Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

1 Vote
Uwajibikaji na utalawa bora ni muhimu sana katika kuchochea kilimo kukua. Hapa kuna mambo muhimu ambayo yanapaswa kuzingatiwa katika kuchochea na kuleta mabadiliko chaja katika sekta ya kilimo...
1 Reactions
1 Replies
537 Views
Upvote 1
1 Vote
Na zaidi pia Haipo Dhana ya Kujiua kwa Makusudi, kila siku ni taharuki na hamaki katika mazingira yanayotuzunguka. Watu wengi wana nadhalia zao na nadhalia hizo huchochea jamii kuishi na taharuki...
1 Reactions
1 Replies
234 Views
Upvote 1
3 Votes
SIKILIZENI WANANCHI: NGUVU YA MAONI KATIKA KULETA MABADILIKO Imeandikwa na: MwlRCT Utangulizi Katika ulimwengu wa leo, sauti za wananchi zina nguvu kubwa katika kuleta mabadiliko katika jamii...
3 Reactions
2 Replies
461 Views
Upvote 3
1 Vote
1. TATIZO LINALOIKUMBA TIMU YA TAIFA YA MPIRA WA MIGUU TANZANIA. Kiujumla timu ya taifa ya Tanzania imekuwa na muendelezo wa kiwango kibovu ambapo kizazi cha kuanzia miaka ya 1990 hakijawahi...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 1
1 Vote
Utangulizi Uwajibikaji waweza kuwa ni njia ambayo inaweza kuleta chachu ya mabadiliko na maendeleo katika jamii. Uwajibikaji waweza kufanywa na mtu mmoja au zaidi na pia unaweza kuhusisha kikundi...
1 Reactions
1 Replies
286 Views
Upvote 1
3 Votes
Utangulizi Binadamu tumeumbwa na tabia ya “kushangaa”. Tunayoyaona au kuyasikia kwa mara ya kwanza yanatushangaza. Tunaposikia au kuona jambo ambalo hatuna taarifa zinazolihusu, ni kawaida...
3 Reactions
5 Replies
520 Views
Upvote 3
2 Votes
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa la vitendo vya kikatili lakini pia kumekuwa na matukio mengi ya watu kujitoa uhai, kitu ambacho kinaleta taharuki kubwa katika jamii na nchi...
1 Reactions
2 Replies
314 Views
Upvote 2
3 Votes
Afadhali mwaka jana kidogo,robo fainali ya kombe la shirikisho ilitupa mdomo,lakini msimu huu umekuwa mchungu sana japo klabu bingwa tulifika robo fainali ila Utopolo wamefanya vitu vingi sana...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 3
4 Votes
KUTOKA UGONJWA HADI FURSA. Mwaka 2018 nikiwa na umri wa miaka 20 niligundulika kuwa na maambukizi ya ugonjwa wa homa ya ini (Hepatitis B) baada ya kuchangia damu katika Mpango wa Taifa wa Damu...
2 Reactions
3 Replies
708 Views
Upvote 4
1 Vote
Kama ilivyo kwa kila nchi kuwa na sheria na kanuni zake ambazo ni ngumu kukuta kwa nchi nyingine basi hata jamii ina tamaduni zake ambazo zilikuwepo tangu hapo zamani enzi za mababu na mabibi zetu...
1 Reactions
1 Replies
714 Views
Upvote 1
2 Votes
Ili kuchochea uwajibikaji kwenye nyanja ya kilimo na ufugaji nchini Tanzania, hatua muhimu zinahitajika kuchukuliwa. Uwajibikaji unahusisha uwazi, kushirikisha wadau wote, na kuweka mfumo wa...
2 Reactions
2 Replies
430 Views
Upvote 2
1 Vote
1. Udhibiti wa Mfumuko wa Bei: Mfumuko wa bei unaweza kuathiri thamani ya fedha. Serikali inapaswa kuwa na sera na mikakati madhubuti ya kupunguza mfumuko wa bei ili kudumisha thamani ya fedha...
1 Reactions
1 Replies
249 Views
Upvote 1
2 Votes
UTANGULIZI Andiko hili ni maalum kwa vijana wote wapambanaji wenye ndoto ya kurejesha, amani, furaha ya familia iliyopotea, dhiaka, dharau na kulipa madeni wazazi wetu waliyokopa pindi...
2 Reactions
1 Replies
554 Views
Upvote 2
1 Vote
Utawala Bora ni namna ya kuwaongoza watu katika namna inayofaa,kwa kutumia rasilimali za taifa husika ili kuleta maendeleo katika taifa Hilo. Utawala Bora huchochewa zaidi pale anapokuwepo...
1 Reactions
1 Replies
290 Views
Upvote 1
2 Votes
Tangia Jamii forum ianze miaka 17 iliyopita, mpaka leo bado ina watumiaji laki 6 na kidogo tu. Hii idadi ni ndogo sana kulinganisha na idadi ya watanzania wenye uwezo wa kumiliki simu janja. Hii...
3 Reactions
9 Replies
694 Views
Upvote 2
1 Vote
Kupunguza idadi ya mama pekee nchini Tanzania ni suala linalohitaji juhudi za muda mrefu na mikakati mbalimbali. Hapa kuna mawazo kadhaa juu ya jinsi ya kusaidia kupunguza idadi hiyo: Elimu na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Upvote 1
2 Votes
Katika kijiji cha Shujaa, utawala bora ni ndoto ya muda mrefu. Kila siku, wananchi wanakabiliwa na ufisadi, uonevu, na ukosefu wa uwajibikaji kutoka kwa viongozi wao. Lakini mmoja kati yao...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Upvote 2
2 Votes
Kituo cha Polisi kilichopo Wilaya ya Shinyanga hasa Polisi dawati la jinsia kwa kushirikiana na maafisa ustawi wa jamii wameendelea kuchukua rushwa na kuwanyima wananchi maskini haki zao hasa...
1 Reactions
1 Replies
300 Views
Upvote 2
2 Votes
Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali nyingi za misitu ambazo zina uwezo wa kuchangia kwa kiasi kikubwa katika uchumi wa nchi. Sekta ya misitu, ikitumiwa na kusimamiwa ipasavyo, inaweza kutumika...
1 Reactions
1 Replies
321 Views
Upvote 2
2 Votes
Kuleta utawala bora katika nyanja ya uchumi wa Tanzania ni muhimu kwa maendeleo endelevu na ustawi wa nchi. Utawala bora unahusisha uwajibikaji, uwazi, ushiriki wa wananchi, utawala wa sheria, na...
1 Reactions
1 Replies
329 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom