Kuna sababu kadhaa zinazochangia mazingira magumu ya kufanya biashara nchini Tanzania. Baadhi ya sababu hizo ni:
1. Utawala wa Serikali: Kuna changamoto kadhaa za utawala wa serikali...
Tanzania ina uwezo mkubwa wa maendeleo ya nishati mbadala. Kwa mwanga mwingi wa jua, rasilimali za upepo, mito, na shughuli za jotoardhi, nchi inaweza kutumia vyanzo hivi ili kuboresha mazingira...
Fursa za kiuchumi ni Hali Yoyote Ambayo Inakupa Nafasi ya Kujipatia Kipato Cha Halali, Vijana Badala ya Kusubiri Ajira wanapaswa Kutazama Fursa za kiuchumi Ambazo zinawazunguka Vijana.
Kilimo Cha...
Je, kuanzishwa kwa teknolojia mpya na mifumo ya kompyuta ya habari na utengenezaji lazima iwe kwa gharama ya watu na ushiriki wa mwanadamu?
Katika utafiti wa 'Kusimamia mabadiliko ya...
UADILIFU NA MAENDELEO: JINSI UADILIFU UNAVYOATHIRI MAENDELEO, AMANI NA HAKI KATIKA JAMII
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Uadilifu ni sifa ya kuwa mwaminifu, mwadilifu na mwenye haki. Ni tabia...
Ajira ni kazi au shughuli ambayo mtu anafanya kila siku na kujipatia kipato kwa ajili ya kujikimu na kufanya maendeleo binafsi na nchi kwa ujumla. Mazingira wezeshi ya upatikanaji wa elimu (elimu...
Chanzo picha: www.globalpublishers.co.tz
UTANGULIZI
Kiswahili ni lugha ya kibantu iliyotokana na mchanganyiko wa baadhi ya maneno kutoka katika makabila mbalimbali ya nchini Tanzania na Afrika...
Miongoni mwa changamoto zinazolikabili Taifa la Tanzania na Bara la Afrika lakini pia Dunia nzima ni Ajali za Barabarani pamoja na Foleni za Barabarani.
Ajali za Barabarani husababisha aidha...
UONGOZI BORA: KAZI YA MOYO INAYOGUSA ROHO ZA WATU NA KUENDELEZA TAIFA
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Uongozi bora ni kazi ya moyo inayogusa roho za watu na kuendeleza taifa. Uongozi bora...
Hayati John Pombe Magufuli alikuwa kiongozi wa kipekee ambaye alitumika na Mungu kuchochea mabadiliko makubwa katika fikra za Waafrika. Uongozi wake ulithibitisha kuwa muundo wa utawala wa ujamaa...
UTAWALA WA SHERIA: MISINGI, CHANGAMOTO NA UTEKELEZAJI WAKE NCHINI TANZANIA
Imeandikwa na: MwlRCT
UTANGULIZI
Utawala wa sheria ni dhana muhimu katika jamii yoyote inayotaka kuendelea na kuwa na...
WAFANYABIASHARA WANAKERWA USUMBUFU WA TAASISI ZA UMMA. KISA KODI NA TOZO.
Wakati Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwasikiliza wafanyabiashara wa Kariakoo, Mwezi Mei 2023 Mkoani dar es salaam...
Kupotosha ni kitendo cha mtu kutoa taarifa au kuzungumza kitu katika hali isiyo sahihi na kupelekea wanaomsikiliza kukosa uhalisia wa jambo. Leo hii nchini Tanzania kumezuka tabia hii ya...
Kuna mjadala mkubwa sana hapa nchini haswa kuhusu serikali kukopa na kupokea misada kutoka nchi tofautitofauti kama Amerika, Uchina, Falme za Kiarabu na Umoja wa Nchi za Ulaya, mjadala ni mkali na...
Ni saa 1 usiku, nakatiza maeneo ya Kimara, Dar es Salaam ili nikaunganishe usafiri wa kwenda nyumbani baada ya pilikapilika za kila siku.
Mara naona kijana akikatiza mbele yangu kando ya viunga...
Kwa miongo mingi sasa kilimo kimekuwa uti wa mgongo wa Taifa letu, si ndani tu bali tumeweza kuwa na akiba ya mazao na kuuza pia kwa nchi jirani, haya yamekuwa yakitangazwa kwenye vyombo...
Hukumu ya kifo kwa makosa makubwa yaweza kuleta mabadiliko makubwa nchini
Najua umevutiwa na kichwa cha habari cha andiko hili. Najua Makala hii itapokelewa kwa hisia tofauti kutokana na...
Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Afrika ambazo, zina wimbi kubwa la vijana wasiokuwa na ajira hasa , wahitimu wa vyuo vya kati na vyuo vikuu. Jambo hili likionekana kuchochea sana...
Elimu maalum ni aina ya elimu inayolenga kutoa mafunzo na huduma za elimu kwa watu wenye mahitaji maalum au ulemavu. Mahitaji maalum yanaweza kuwa ya kimwili, kiakili, kihisia au ya kujifunza...
Rushwa ya ngono imekuwa ni tatizo sugu hasa katika Taasisi za elimu ya juu, Usugu wa tatizo hili unachangiwa na pande zote mbili yaani mtoaji rushwa hapa namanisha wanafunzi lakini pia waombaji...