Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

16 Votes
Kwanza kabisa nianze kwa kumshukuru sana MWENYENZI MUNGU atupaye afya,nguvu,neema na kibali siku hadi siku kwenye majukumu yetu yote. Pili nitumie uwanja huu kulishukuru jukwaa la Jamiiforums kwa...
1 Reactions
6 Replies
303 Views
Upvote 16
5 Votes
UTANGULIZI khairooni ni kijan wa kike aliyeamua thubutu na kujiamin kupambania karamu yake juu ya kutengeneza tanzania. Kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyez mungu kwa kunipa uhai na afya .pia...
0 Reactions
4 Replies
264 Views
Upvote 5
2 Votes
Ajira kwa vijana ni suala nyeti na muhimu kwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi ya Tanzania. Kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022, zaidi ya nusu ya idadi ya watu nchini Tanzania ni vijana wenye umri...
0 Reactions
0 Replies
585 Views
Upvote 2
5 Votes
Tanzania ni taifa linalo patikana mashariki mwa bara la Afrika liki tumia Lugha ya kiswahili katika mawasiliano baina ya mtu mmoja na mtu mwingine , Taifa hili lime tawaliwa na viongozi tofauti...
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Upvote 5
3 Votes
Rasilimali ; rasilimali kama vile madini , mito , bahari ,maziwa , misitu, ardhi Rasilimali ni vitu au mbinu ambazo tunatumia kufanikisha shughuli zetu au mahitaji yetu. Na kujisikia ufahari na...
1 Reactions
0 Replies
115 Views
Upvote 3
7 Votes
Chazo Jukwaa la vijana 2016. Kukata tamaa kwa vijana wa miaka 30 hadi 35 ni tatizo linalozidi kuonekana katika jamii nyingi. Hii ni umri ambapo vijana wengi wanatarajiwa kuwa wamejenga msingi...
1 Reactions
7 Replies
266 Views
Upvote 7
5 Votes
Kijana ni umri wa ukuaji wa mwanadamu unaokadiliwa ni kuanzia miaka 16-45.Huu ni umri ambao mwanadamu huwa anakuwa na uwezo zaidi wa mambo mbalimbali ukilinganisha na umri aliotoka nyuma yake...
3 Reactions
4 Replies
262 Views
Upvote 5
5 Votes
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeanza safari ya kuleta mabadiliko katika sekta mbalimbali, zikiwemo nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiteknolojia. Mabadiliko haya chanya...
1 Reactions
2 Replies
165 Views
Upvote 5
4 Votes
Tanzania niiyakayo mimi ni ile yenye vipaumbele vya maeneo kadhaa na ntaichanganua kama ifuatavyo: Elimu; eneo hili kwa Tanzania niitakayo linatakiwa kuwa na mikakati madhubuti na iwe na mambo...
1 Reactions
3 Replies
169 Views
Upvote 4
2 Votes
Tanzania ya baadaye inaangazia mwelekeo wa uchumi endelevu unaoweka msisitizo mkubwa katika kuleta fursa za ajira na ujasiriamali kwa vijana. Kupitia mipango ya kibunifu na utekelezaji wa sera...
0 Reactions
1 Replies
206 Views
Upvote 2
5 Votes
Nchi nyingi Duniani zina mambo zinayoyafanya kwa upekee na ueledi mkubwa jambo linazozipa nafasi ya kutegemewa Duniani. Mathalani zipo nchi kama Korea zinazotegemewa kwa uzalishaji wa vifaa vya...
2 Reactions
3 Replies
249 Views
Upvote 5
2 Votes
Tanzania niitakayo ambayo itatengenezwa na watanzania wenyewe bila kutegemea misaada ya wahisani wenye masharti na vigezo visivyo na ladha ya kitanzania. 1. Tanzania ya wakulima ambao wanalima...
0 Reactions
1 Replies
170 Views
Upvote 2
7 Votes
Moja ya changamoto kubwa nchi Tanzania ni mmomnyoko wa maadili kwa watanzania hasa vijana wengi wa kizazi hiki unaotokana na ukuaji wa teknolojia ya habari na mawasiliano(UTANDAWAZI). Tukiwa kama...
1 Reactions
2 Replies
272 Views
Upvote 7
2 Votes
Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokua kwa kasi sana barani Afrika. Ili kufikia malengo kati ya miaka 5 hadi 25 ijayo, inatakiwa kuboresha sekta mbalimbali. Elimu ni nyanja muhimu sana katika...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Upvote 2
4 Votes
THE STORY OF CHANGE TANZANIA YANGU MIAKA 5-25 IJAYO (UDHIBITI WA RASILIMALI FEDHA YA WANANCHI) Tanzania ni nchi nzuri sana iliyo na watu wazuri na imesheheni rasilimali na utajiri mwingi lakini...
0 Reactions
1 Replies
164 Views
Upvote 4
2 Votes
TANZANIA IJAYO ISAIDIA WATANZANIA KUPATA KAZI NJE YA NCHI ILI KUKUZA PATO LA TAIFA. Diaspora ni moja ya wachangiaji wakubwa sana wa GDP ya nchi zingine hapa Duniani, Kenya wana kitengo ndani ya...
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Upvote 2
4 Votes
Miaka ya nyuma kidogo ilikua ni changamoto kubwa kuona wanawake wakishiriki kwenye siasa , lakini siku za karibuni sio jambo jipya sana japo Bado ushiriki wao sio wa kuridhisha lakini tumeona...
0 Reactions
2 Replies
167 Views
Upvote 4
3 Votes
Sheria zote hapa duniani huwa zinatungwa na Mabunge ili kuleta manufaa kwenye jamii. Hii ikimaanisha kuwa mtu akivunja sheria iliyotungwa na Bunge basi ataweza kujifunza na kuogopa kutenda kosa...
1 Reactions
1 Replies
327 Views
Upvote 3
4 Votes
1. Kama tunaitaji kusonga mbele kimaendele, Yani maendeleo ya inchi nikimanisha miundombinu ,afya ,ajila mawasiliano na maendeleo ya mtu moja moja tunaitaji wawakilishi wetu bungeni wawe ni watu...
0 Reactions
1 Replies
147 Views
Upvote 4
2 Votes
Ili tuendelee tunahitaji watu, siasa Safi, ardhi na uongozi bora. Hivi vinategemeana, kinara uongozi bora. Uongozi bora utatoa maono, mengine yachangie kuleta maendeleo. Kiongozi anaongoza watu...
1 Reactions
0 Replies
150 Views
Upvote 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…