Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

2 Votes
Utangulizi. Uwajibikaji na utawala bora ni mada muhimu katika nyanja ya elimu nchini Tanzania. Kuna changamoto kadhaa zinazoathiri uwajibikaji na utawala bora katika mfumo wa elimu. Hata hivyo...
1 Reactions
2 Replies
924 Views
Upvote 2
2 Votes
Hapo zamani za kale, kulikuwa na mji mdogo uitwao Brightville. Mji huo ulikuwa na mfumo mzuri wa elimu, lakini viongozi wa mji huo walikuwa na wasiwasi kuhusu ukosefu wa utawala bora na...
1 Reactions
3 Replies
542 Views
Upvote 2
3 Votes
UTANGULIZI. Elimu ni msingi wa maendeleo ya jamii yoyote kiuchumi, kijamii pamoja na kisiasa. Maendeleo yoyote ya jamii hutegemea na kiwango cha ubora wa elimu tolewa nchi husika, kumekuwa na...
2 Reactions
2 Replies
191 Views
Upvote 3
87 Votes
Ujuzi wa masomo ya kijamii ni taaluma ambayo inajumuisha masomo mbalimbali yanayozingatia utafiti wa jamii ya binadamu, miundo ya kijamii, taasisi za kijamii tabia na mienendo katika jamii na...
77 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 87
2 Votes
Mapinduzi-ya mawasiliano ya watu-wengi miaka 50 iliyopita yaliwasilisha ulimwengu kutumia TV zetu, lakini ilikuwa safari ya kwenda tu tulichoweza kufanya ni kukodolea macho kioo na kuangalia tu...
2 Reactions
3 Replies
435 Views
Upvote 2
3 Votes
PENYE UZIA PENYEZA RUPIA: JINSI MSEMO WA KISWAHILI UNAVYOATHIRI UWAJIBIKAJI NA UTAWALA BORA KATIKA JAMII Imeandikwa na: MwlRCT 1. UTANGULIZI Msemo wa "Penye uzia penyeza rupia" unatokana na...
1 Reactions
1 Replies
760 Views
Upvote 3
3 Votes
Mimi ni mwalimu na ningependa kutoa mapendekezo ya uboreshaji wa huduma zinazotolewa na walimu Kwa Wanafunzi hasa Kwa shule za serikali ili kuongeza ufaulu na kufikia malengo ya serikali. Moja:-...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 3
439 Votes
Utangulizi Maana ya Bima Bima ni mfumo wa ulinzi au fidia ambao unamuwezesha mtu au shirika kulinda mali zao au kujilinda dhidi ya hatari au hasara ambazo zinaweza kutokea. Kuna aina mbalimbali za...
253 Reactions
89 Replies
7K Views
Upvote 439
1 Vote
UNYENYEKEVU SIO UTUMWA, UNYENYEKEVU NI BUSARA KATIKA UONGOZI; MSIZARAU SAUTI ZA WATU, MSIZARAU VILIO VYA WATU, WASIKILIZENI Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Katika makala hii tutaangazia kauli ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
Mwaka 1993 kwenye Fainali ya CAF Kwa Sasa Shirikisho kwenye uwanja wa  Uhuru timu ya  Simba ilipoteza Kwa kupigwa magoli mawili dhidi ya Stella Club d'Adjame ya Ivory Coast, hali iliyopelekea Rais...
1 Reactions
2 Replies
951 Views
Upvote 2
1 Vote
Tulikuwa tupo chuoni katika darasa la kozi yetu, kama ilivyo chuoni lazima kuwe na wawakilishi wa darasa"(cr's)ili kuliwakilisha darasa kwenye uongozi wa chuo lakini katika uongozi wao hawa...
1 Reactions
2 Replies
487 Views
Upvote 1
1 Vote
NENO LA MUNGU LINASEMA: "Kila mtu na aitii MAMLAKA iliyo KUU; kwa maana HAKUNA MAMLAKA ISIYOTOKA KWA MUNGU; na ile iliyopo umeamriwa na MUNGU. Hivyo amwasiye mwenye MAMLAKA hushindana na AGIZO LA...
1 Reactions
3 Replies
370 Views
Upvote 1
2 Votes
NENO LA MUNGU LINASEMA: "Mkamate sana ELIMU, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni UZIMA wako." (Mithali 4:13) Swali ni je! Unadhani Elimu uliyo nayo sasa ndiyo hii tuliyoambiwa tuikamate...
2 Reactions
6 Replies
526 Views
Upvote 2
3 Votes
SANAA, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU ndiyo MAMA na CHANZO cha SAYANSI kwani pasipo SANAA, UBUNIFU NA TEKNOLOJIA; SAYANSI hukosa uhai hivyo ni lazima iwe dhaifu, isiyozaa matunda, inayozaa matunda dhaifu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 3
1 Vote
Ulimwengu wa sasa umejaa wanadamu wenye mitaji ya fedha lakini waliokosa mawazo ya UBUNIFU; kwani zinaibuka kampuni, biashara, kazi na huduma nyingine kila siku lakini ni zilezile za kuigana...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
Katika miaka ya hivi karibuni, kumeibuka mijadala kuhusu viumbe vya ajabu visemekavyo ni vyenye akili nyingi kuliko wanadamu ambavyo vinasaidia watu wa mataifa makubwa kufanya mambo makubwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 2
1 Vote
Kwa takriban karne 21 sasa Bara la Afrika limekuwa likitegemea Teknolojia kutoka Nchi za Magharibi ikiwemo Marekani, Ujerumani, Uingereza na baadhi ya Mataifa ya Asia Magharibi. Kwa hili naomba...
1 Reactions
2 Replies
479 Views
Upvote 1
48 Votes
Habari za wakati huu ndugu zangu wote. Kufanya kazi kwa bidii ni jambo muhimu sana ambalo sote tunahitaji maishani mwetu. Haiwezekani kufikia malengo fulani makuu bila kufanya kazi kwa bidii...
13 Reactions
118 Replies
5K Views
Upvote 48
2 Votes
UTANGULIZI: Elimu ni ujuzi, maarifa au utaalamu anaopata mtu kutoka kwa mtu, mashine au uzoefu kutoka katika mazingira aliyopitia. Hata hivyo elimu inaweza kuwa Rasmi au isiyo rasmi. Elimu rasmi...
2 Reactions
2 Replies
683 Views
Upvote 2
5 Votes
Nawashangaa wanaopiga kelele; viongozi wetu wabadhirifu, wala rushwa, wanaingia mikataba isiyo ya maana kama enzi za ukoloni za kubadilisha dhahabu na vipande vya jiwe na kadhalika, tunawalaumu...
0 Reactions
10 Replies
767 Views
Upvote 5
Back
Top Bottom