Stories of Change 2023

Awamu ya Tatu. Maudhui yanayolenga kuchochea mabadiliko chanya na kupelekea kuwepo kwa Uwajibikaji au Utawala Bora

JF Prefixes:

2 Votes
Utangulizi Katika kukua kwangu, nimebahatika kusikia na kushuhudia wabunifu wengi katika nchi yetu. Mfano: Kuna mtu alitengeneza umeme wa kinyesi, mwingine gari, mwingine ndege inayoruka kwa...
1 Reactions
2 Replies
412 Views
Upvote 2
2 Votes
Nzengo ni nini? Kwa mujibu wa kamusi ya mtaani! Nzengo ni jumuishi ya eneo /mtaa aghalabu ukihusisha kaya taklibani 50, lenye mpaka wa kiutawala ukiwa na wakazi wa kudumu na wakuhama hama(...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Upvote 2
2 Votes
Wahenga walisema elimu ni ufunguo wa maisha, ipo wazi na hilo halipingiki kwasababu ili mtu afanye mambo kwa weredi ni lazima awe na elimu au ujuzi wa kutosha kuhusu jambo analofanya. Watu wengi...
1 Reactions
1 Replies
529 Views
Upvote 2
3 Votes
Utangulizi Katika jiji la Dar es Salaam, uhaba wa maji umekuwa tatizo kubwa kwa muda mrefu. Wakazi wa jiji hilo wanakabiliwa na upungufu mkubwa wa maji safi na salama kutokana na mji huo kuwa...
2 Reactions
1 Replies
763 Views
Upvote 3
2 Votes
Utangulizi Mpira wa miguu ni mchezo maarufu na wa kusisimua unaounganisha tamaduni na mataifa. Timu ya taifa ya Mpira wa miguu inaweza kutumika kama kichocheo cha kukuza fahari na mshikamano...
1 Reactions
1 Replies
531 Views
Upvote 2
6 Votes
UTANGULIZI. Kutokana na kukua kwa teknolojia kwa sasa mambo mengi yanafanyika kwa njia ya mtandao na mifumo ya kompyuta, sekta ya afya inatumia mifumo ya afya kukamilisha huduma kwa wagonjwa...
3 Reactions
3 Replies
528 Views
Upvote 6
3 Votes
Utangulizi TANZANIA ni miongoni mwa nchi inayoendelea barani Afrika, huku ikipambana kujikwamua kiuchumi kwa kupigana na umasikini, ujinga, maradhi pamoja na rushwa. Licha ya kuwepo mapambano...
2 Reactions
4 Replies
544 Views
Upvote 3
3 Votes
KUIMARISHA USHIRIKI KATIKA MAJADILIANO YA MTANDAONI KUPITIA SAIKOLOJIA YA BIASHARA NA MTAZAMO CHANYA Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Je, umeshawahi kujihusisha katika majadiliano ya mtandaoni...
2 Reactions
2 Replies
352 Views
Upvote 3
2 Votes
Ndugu msomaji Napenda kukuletea makala hii unayohusu matumizi ya mitandao ya kijamii na matokeo kwa watoto wetu. Kwa miaka ya hivi karibuni nchini kwetu Tanzania matumizi ya mitandao ya kijamii...
1 Reactions
2 Replies
648 Views
Upvote 2
3 Votes
UTANGULIZI Katika kuhakikisha kwamba wananchi wake (hasa wale ambao wanaishi Jirani na hifadhi za wanyamapori) wanaishi kwa furaha na amani, jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia wizara ya mali...
1 Reactions
1 Replies
936 Views
Upvote 3
2 Votes
UTANGULIZI Jamhuri ya muungano wa Tanzania (URT) chini ya wizara ya maliasili na utalii (MNRT) yenye dhamana ya kutunga sera, sheria na kanuni za uhifadhi wa rasilimali za asili hasa wanyamapori...
1 Reactions
1 Replies
507 Views
Upvote 2
2 Votes
Kuwa wawajibikaji katika mitandao ya kijamii kunahusisha kuchukua hatua za kuwajibika na kuheshimu wengine wakati tunatumia jukwaa hilo. Hapa kuna miongozo ya jumla ambayo inaweza kusaidia kuwa na...
1 Reactions
1 Replies
576 Views
Upvote 2
6 Votes
URAIA PACHA: KUUNGANISHA TANZANIA NA DIASPORA KWA MAENDELEO ENDELEVU. Imeandikwa na: Mwl.RCT UTANGULIZI Uraia pacha ni hali ya kuwa raia wa nchi mbili kwa wakati mmoja. Inawawezesha watu...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Upvote 6
4 Votes
Ni ukweli usiopingika kuwa mabadiliko ya kiteknolojia na sayansi hayana budi kutokea katika nchi yetu kama ambavyo ulimwengu mzima unashuhudia katika dunia ya sasa. Hivyo, suala la Ajira za...
2 Reactions
4 Replies
483 Views
Upvote 4
2 Votes
Hapa kuna hadithi ya kusikitisha inayohusu kijana ambaye alinyimwa haki yake kutokana na ukosefu wa utawala bora nchini: Kulikuwa na kijana aitwaye Juma, ambaye alikuwa na ndoto ya kuwa...
1 Reactions
2 Replies
346 Views
Upvote 2
2 Votes
Uwajibikaji ni jukumu muhimu katika ngazi ya familia. Kila mwanafamilia anapaswa kuchukua jukumu la kuchangia na kuhakikisha ustawi wa familia nzima. Hapa kuna maeneo muhimu ya uwajibikaji katika...
1 Reactions
2 Replies
476 Views
Upvote 2
1 Vote
Simulizi: Siku moja, nilipokea simu kutoka kwa kaka yangu na sauti iliyosikika ilikuwa ya wasiwasi kabla ya simu kukatika ghafla. Nilijaribu kupiga simu mara kadhaa, lakini hakuna aliyepokea...
1 Reactions
1 Replies
282 Views
Upvote 1
1 Vote
Katiba bora ina jukumu muhimu katika kuleta utawala bora na uwajibikaji katika Taifa lolote. Hapa chini ni baadhi ya manufaa tunayopata kupitia Katiba bora Kugawanya madaraka: Katiba bora...
1 Reactions
1 Replies
578 Views
Upvote 1
1 Vote
Ili kuzuia hali kama hiyo isijirudie tena katika Soko la Kariakoo, hatua kadhaa zinaweza kuchukuliwa. Hapa kuna baadhi ya mawazo ambayo yanaweza kusaidia: Mazungumzo na taasisi husika...
1 Reactions
1 Replies
807 Views
Upvote 1
1 Vote
Kuongeza uwajibikaji serikalini ni suala muhimu kwa maendeleo ya nchi yoyote, ikiwemo Tanzania. Kwa kuwa uwajibikaji ni mfumo wa kuhakikisha kuwa viongozi wa umma wanawajibika kwa wananchi na...
1 Reactions
1 Replies
364 Views
Upvote 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…