya bongo.
Thanks.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.